Title March 2020

SALA YA TOBA

Sala ya Toba ni nini?..Je ni lazima kuongozwa sala ya Toba pale mtu unapoamini?

Jibu: Sala ya Toba ni sala, ambapo mtu mmoja aliyeamini anamwongoza mwingine ambaye ndio anaingia katika Imani..Mtu anayeingia katika Imani anakuwa anafuatiliza maneno yale kwa Imani na kumkiri Yesu kwa kinywa chake, kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yake na alikufa kwa ajili ya dhambi zake.

Sasa hakuna maagizo yoyote katika biblia yanayosema mtu baada ya kumwamini Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yake..basi anahitaji kuongozwa sala ya toba. Hakuna andiko kama hilo,  Lakini lipo andiko moja tu linalosema..

Wagalatia 6:2 “Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo”

Maana yake ni kwamba..aliye dhaifu wa Imani hana budi kushikwa mkono na kusaidiwa kusimama na hatimaye kutembea mwenyewe…Kama vile mtoto mchanga anayejitahidi kusimama ili atembee…Mzazi huna budi kumshika mkono na kumnyanyua na kumsaidia atembee..

Vivyo hivyo katika safari ya Imani. Mtu anayetoka katika dhambi moja kwa moja na kumpokea Kristo ni sawa na kitoto kichanga kilichozaliwa…wengi wa hawa hata kusali tu hawajui, zaidi ya yote hata wakiomba wanahisi Mungu hawasikii…wanakuwa hawajamjua Mungu, wala hawaujui uweza wa Mungu vizuri. Hivyo unapowashika mkono na kuwasaidia kusali pamoja nao kwa mara ya kwanza…Imani zao ni rahisi kukua na kunyanyuka na kusonga mbele.

Lakini ukiwaachia kwamba waombe wenyewe katika siku za kwanza kwanza…ni rahisi shetani kuwaletea mawazo kwamba bado hawajaokoka wala kumpokea Yesu..Hivyo wataendelea siku chache na baada ya hapo ni rahisi  kurudi nyuma. Wapo wachache ambao wanaweza kujishika wenyewe hata kusimama na kukua kiroho bila hata kuongozwa sala hiyo.. lakini wengi wa wanaomwamini Bwana Yesu katika hatua za awali wanahitaji msaada mkubwa sana..Kwasababu ni watoto wadogo kabisa kiroho waliozaliwa.

Lakini baada ya kipindi fulani, wakishakuwa basi hawana haja ya kushikwa tena mkono bali wanapaswa wakawasaidie wengine walio dhaifu kama wao walivyokuwa.

Hivyo sala ya Toba inatokana na upendo wa mkristo kwa mtoto mpya aliyezaliwa kiimani, na sio dhambi kuwaongoza watu wala kuongozwa. Hivyo upendo hauna masharti..Bwana wetu Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kusali..si zaidi sisi kuwafundisha na kuwaongoza sala wale walio wachanga kiroho katika hatua za awali?

Bwana atubariki.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia masomo haya kwa njia ya email yako au Whatsapp tutumie ujumbe kwenye box la maoni chini au piga namba hii +255 789001312


Mada Nyinginezo:

JE SALA YA ROZARI TAKATIFU NI YA KIMAANDIKO?

NINI KINAFUATA SIKU ILE ILE YA KUOKOKA!

Je! Hamna nyumba za kulia na KUNYWEA?.Mstari huu unahalalisha unywaji wa pombe?

JINSI NEEMA YA MUNGU ILIVYOKUWA KUBWA KWA MKE WA LUTU.

BUSTANI YA NEEMA.

Rudi Nyumbani:

Print this post

What is the difference between a dream and a Vision?

Qn.What is the difference between a dream and Vision?


Ans: A dream is a series of images and thoughts and feelings that come during sleep, and they come without one’s free will, that means one does not plan or decide what to dream! they are just creating themselves!

And dreams can be influenced by our daily activities or the environment around us or what was around us a short time ago (Ecclesiastes 5: 3; Isaiah 29: 8),

And some dreams are from the devil and some are from God (Genesis 28:12, 37: 5-10).

And the Vision is not much different from a dream. Vision is the series of the images and feelings that come with being out of sleep…

And these also do not come as one intended, neither does anyone know what kind of vision he about to see, nor can snap a vision as one drowsy sleep….one suddenly finds himself looking or watching at something unusual or unusual,

 or find himself in a certain event such as he dreams, and when he returns he finds himself not sleeping, perhaps he was walking or standing or was talking to someone and remembers the event he saw in that vision.

And visions can also be the result of many activities, especially people who are severely depressed and affected by substance abuse, as well as those caused by the devil. The devil can create visions on someone’s mind, these happen to many who are witches or possessed with demonic spirits.

And there is a vision from God.

Contrary to popular belief that everyone who is born again must see a divine vision, the truth is that not everyone must see a vision, one can be born again and even die and never have a vision in entire life and yet go to heaven.

The matter of seeing a vision or prophesying is the gifts of the Holy Spirit, and only God plan who to give and who not to give, the one who has not been given will have been gifted with another unique gift, and the one who is given will be deprived of other gifts of the Spirit.

 It is impossible for all people to have the same gifts and it is impossible for one person to have all the gifts alone (read.1 Corinthians 12: 29-31).

The important thing is to be born again and to be a new creation, (Galatians 6:15) and to live according to the Word… to see visions or to prophesy or to teach, they are not tests of holiness or tickets to heaven (Matthew 7:22).

God Bless you!

Please share with others


Related Articles:

FOR I KNOW THE THOUGHTS THAT I THINK TOWARD YOU.

IS THERE ANY IMPORTANCE OF PAYING THE TITHES?

What did God mean to say deny yourself?

What was the thorn in Paul’s flesh?

Home:

Print this post

Is it sin to charge interest (unsury)?

Qn. Is it sin to charge interest (unsury)?.. because the Bible says not to charge interest my fellow brother?, does that mean those who lend to people with interest are sinning?


Ans. The Bible forbids us to charge interest only to our own brother and sisters, but to others outside the brotherhood it is not a sin to incur interest.

Deutoronomy 23:19-20  “Do not charge a fellow Israelite interest, whether on money or food or anything else that may earn interest.

20 You may charge a foreigner interest, but not a fellow Israelite, so that the Lord your God may bless you in everything you put your hand to in the land you are entering to possess”

For example, you see your brother is in trouble struggling,  and he asks you to lend him a little money, and then you use that opportunity to tell him to add another level of money (interest), as your benefit, that is a sin, if he / she borrows, then he repays what he has borrowed.

Don’t turn your brother’s problems into capital

Under normal circumstances even without being told by someone or being educated, you have a business house, and then your close relative has come to stay there for some time. You can’t tell him to pay the full tax like other people, he can only pay the normal small expenses but not cover everything, no human being can do that to his brother.

