Mtume Paulo alikuwa na maana gani kusema katika 1Wakorintho 15:31″…NIKAKUFA KILA SIKU?

JIBU: Katika ukristo KUFA kupo kwa namna mbili:   >Aina ya kwanza ni kufa kwa habari ya dhambi.   >Aina ya pili ni kufa kwa ajili ya Ndugu: