UNYAKUO WA KANISA UMEPITA LEO!!

by Admin | 23 April 2022 08:46 pm04

“Unyakuo wa kanisa umepita leo!. Hakuna tena toba”

Je taarifa hizi zimekushtua??.

Hebu jiulize Siku taarifa hizi zitakapokuwa kweli utakuwa katika hali gani?
Mpaka sasa, unyakuo bado, haujatokea lakini siku utakapotokea utakuwa katika hali gani, utakapopewa taarifa kuwa watakatifu wamenyakuliwa na wewe umewachwa???..

Je utashtuka kama ulivyoshtushwa leo au utaona kawaida?.

Kama umeshtuka leo, hiyo ni kuonyesha kuwa wewe hupaswi kuwa wa ulimwengu, nyumbani kwako sio huku..ndio maana umeshtuka na kuogopa kusikia umeachwa!.
Rudi leo utubu kwasababu Siku hiyo pengine utaamka asubuhi na kukutana na hizo taarifa “Unyakuo umepita”..ukikumbuka kuwa masaa kadhaa tu nyuma yaliyopita, ulisikia mahubiri na ulipuuzia.

Tubu leo hii na umpokee Yesu, kwasababu ni kweli upo karibuni kutokea.

Kama leo hii utatamani kumpa Yesu maisha yako, basi piga namba hizi, tuweze kuomba pamoja na kukuongoza sala ya Toba.
0789001312.

DOWNLOAD PDF
WhatsApp

Source URL: https://wingulamashahidi.org/2022/04/23/unyakuo-wa-kanisa-umepita-leo/