Likewise in Christianity, all of us who believe in Jesus Christ are made brothers. Christ’s love unites us together. We love each other unconditionally. That love makes us even less inclined to seek the benefit of our brethren in the Faith just as it does in our fleshly brothers. This is where the Bible urges us not to take interest in each other.  But for someone other than our physical and spiritual brothers, we can tax them to make a profit in what we do. because interest is what makes the job grow.

But if we charge our brothers for profit, then the love of Christ is not in us, and so we sin against God.

Ezekiel 22:12 “In thee have they taken gifts to shed blood; thou hast taken usury and increase, and thou hast greedily gained of thy neighbours by extortion, and hast forgotten me, saith the Lord God”.

Please share this good news with others, and also if you would like us to send you these lessons through your email or WhatsApp send us a message or call  via +255 789001312


Related Articles:

Home:

Print this post

HE IS BEING MADE SO MUCH BETTER THAN THE ANGELS

Luke 24:1-7 “ Now upon the first day of the week, very early in the morning, they came unto the sepulchre, bringing the spices which they had prepared, and certain others with them.

2 And they found the stone rolled away from the sepulchre.

3 And they entered in, and found not the body of the Lord Jesus.

4 And it came to pass, as they were much perplexed thereabout, behold, two men stood by them in shining garments:

5 And as they were afraid, and bowed down their faces to the earth, they said unto them, Why seek ye the living among the dead?

6 He is not here, but is risen: remember how he spake unto you when he was yet in Galilee,

7 Saying, The Son of man must be delivered into the hands of sinful men, and be crucified, and the third day rise again”.

It all ended on the day that the Lord gave up the ghost, when He said it was done!

That was the end of it all, it was the same as the student who completed her final exam the day she dropped her grade.

And the Lord on Friday, that was the end of all His trials, the end of all His work, So the end of His trials was the beginning of our deliverance! And our Honor!.

On that day he finished all he had to do; pain, distress, misery, and everything! That was the end there… he set a worldwide record of being a mortal man without sinning!

And prove before God that man can live without sin, all his life unto death, and that is why the scripture says’ he is being made so much better than the angels.

Hebrews 1:4 “BEING MADE SO MUCH BETTER THAN THE ANGELS, as he hath by inheritance obtained a more excellent name than they”.

It means that no angel was ever perfect like him.

Many do not know that the angels were tempted as we are, and there were winners and the losers also, the winners are the ones in heaven now, and the losers are the ones who are on the side of Satan.

So among the winners are also different levels, some who have done better than others.

we humans do not know which angels did better than the others, perhaps we will know when we get there when we are given glorious bodies to look like them.

 Now among those angels who did well,..No one has done better than our Lord Jesus Christ when he was here on earth.

And because God is impartial, whoever does good, will receive the greatest reward. So because the Lord who was human but did better than all the angels in heaven then God gave him a name that no man or angel has ever had since the world was created.

 And above all things were given to him in heaven and on earth, that every knee should bow before him!.

You will say where is it written in the Bible? Well  it is written somewhere read..

Philipians 2:5 “Let this mind be in you, which was also in Christ Jesus:

6 Who, being in the form of God, thought it not robbery to be equal with God:

7 But made himself of no reputation, and took upon him the form of a servant, and was made in the likeness of men:

8 And being found in fashion as a man, he humbled himself, and became obedient unto death, even the death of the cross.

9 Wherefore God also hath highly exalted him, AND GIVEN HIM A NAME WHICH IS ABOVE EVERY NAME:

10 That at the name of Jesus EVERY KNEE SHOULD BOW, of things in heaven, and things in earth, and things under the earth;

11 And that every tongue should confess that Jesus Christ is Lord, to the glory of God the Father”. (KJV)

And because we have believed in him. We become his brothers and sisters, so he will not be able to let us down,

We must also possess with him, the angels will be subject to us because he is above all angels right now, and we are saved to be with him.

It’s like a man fights to gets a presidential position, and after earning it, obviously, his family members will in one way or another come to the palace freely, without many obstacles than if he were not President.

and that’s just because they’re his blood relatives! and not much else..The average person can not approach him that way.

So does the Lord Jesus in His righteousness that has given him all authority in heaven and on earth, and given all authority and sat on the throne,

 Now we, his brethren who are born again (and who are humans and not angels) cannot cast us out, he will rule with us.

That is why there is a great need to be a blood brother of our Lord Jesus Christ (and we only become like that by born again)

Because there is no way to approach Him if we are not born again through His blood !!. Only blood will connect us with him.

Remember not by the blood of man but by his blood!, not by the will of the man but by the will of God.

many are doing good things and saying by my actions I must see God, my brother do not be deceived…

You can do better deeds than any Christian in the world and still not approach God at all… why is it? The simple answer is because you are not the blood brother of the person Jesus, so your good deeds are in vain!

My brother, if you are a Muslim, read this message, or a Christian who is not yet familiar with the authority of the Lord Jesus and the criteria for being an heir with him, and you say in your heart I help the needy, I respect the parents,  I do not steal, I do not do this and that… and you are deceiving yourself that you are close to God while you have put Christ behind…

If you are not born again in His blood, let me tell you my brother/sister YOU ARE LOST !!!!.. Your actions are good but they won’t help you in the future if you are not born again.

 It is the same as going to do your best for all you know to your boss and pleasing him, by all means, hoping that one day he will give you his company!!.. will he do that? passing by his child (his own blood) and give it to you? … even if his son does not behave like you, even if you are a better worker than his son, one day that child will just become your boss regardless of all his weaknesses … why? Because of the blood relationship between the child and his father !! nothing more!..You don’t have blood relationaship that connect you with your boss, in order to give you his possession above any other man.

And so is the Kingdom of Heaven; that is why the kingdom of heaven is called inheritance, it require blood to get the right of inheriting..

Remember also that the kingdom of heaven did not begin on the day that the Lord Jesus was crucified,

 the kingdom of heaven existed before the creation of the world;

So what will happen is inheritance, where the children of God will inherit it, and the children of God are all who believe in Jesus Christ and receive him by being born again.

John 1: 12 “But as many as received him, to them gave he power to become the sons of God, even to them that believe on his name”

So, my brother, this day (the Day of the Lord Resurrection). It is a very important day, when the Lord visits many people in the world to give them salvation make sure he does not pass you.

If you are not born again, this is a great time to do so…

How will you be born again?…

The Bible has given us the answers, that we can never go back into our mother’s womb and be born again !! ..

Being born again is a spiritual language, which means to be renewed in your spiritual life, that is to be transformed into another being in your spiritual direction.

 That is what it means to be born again. We say the Tanganyika Nation was born in 1961, which does not mean it went into its mother’s womb and was born

 No! But it is only a language that means, that it was democratically renewed and become a sovereign independent state in that year.

And so is it in the Christian Faith,

when you are renewed mentally by divine power, you are born again.

And there are a few steps to regeneration…

John 3:3 ‘There was a man of the Pharisees, named Nicodemus, a ruler of the Jews:

The same came to Jesus by night, and said unto him, Rabbi, we know that thou art a teacher come from God: for no man can do these miracles that thou doest, except God be with him.

Jesus answered and said unto him, Verily, verily, I say unto thee, Except a man be born again, he cannot see the kingdom of God.

Nicodemus saith unto him, How can a man be born when he is old? can he enter the second time into his mother’s womb, and be born?

Jesus answered, Verily, verily, I say unto thee, Except a man be born of water and of the Spirit, he cannot enter into the kingdom of God.

That which is born of the flesh is flesh; and that which is born of the Spirit is spirit.

Marvel not that I said unto thee, Ye must be born again’

So the steps to follow to be born again after believing in the Lord Jesus Christ as the Savior of the world, and that He is the One who conquered everything, and was entrusted with all the powers of heaven and earth,

 The next step is to be baptized(Full immersed) in the water and in His name (Jesus Christ), as a symbol of death and resurrection with Christ, (that is the birth of the water the Lord was talking about).

And after you have been baptized correctly, The Lord Himself will give you the gift of his Holy Spirit in you who will help you overcome sin, and guide you in the full knowledge of the Scriptures, and protect you from the evil one, (and that also is the birth of the Spirit the Lord was talking about).

Now when you complete those three steps, namely BELIEVING, BEING BAPTIZED IN WATER, AND BEING BAPTIZED IN THE HOLY SPIRIT … You will already be born again, and become a new creature, and you are the son of God, the heir of his promises.

2Corinthians 5:17 “old things are passed away; behold, all things are become new”

You become a blood brother/sister of OUR JESUS ​​CHRIST… You become the heir of God’s wealth, no one can sue you from then on, and no one can separate you from his love…

Brother! At present we do not know the heritage well enough, we know in part only! But after this life is over, then when we shall enjoy God in fullness, we shall know Him broad and long. We will receive the riches he has stored for us and the honor he has bestowed on us, through his beloved son JESUS ​​CHRIST.

It is my prayer that in this Easter season, You will realize what you are supposed to do in your life, and you will also make good and wise choices and may the Lord help you in Jesus Name. Amen.

Please share with others..and God Bless you.


Related Articles:

Home:

Print this post

KUOTA UNAJISAIDIA SEHEMU ZA WAZI.

Kuota Unajisaidia sehemu za wazi. Maana yake ni nini?


Ndoto hii, imekuwa ikiotwa mara kadhaa wa kadha na watu wengi. Kwa mfano mtu mmoja alinisimulia ndoto yake, anasema katika ndoto alijikuta yupo stendi ya basi, na pale palikuwa na watu wengi sana, ghafla akaanza kujisaidia lakini yeye alikuwa anajitahidi kufanya vile asionekana..Na alipomaliza akidhani hajaonekana wakati akiwa anarudi nyumbani mtu mmoja ambaye alikuwa anamjua akamfuata akamwambia mbona nilikuona unajisaidia pale stendi?..Anasema kwa kweli aliposikia hivyo   alijisikia aibu sana.

Na ndivyo ilivyo ndoto za namna hii, ni lazima mwisho wa siku utajisikia aibu tu, wengine wanaota wamejinyea, mavi, wengine wakiwa shuleni, kazini, uwanjani n.k. ..kwasababu kitendo cha kujisaidia huwa sikuzote ni cha aibu na ndio maana kinafanyika kwa siri chooni.. Lakini ikiwa unajisaidia kwa wazi ni Mungu anakuonyesha ni jinsi gani, mambo yako machafu yatakavyokuja kuwa dhairi siku moja mbele za watu wengi..kama hutatubu dhambi zako au hutasimama imara leo hii kwa Mungu wako.

Inaweza isiwe sasa, lakini kumbuka siku ile ya hukumu inafika..ambapo mambo yote yaliyokuwa yanafanyika kwa siri yatawekwa wazi.

2Wakorintho 5:10  “Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee ijara ya mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyotenda, kwamba ni mema au mabaya”

1Wakorintho 4:5  “Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye ATAYAMULIKISHA YALIYOSITIRIKA YA GIZA, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu”.

Unaona? Hivyo ikiwa hujatubu dhambi zako, maisha yako bado ni machafu, YESU KRISTO bado hajaingia ndani yako kukusafisha uwe hai..Ni heri ukaamua kufanya hivyo kabla nyakati hizo mbaya hazijafika..Huu ndio wakati wa wewe, kusema basi..Nahitaji kuanza upya na Kristo..Usiseme mimi ni muislamu, hata wewe Unapaswa umgeukie YESU Kristo kwasababu yeye ndio njia na kweli na Uzima ya kukufikisha wewe mbinguni.

Ukimkaribisha leo maishani mwako, atakupokea na kukufanya upya. Unaona ni hali gani ulijisikia ulipojiona unafanya kitendo cha aibu katikatika ya umati wa watu..Sasa embu fikiria siku ile ya hukumu, Maisha yako yataanza kutazamwa  na Mungu mbinguni, pamoja na majeshi ya malaika zake, pamoja na watakatifu wa Mungu mamilioni kwa mamilioni..wote wanakutazama siku ile ulivyokuwa unazini na mume au mke ambaye si wako, watakutazama ulivyokuwa unajisaga kisirisiri mwenyewe nyumbani mwako..watakutazama ulivyokuwa unafanya mustarbation kwa siri chumbani, watakutazama ulivyokuwa unaangalia picha za uchafu, lakini kwa nje unaonekana wewe ni mwema, watakutazama mimba ulizotoa japo ulikuwa unajulikana kama ni mwanamke mstaarabu, machoni pa watu watu..watakutazama ufiraji uliokuwa unaufanya kwa mkeo, japo kwa nje unaonekana mtu unayejiheshimu….Siku hiyo watakutazama..Ni itakuwa ni AIBU KUU, ambayo utatamani hata usingezaliwa.

Lakini hayo yote ya nini mpaka yakukute wakati Kristo bado anakupenda?..Njoo kwa YESU ayabadilishe maisha yako leo hii..biblia inasema..saa ya wokovu ni sasa..Umeshindwa kuacha pombe, lakini Ukimruhusu Yesu aingie maishani mwako, ataikata hiyo kiu ya pombe, itakwisha kabisa..Umeshindwa kuacha uzinzi lakini ukimfuata Yesu leo hii, atakusaidia na hiyo hali utaishinda..na mambo mengine yote maovu unayoyatenda saa hii, ukimkabisha Yesu maishani mwako atakugeuza..anachohitaji kwako ni moyo wa toba tu basi..Na kumaanisha kweli kweli wala sio kujaribu..

Hivyo ikiwa umemaanisha kufanya hivyo..

Basi uamuzi unaoufanya ni wa busara sana ambao hautakaa uujutie maisha yako yote kama ilivyokuwa hata kwetu sisi. Unachopaswa kufanya, hapo ulipo, chukua muda mchache ujitenge peke yako. Kisha piga magoti, kisha fuatisha sala hii kwa Imani, ukijua kuwa Mungu yupo hapo karibu na wewe pembeni yako kukusikia..Kisha ukiwa sasa katika utulivu Sema sala hii kwa sauti.

EE MUNGU BABA, NAJA MBELE ZAKO, NIKIWA NINAJITAMBUA KUWA MIMI NI MKOSAJI NA NIMEKUTENDA DHAMBI NYINGI, NA KWAMBA NIMESTAHILI HUKUMU. LAKINI WEWE MUNGU WANGU ULISEMA KATIKA NENO LAKO KUWA WEWE NI MUNGU WA REHEMA UNAYEWAREHEMU  MAELFU ELFU YA WATU WANAOKUPENDA WEWE. NA LEO HII NINAKUJA MBELE ZAKO NAHITAJI MSAMAHA WAKO NA MSAADA WAKO MUNGU WANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE KWA KUMAANISHA NA KWA MOYO WANGU WOTE, NINAKIRI KUWA YESU KRISTO NI BWANA, NA YEYE NDIYE MWOKOZI WA HUU ULIMWENGUNI. HIVYO NAOMBA DAMU YA MWANAO TAKATIFU INISAFISHE UOVU WANGU WOTE SASA NIFANYIKE KUWA KIUMBE KIPYA KUANZIA LEO NA HATA MILELE.

ASANTE BWANA YESU KWA KUNIPOKEA NA KUNISAMEHE.

AMEN.

Sasa ikiwa umefuatisha sala hiyo kwa Imani ..Hatua iliyobakia kwako ni kuithitisha toba yako kwa Vitendo ikiwa ulikuwa unafanya mambo yote ambayo hayampendezi Mungu unayaacha na kujitenga nayo, Sasa Mungu akishaona umegeuka kwa vitendo basi toba yako anaipokea na atakuja ndani yako wakati huo huo na kufanya makao ya milele kwako. Vile vile unahitaji, kutafuta kanisa la kiroho ambalo utajumuika na wakristo wengine katika kumwambudu Mungu, na kujifunza biblia ili uukulie wokovu. Na vilevile ili upate ubatizo sahihi wa kuzamishwa katika maji mengi na kwa jina la YESU KRISTO kwa ajili ya ondoleo la dhambi zako.

Ubarikiwe sana

Group la whatsapp Kwa mgawanyo bora wa masomo download App hapa>> App wingu la mashahidi

Mada Nyinginezo:

Tofauti kati ya ndoto na Maono ni ipi?

KUOTA UPO UCHI.

FUATILIA NDOTO HII, UTAJIFUZA KITU.

MTETEZI WAKO NI NANI?

DHIKI KUU INAKUJA NA UNYAKUO UPO KARIBU.

CHUKIZO LA UHARIBIFU

Rudi Nyumbani:

Print this post

WHERE IS THE POWER OF GOD MANIFESTED? 

The Word of God says when we are weak then we are strong, meaning when we are nothing then we are seen as something before God. The Lord Jesus said  in ..

Luke 14:11 “For whosoever exalteth himself shall be abased; and he that humbleth himself shall be exalted”

when we refuse to let our mind rule us and let God rule, then we will open the door to a wider scope to experience the power of God more in our lives And that is why the apostle Paul said..

2Corinthians 12:9And he said unto me, My grace is sufficient for thee: for my strength is made perfect in weakness. Most gladly therefore will I rather glory in my infirmities, that the power of Christ may rest upon me.

10 Therefore I take pleasure in infirmities, in reproaches, in necessities, in persecutions, in distresses for Christ’s sake: for when I am weak, then am I strong”

God cannot be a healer for us if we are not weak.(a healthy person doesn’t need a doctor), the Pharisees and Sadducees Jesus was useless to them because they considered themselves to be healthy, so they did not benefit anything from the power of God in Jesus Christ.

We are usually grateful when our needs are met, you can’t thank or ask if you don’t have any need.And you also cannot rely on someone if you have the capacity to support yourself. likewise to our God, in order for us to experience His power, we must be weak in His eyes in every way, so that we can see without Him we cannot do anything.

The more we will give ourselves to Him, the more we will open the door to Him to serve us and to see His power,. Children of God are likened to a sheep and not a goat, because a sheep cannot lead itself and relies on its shepherd for everything. unlike goats Goats have the power to go and look after themselves, so they do not need much help from the Shepherd.

Similarly And a toddler, is served in everything by his or her parents including accommodation, food, health, etc. because he seems weak to his parents  without them they can do nothing so the great power of his parents seems upon him, in the same way that we too should be to our heavenly Father,we are children to Him we must humble ourselves as young children to see His power in our lives,  Remember when a child pretends to grow up and wants to make his own decisions, then he slowly frees himself from the arms of his parents and the power of his parents is further diminished, until it arrives when the parent has no place in the child. The Bible says,

“Draw nigh to God, and he will draw nigh to you” (James 4: 8).

This means to the extent that we will give God in our lives, that’s what he will use to work in our lives.  If you give God Sunday to Sunday, and He will reveal to you only on Sundays, as it is month by month, and so will he reveal to you month by month,..but if it is day by day you will see him day by day,.. The bible says.. “and with what measure ye mete, it shall be measured to you again”.

 If you give God 20% of your life he will appear to you in that 20 percent, don’t expect that, if you gave 70% to appear to you in that 70. If you gave him 100% he would appear in that 100% just as the Lord Jesus gave it to his Father. For the power of God is perfected in this weakness, and weakness is when you refuse to rely on your own mind and become like a baby in His presence.

I remember a long time ago we had rented a room somewhere and at the end of the month we had the custom of paying the electricity bill, but at some point we didn’t have any money to pay and we didn’t have anything in our pocket but we believed in God and left him all, we said if our God were there!, he will fight for us, For they that demand money, they are corrupt people, if you pass it one day without paying for it is overwhelming, but by the end of the month we had nothing in our pocket, strangely the creditors didn’t come that day to claim the money and it wasn’t their custom, all the other rooms they went to pay for was our only room left! but it is as if they were blinded so they did not come, into another month on 1,2,3… until the 24th we still hadn’t paid off last month’s debt and of course we didn’t have the money at all. and we continue to use the electricity but we left it to God, we said we should never lend to anyone,

I remember the same day the cooking gas ran out so problems were increased, but when it came to 25th midnight with many thoughts,  we opened the phone and found Tshs.48,000 on M-pesa account..we did not know where it came from.  It was not sent by anyone, and no name or message to show the sender of money, it’s like it was added to the m-money account. we went to withdraw it the same evening.  ironically the same hour after withdraw the money the creditors arrived and in anger demanded their last month’s electricity bill,  we gave them at the same hour, shs. 15,000. The remaining amount we bought gas and other uses.

The Lord has appeared to us His children in this way many times and in many ways But we would say to add and borrow money, certainly the power of God we could not be manifested.. for he says in.. Psalm 46: 1 ″ God is our refuge and strength, a very present help in trouble.” 

When we become weak and leave him, then we will see the power of God.

The children of Israel could not see the sea parted if they had not met the sea-block, they would not have eaten manna if they had not passed through the wilderness, they would not have to split water from the rocks, if they were not thirsty. So when you entrust God with all things to govern in chaos without finding an alternative to your mind,then the power of God will be manifested.

The same is true when you go through a particular ordeal, or when you have been hurt, or have encountered a problem, quickly don’t rush to find alternatives,do not begin to fear, that is the opportunity for you to experience the power of God, and that’s what he wants it to be,  Yes it is good to go to the hospital and it is not a sin to go to the hospital but not every illness is a rush to the hospital, if you do, how will God’s power see you?

I might give you an example that is real. When I was getting a little sick i was running for medicine but it came when I said I wanted to see God in my life, to heal me without trust in man or medicine,

I said I would not take any pill or go to the hospital, since I said it by faith, so far it’s been many years I’ve never taken a pill or gone to the hospital,

whenever I feel a sense of weakness in me, I say the Lord is my doctor who will heal me and of course the situation doesn’t last long after I get back to my normal routine, By doing this the power of God I see in my life every day.

And you brother can say why have I never seen God work miracles in my life? it’s because you yourself have not allowed it to work in you. You didn’t want to be weak in his eyes by lowering yourself to be like a child,. If Something has happened take it as an opportunity for you to see your God and not rely on your own mind, neither man nor anything, leave him and you will see His glory every day.

That is the only way that will make you see GOD’S POWER in your life and that is the way Paul spoke and lived it that enabled him to see God day by day in his ministry. for example, when Shadrach, Meshach, and Abednego were sent into a fiery furnace, they did not give up all for God and in doing so were able to meet God there and make their God to be exalted in the entire Babilon. So did Daniel too..

When he was thrown into the lions’ den, he saw the power of God there, Even Paul and Silas; as they were thrown into prison, they saw the power of God when an angel of God shook the earth and opened the prison doors.These are all because they acknowledged their weakness before the Lord thus, they experienced the magnificent glory of God.

Proverbs 3:5-6 “ Trust in the Lord with all thine heart; and lean not unto thine own understanding.

6 In all thy ways acknowledge him, and he shall direct thy paths”

Amen.

God Bless you.

Please Share with others.


Related Articles:

Home:


Print this post

MUONEKANO MPYA WA YESU BAADA YA KUFUFUKA.

Muonekano mpya wa yesu baada ya kufufuka, unabeba somo gani?


Bwana Yesu alipokuwa bado anaishi duniani, ilikuwa ni rahisi kumtambua, kwani kwa sura yake tu watu waliweza kumtambua kuwa huyu ndiye. Lakini mara baada ya kufufuka kwake, mambo yalikuwa tofauti kabisa, haikuwezekana kumtambua tena Bwana Yesu kwa sura yake..Ilihitaji kipimo kingine tofauti..

Hilo tunalithibitisha sehemu kadha wa kadha, wengine walipomwona walidhani ni mtunza bustani makaburini, wengine walidhani ni mpita njia tu, na wengine walidhani ni mzee Fulani tu anapunga upepo beach..Na kama wangekikosa hicho kipimo kingine ndani yao cha kumtambua Yesu basi wasingekaa wamjue daima haijalishi huko nyuma waliishi naye na kutembea naye na kulala naye muda mrefu kiasi gani..kamwe wasingemjua.

Kwamfano embu tumwangalie Mariamu Magdalene, yeye ile siku ya kwanza ya juma, siku Yesu aliyofufuka, ndio aliyekuwa wa kwanza kufika pale makaburini, lakini alipomkosa Bwana, akidhania kuwa ameibiwa, alikwenda kuwaambia mitume, nao walipokwenda hawakukuta mtu kaburini.. wakaamua kuondoka zao, Sasa wakati Mariamu akiwa pale kaburini analia, kulikuwa na mtu yupo pale muda mrefu tu, anazunguka zunguka, pengine wakina Petro walimwona wakadhani ni watu wale wasio na shughuli wanaozunguka makaburini, lakini Mariamu alipokaa pale muda kidogo akiwa analia, ndipo Huyu mtu ambaye alimwona kama mtunza bustani akamfuata na kumuuliza unatafuta nini?.

Mariam akasema: ikiwa ni wewe ndio umemuiba Bwana wangu niambie..Kumbe hakujua anayezungumza naye ni YESU mwenyewe..Ndipo Yesu akalitaja jina lake Mariamu!..Na alipolitaja tu, Hapo hapo Mariamu akaitambua sauti ile, ni ile sauti yake yenye uweza, sauti ile ile iliyomwita Lazaro atoke makaburini kipindi kile kule nyuma, sasa imemwingia na yeye mpaka kwenye vilindi vya moyo wake ikampa uhakika kuwa huyu ndiye BWANA….Haikujalisha sauti ilikuwa ni ya mtu mwingine,inayofanana na mtu wa taifa lingine, lakini uweza tu wa ile sauti ulimpa uhakika kwamba huyu ndiye Bwana..(Soma..Yohana 20:1-18).

Lakini kama Mariamu asingekuwa na ushuhuda huo huko nyuma, basi ingekuwa ni rahisi kumpoteza Yesu..

Vivyo hivyo wale watu wawili ambao walikuwa wanakwenda katika kile Kijiji cha Emau, nao pia walipokuwa wanatembea njiani, Yesu alikutana nao isipokuwa katika sura nyingine..Na akaanza kuzungumza nao habari za kutabiriwa kwake, kuja kwake, na kufufuka kwake..Wale watu waliposikia tu yale maneno, jinsi yalivyokuwa yenye nguvu kwa namna ile ile waliyokuwa wanamsikia Bwana akifundisha makutano akiwa bado hai, hawakumuacha aondoke hivi hivi, wakamkaribisha nyumbani kwao, ndipo baada tu ya kuumega mkate na kuwapa, wakafumbuliwa macho wakatambua kuwa alikuwa ni YESU. Na saa hiyo hiyo akatoweka mbele ya macho yao.(Luka 24:13-33)..Lakini kama wasingetilia maanani uweza uliokuwa unatoka ndani ya maneno yale..wasingekaa wamtambue Kristo.

Mwisho kabisa Petro na wenzake, walipokuwa wanakwenda kuvua samaki, baada ya kuhangaika usiku kucha hawajapata kitu..Asubuhi yake kwa mbali walimwona mtu kama mzee akiwa pwani, mwenye sura wasioijua, mtu yule akawauliza wanangu mmepata kitoweo, wakasema hapana Bwana, akawaambia, tupeni jarife upande wa pili, wakidhani ni mzee tu wa kawaida anawashauri, wajaribu bahati yako, ..Na walipotupa tu jarife, wakapata samaki wengine..Mwanafunzi mmoja alipoiona ile ishara, akatambua kuwa hii ni ishara ile ile aliyotufanyia Bwana kipindi kile akiwa hapa duniani..Ndipo Yule mwanafunzi akamwambia Petro aliyetupa maagizo haya ni Bwana Yesu..Petro kusikia hivyo muda huo huo akapiga makasia kumfuata Pwani..

Biblia inatuambia walipomwona Bwana japo aliwatokea katika sura nyingine tofuati kabisa..Lakini hakuna hata mmojawao aliyetaka uthibitisho kama yeye ni Bwana kweli au la, Wote walipata uhakika ule, kwa ule uweza wake mkuu , na yale maneno aliyokuwa anazungumza nao akiwa pale ufukweni..(Yohana 21:1-25)..Lakini kama wasingeyaona matendo makuu kama yale Bwana aliyowahi kuwafanyia huko nyuma, kamwe wasingejua hata kama yule ni YESU. Wangedhani ni mzee Fulani tu amewapa dili la kazi.

Hivyo ndivyo Kristo alivyochagua kujidhihirisha kwa watu baada ya kufufuka kwake..Mpaka ikawafanya hata wengine wamtilie shaka..Hao ndio wale ambao walioukosa ushuhuda wake ndani yao..ndio wale waliokuwa wanalitazama umbo la Yesu, lakini hawayatafakari matendo yake, na ishara zake.

Mathayo 28:16 “Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya mpaka mlima ule aliowaagiza Yesu. 17 Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao waliona shaka”.

Sasa kwa mabadiliko hayo, mitume kuanzia huo wakati wakatoa akili zao kabisa katika kuitegemea sura ya YESU, kama kipimo cha kumtambua Kristo mpaka kuutegemea ushuhuda wa YESU Maishani mwao.

Hivyo sura ya Yesu ikawa haina umuhimu tena kwao..Na ndio maana utaona Mitume mahali popote hawakuwahi kujisifia umbile la Yesu au Sura yake, au sauti yake..Bali ule Ushuhuda wa YESU uliokuwa ndani yao, ndio uliowafanya wamjue na kumtambua Yesu.

Vivyo hivyo leo hii KRISTO yupo kila mahali, lakini kama umeukosa ule ushuhuda wake ndani yako, utamwona tu kama mtunza bustani, utamwona tu kama mpita njia, utamwona tu kama mzee Fulani..

Ndio maana kuna umuhimu sisi tunaojiita wakristo, kujifunza biblia sana..kwasababu wakati utafika Kristo atajidhihirisha kwako, lakini hutamtambua kwasababu huujui ule ushuhuda wake alipokuwa hapa duniani ulivyokuwa.

Kwamfano Injili ya Kristo inapohubiriwa kwako, na unaona kabisa imekuja kwa ukali, na uzito, na kwa nguvu, labda inakutaka wewe ufanye jambo Fulani.. Sasa kwa kuwa wewe huna ushuhuda wa Yesu ndani yako, unaokushuhudia hata katika maandiko kuwa kulikuwa na watu wawili wa Emau, ambao neno la Kristo liliwajia kwa uzito kama huo, wakachukua hatua ya kusikiliza mpaka mwisho..Wewe unapuuzia, Unadhani ni mlokole Fulani anahubiri, au mchungaji tu Fulani, au kijana tu Fulani anauhibiri..kumbe hujui unampuuzia Kristo mwenyewe.

Na wakati huo huo unakesha kuomba kwamba Bwana akutokee, unataka akutokee vipi? Unataka umwone kavaa mavazi meupe, mwenye nywele ndefu, ndio umtambue?. Hilo wazo na ufute. YESU ameshafufuka, haji kwetu kwa muonekano ule tena.

Huu ni wakati wa kumjua yeye kwa ushuhuda wake.Hapo ndipo tutakapomwona akitembea katika Maisha yetu kila siku. Na hiyo inakuja pale tu Neno la Kristo linapokaa kwa wingi ndani yetu.

Vingenevyo tutamtilia shaka tu sikuzote, hata akitokea kwa sura ipi, kama wale wengine walivyomtilia shaka kule Galilaya, na wewe utamtilia shaka hivyo hivyo.

Bwana akubariki.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia masomo haya kwa njia ya email yako au Whatsapp tutumie ujumbe kwenye boksi la maoni chini au piga namba hii +255 789001312

Mada Nyinginezo:

TULICHUNGUZE UMBO LA YESU NA MWENENDO WAKE.

USIISHIE KUTAZAMA JUU, ENDELEA MBELE.

TUWATAFAKARI NZIGE WA JANGWANI.

WAZAZI WA YOHANA NA YAKOBO.

LOLOTE ATAKALOWAAMBIA FANYENI.

Rudi Nyumbani:

Print this post

Je! ni dhambi kuchukua riba?

Biblia inasema tusikopeshe kwa riba, je! Wanaowakopesha watu kwa riba wanafanya dhambi?


JIBU: Biblia imezuia kutozana riba ndugu kwa ndugu tu..lakini kwa wengine nje ya ndugu sio dhambi kuwatoza riba.

Kumbukumbu 23:19 “Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula, riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba;

20 mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu yako kwa riba; ili Bwana, Mungu wako, apate kukubarikia katika yote utiayo mkono wako, katika nchi uingiayo kuimiliki”.

Kwa mfano ndugu yako unamwona anayoshida, anaomba umkopeshe fedha kidogo, halafu wewe unatumia ile fursa kumwambia aongeze na kiwango kingine cha fedha juu yake(riba), kama faida yako, Hiyo ni dhambi, akikopa, basi arudishe kile kile alichokopa..Usigeuze shida za ndugu yako kuwa mtaji..

Katika hali ya kawaida hata bila kuambiwa na mtu au kufundishwa, ukiwa na nyumba ya biashara, halafu ndugu yako wa karibu amekuja kukaa hapo kwa kipindi fulani tu.. Huwezi kumwambia alipie kodi kamili kama watu wengine, anaweza kulipia tu zile gharama za kawaida ndogo ndogo lakini sio kulipia kila kitu..hakuna mtu mwenye utu anaweza kumfanyia hivyo ndugu yake.

Hali kadhalika katika Ukristo, wote tuliomwamini Yesu Kristo tunafanyika kuwa ndugu..Upendo wa Kristo unatuunganisha pamoja.tunakuwa tunapendana bila masharti..Upendo huo unatufanya kusiwepo hata na hamu ya kutaka faida kutoka kwa ndugu zetu katika Imani kama vile ilivyo katika ndugu zetu wa mwili. Ndio hapo biblia inatuasa kwamba tusitozane riba sisi kwa sisi. Lakini kwa mtu mwingine nje na ndugu zetu wa kimwili na kiimani, tunaweza kuwatoza ili tupate faida katika tunavyovifanya..kwasababu riba ndio inayokifanya kile kitu au ile shughuli ile iendelee mbele zaidi.

Lakini tukiwatoza ndugu zetu kwa lengo la kupata faida hapo upendo wa Kristo haupo ndani yetu, na hivyo tunafanya dhambi na kumkosea Mungu.

Ezekieli 22:12 “Ndani yako wamepokea rushwa ili kumwaga damu; umepokea riba na faida; nawe kwa choyo umepata mapato kwa kuwadhulumu jirani zako, nawe umenisahau mimi, asema Bwana MUNGU.

 Ubarikiwe.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia masomo haya kwa njia ya email yako au Whatsapp tutumie ujumbe au piga namba hii +255 789001312

Mada Nyinginezo:

USILETE UJIRA WA KAHABA, NYUMBANI KWA MUNGU.

Je! ni sahihi kwa Mkristo kusherekea siku yake ya kuzaliwa.[Birth day]?

USIWE NA HOFU, USHUKAPO CHINI.

EWE MKE! HESHIMA YAKO IPO KWA WAKWE ZAKO.

JINSI NEEMA YA MUNGU ILIVYOKUWA KUBWA KWA MKE WA LUTU.

Rudi Nyumbani:

Print this post

IS IT TRUE, WATER BAPTISM IS NO LONGER NEEDED?

  1. My pastor was telling me, I don’t need water baptism right now for me to be saved, I should consider only Holy spirit baptism and that is enough for salvation.

He quoted me with this piece of scripture…

Matthew 3:11 “I indeed baptize you with water unto repentance. but he that cometh after me is mightier than I, whose shoes I am not worthy to bear: he shall baptize you with the Holy Ghost, and with fire”:

Now, I want to be sure if this statement proves water baptism had ended with John the Baptist, or not. Should I abandon water baptism?

Ans.

In those verses you can find nowhere John has said, for this case now you can abandon the water baptism and stick only with holy spirit baptism… only canal people have translated those verses in that way, but that is not what scriptures instructed.

Thanks God all the answers are in the bible. And today we will look at one apostle, who understood that verse very well and interpret it correctly to the people.

When we read the book of Acts of apostles chapter 10 we find a story of one man named Cornelius, this man was very Godly and loyal in all of his offerings, but one day an angel appeared to him and instructed him  to go and find Peter, whom will tell him what he is supposed to do.

When Peter responded to the call and go, after the vision he saw few minutes prior their arrivals, about their coming, he went to the house, and we see, as soon as he begun to preach  the Holy spirit descended upon every one of them who was in the house, and all started to speak in another tongue.

But wait…

That wasn’t the end of it. Peter did say now it’s finished, you have already received the Holy Spirit now everyone can go and continue to their services, rather he instructed every one of them to go baptised into the water in the name of Lord Jesus Christ…

Acts 10:44-48 King James Version (KJV)

44 While Peter yet spake these words, the Holy Ghost fell on all them which heard the word.

45 And they of the circumcision which believed were astonished, as many as came with Peter, because that on the Gentiles also was poured out the gift of the Holy Ghost.

46 For they heard them speak with tongues, and magnify God. Then answered Peter,

47 Can any man forbid water, that these should not be baptized, which have received the Holy Ghost as well as we?

48 And he commanded them to be baptized in the name of the Lord. Then prayed they him to tarry certain days.

Now as we are heading to the peak of the questions asked…If you want to know that Peter, knew that verses very well, even more than we do. See when he gets back to Jerusalem to meet Jews, telling them everything which was going on there, I want you to hear closely what he told them.

Acts 11: 15 And as I began to speak, the Holy Ghost fell on them, as on us at the beginning.

16 THEN REMEMBERED I THE WORD OF THE LORD, how that he said, JOHN INDEED BAPTIZED WITH WATER; BUT YE SHALL BE BAPTIZED WITH THE HOLY GHOST.

17 Forasmuch then as God gave them the like gift as he did unto us, who believed on the Lord Jesus Christ; what was I, that I could withstand God?

Read again verse 16, Peter quoted John Baptist words saying…John indeed baptized with water; but ye shall be baptized with the Holy Ghost…see? that statement proves he knew Holy spirit baptism was necessary for salvation but water is also required to accomplish the whole salvation process.

Even now everyone who is claiming to have the Holy spirit must have been baptised also by water. Jesus said. He that believeth and is baptized shall be saved; but he that believeth not shall be damned. (Mark 16:16)

Therefore, there is no salvation without water… go and find correct water baptism for your salvation according to Acts 2:38

Shalom.

Print this post

KUOTA UMEACHWA NA GARI.

Kuota umeachwa na gari, Maana yake ni nini?


Hii ni ndoto inayowapata watu wengi sana.Hususani wale ambao walishaokoka, lakini mambo mengine ya kidunia yanawasonga sasa hivi..Au walisharudi nyuma kabisa na kuacha wokovu

Ndogo hii inakuja katika maumbile tofuati tofauti wengine wanaota wameachwa na ndege, wengine wanaota wameachwa na wenzao ambao walikuwa wanakwenda pamoja,  lakini wengi wao wanaota wameachwa na gari walilokuwa wanasafiria.

Kwa mfano mtu mmoja alinihadhithia ndoto hii, ambayo rafiki yake aliiota ikawa inamsumbua sana..

Aliota alikuwa kwenye basi anasafiri, sasa lile basi likafika mahali kwenye foleni, na yeye baada ya kuona vile limesimama pale,  akaamua kushuka kidogo, na aliposhuka tu lile gari likaanza safari, anasema akaanza kulikimbilia, kumbe wakati analikimbilia kulikuwa na watu wengi nao wanalikimbilia lile gari, mchanganyiko wamama, watoto, na watu wengine n.k. Lakini baadaye yeye akajitahidi kwa nguvu sana kuliwahi akafanikiwa kuingia lakini kwa shida sana, na alipofika ndani akakuta siti yake imeshakaliwa na mtu mwingine..Ikimbidi ajikalie tu mwenyewe pale pembeni, lakini baada ya muda mfupi mzee mmoja akatokea akamsukuma atoke hata pale alipokuwa amekaa, akiwa hana sehemu ya kukaa kwa bahati nzuri akaona siti moja ipo wazi pembeni yake akaenda kuikalia na muda huo huo akashtuka..

Nilipo hoji nikagundua kuwa mtu huyo alikuwa ameokoka lakini baadaye alirudi nyuma, amesongwa na mambo ya ulimwengu huu..Na pale Mungu alikuwa anamwonyesha mwenendo wake jinsi ulivyo alipoona anakawia kukipata kile alichokuwa anakitafuta katika njia yake ya wokovu akaamua kwenda kukitafuta katika mambo ya ulimwenguni..Na hiyo itamgharimu kwasababu upo wakati atatamani kurudi lakini itakuwa ngumu sana kwake kwasababu wokovu sio safari ya kujaribu jaribu kama yule mke wa Lutu alivyofanya, aligeuka mara moja tu, na saa hiyo hiyo akageuka kuwa jiwe la chumvi.

Ikiwa na wewe ni mfano wa mtu kama huyu umeota ndoto ya namna hii umeachwa na basi ujue huo ni ujumbe kamili kutoka kwa Mungu, kuwa unaupoteza wokovu wako, na kuwa ukiendelea katika hali hiyo inayoendelea sasahivi ya kujitenga na wokovu, au kusongwa na mambo ya ulimwengu basi hautaupata tena daima na nafasi yako atapewa mwingine..

Lakini kama wewe hujaokoka kabisa yaani Bwana YESU hajayabadilisha maisha yako, wala huna habari na Mungu.. wewe umekuwa mkristo jina tu, au Muislamu, au huna dini kabisa..Hapo ni Mungu anakuonyesha jinsi gani inavyoogopesha na inavyosikitisha mtu unapoachwa safarini..Sasa jiulize, kwa mtu ambaye haujaanza kabisa safari, yeye atakuwa katika hofu nyingi kiasi gani?..Ndivyo ilivyo hali yako wee Upo katika dhambi, upo mautini, mbingu ipo mbali na wewe.

Sikia sauti ya Kristo, inayokuambia njoo kwangu leo.. Uanze naye safari njema ya kuelekea ufalme wa mbinguni. Kukutana na ujumbe kama huu si bure, Ni Mungu anazungumza na wewe.

Yesu anasema..

Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.(Yohana 14:6)..

Ikiwa unataka na wewe kwenda mbinguni basi YESU ndiye njia..wala hakuna mwingine.

Vile vile biblia inasema..

Isaya 35:8 “Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo”.

Dunia hii inapita na mambo yake..Utauhangaikia huu ulimwengu mpaka lini, Ukifa leo, ni nani atakuwa mgeni wako huko uendako?. Ni nani atakayekupokea, utaulizwa safari yako ilikuwa ya kuelekea wapi, utajibu nini..Kwanini leo usichukue tiketi yako mkononi, uanze maisha mapya na Bwana Yesu..Kwasababu ni kweli atayabadilisha maisha yako na wewe mwenyewe utaona ni jinsi gani umeianza safari njema, ya uhakika na yenye matumaini..Ulevi, uzinzi, starehe, sema leo ni mwisho ninaamua kumgeukia Kristo.

 Ikiwa unataka kufanya hivyo leo.

Basi uamuzi unaoufanya ni wa busara sana ambao hautakaa uujutie maisha yako yote kama ilivyokuwa hata kwetu sisi. Unachopaswa kufanya, hapo ulipo, chukua muda mchache ujitenge peke yako. Kisha piga magoti, kisha fuatisha sala hii kwa Imani, ukijua kuwa Mungu yupo hapo karibu na wewe pembeni yako kukusikia..Kisha ukiwa sasa katika utulivu Sema sala hii kwa sauti.

EE MUNGU BABA, NAJA MBELE ZAKO, NIKIWA NINAJITAMBUA KUWA MIMI NI MKOSAJI NA NIMEKUTENDA DHAMBI NYINGI, NA KWAMBA NIMESTAHILI HUKUMU. LAKINI WEWE MUNGU WANGU ULISEMA KATIKA NENO LAKO KUWA WEWE NI MUNGU WA REHEMA UNAYEWAREHEMU  MAELFU ELFU YA WATU WANAOKUPENDA WEWE. NA LEO HII NINAKUJA MBELE ZAKO NAHITAJI MSAMAHA WAKO NA MSAADA WAKO MUNGU WANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE KWA KUMAANISHA NA KWA MOYO WANGU WOTE, NINAKIRI KUWA YESU KRISTO NI BWANA, NA YEYE NDIYE MWOKOZI WA HUU ULIMWENGUNI. HIVYO NAOMBA DAMU YA MWANAO TAKATIFU INISAFISHE UOVU WANGU WOTE SASA NIFANYIKE KUWA KIUMBE KIPYA KUANZIA LEO NA HATA MILELE.

ASANTE BWANA YESU KWA KUNIPOKEA NA KUNISAMEHE.

AMEN.

Sasa ikiwa umefuatisha sala hiyo kwa Imani ..Hatua iliyobakia kwako ni kuithitisha toba yako kwa Vitendo ikiwa ulikuwa unafanya mambo yote ambayo hayampendezi Mungu unayaacha na kujitenga nayo, Sasa Mungu akishaona umegeuka kwa vitendo basi toba yako anaipokea na atakuja ndani yako wakati huo huo na kufanya makao ya milele kwako. Vile vile unahitaji, kutafuta kanisa la kiroho ambalo utajumuika na wakristo wengine katika kumwambudu Mungu, na kujifunza biblia ili uukulie wokovu. Na vilevile ili upate ubatizo sahihi wa kuzamishwa katika maji mengi na kwa jina la YESU KRISTO kwa ajili ya ondoleo la dhambi zako.

Ubarikiwe sana

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia masomo haya kwa njia ya email yako au Whatsapp tutumie ujumbe au piga namba hii +255 789001312

Mada Nyinginezo:

FUATILIA NDOTO HII, UTAJIFUZA KITU.

PENGINE MUNGU ALISHASEMA NAWE KWA NJIA HII.

KUOTA UPO UCHI.

SIKU YA UNYAKUO ITAKUKUTAJE?

USHUHUDA WA RICKY:

Rudi Nyumbani:

Print this post