by Admin | 8 February 2024 08:46 am02
Mitume wa BWANA YESU walikuwa 12, ambapo baadaye walisalia 11 baada ya YUDA ISKARIOTE, aliyemsaliti BWANA kufa kwa kujinyonga!.. Nafasi yake ilichukuliwa na MATHIYA, na hivyo kukamilisha idadi ya Mitume 12
IFUATAZO NI TAKWIMU YA MITUME WA BWANA.
Kutazama column za ziada slide jedwali lifuatalo kuelekea upande wa kushoto.
N/A | JINA | Majina Mengine | Jina la Mzazi | Mji aliotokea | kazi aliyokuwa anafanya | Vitabu vya biblia alivyoandika | Alivyokufa |
---|---|---|---|---|---|---|---|
1. | SIMONI | - Kefa/jiwe/Petro | Yona (Mathayo 16:17) | Bethsaida ya Galilaya | MVUVI | 2 (1Petro na 2Petro) | -Kwa Kusulibiwa kichwa chini miguu juu |
2. | ANDREA | Hakuna | Yona | Bethsaida ya Galilaya | MVUVI | Hakuna | - Kwa kusulibiwa |
3. | YAKOBO | -Boanerge | Zebedayo na Salome | Bethaida ya Galilaya | MVUVI | Hakuna | -Kwa kukatwa kichwa na Herode (Matendo 12:1-2) |
4. | YOHANA | -Boanerge | Zebedayo na Salome | Bethsaida ya Galilaya | MVUVI | 5 (Yohana, Waraka wa Yohana na Ufunuo) | - Katika uzee |
5. | MATHAYO | -Lawi | Alfayo (Marko 2:14) | Galilaya | MTOZA USHURU | 1 (Mathayo) | -Kwa kuchomwa Mkuki Ethiopia |
6. | BARTHOLOMAYO | - Nathanaeli | Halijatajwa katika Biblia | Galilaya | Haijatajwa katika Biblia | Hakuna | - Kwa kusulibiwa |
7. | TOMASO | - Pacha | Halijatajwa katika Biblia | Galilaya | MVUVI | Hakuna | -Kwa kuchomwa Mkuki, India |
8. | FILIPO | Hakuna | Halijatajwa katika Biblia | Galilaya | Haijatajwa katika Biblia | Hakuna | - Kwa kusulibiwa |
9. | YAKOBO | - Yakobo mdogo | Alfayo | Galilaya | Haijatajwa katika Biblia | Hakuna | -Kwa kupigwa Mawe |
10 | SIMONI | - Zelote | Halijatajwa katika Biblia | Kana ya Galilaya | Haijatajwa katika Biblia | Hakuna | - Kwa kusulibishwa |
11. | THADAYO | - Yuda | Yakobo | Galilaya | Haijatajwa katika Biblia | Hakuna | -Kwa kupigwa Mawe |
12. | YUDA | -Iskariote | Simoni | Keriothi | Haijatajwa katika Biblia | Hakuna | - Kwa kujinyonga |
13. | MATHIYA | Hakuna | Halijatajwa katika Biblia | Haujatajwa | Haijatajwa katika Biblia | Hakuna | -Kwa kukatwa kichwa |
Tafadhali shea na wengine ujumbe huu;
Pia Kwa maombezi/ Ushauri/ Maswali/ Whatsapp:
Tuandikie katika BOXI la Maoni hapo chini au
Piga namba hizi: +255789001312 au +255693036618
Mafundisho mengine:
Rudi nyumbani
Source URL: https://wingulamashahidi.org/2024/02/08/majina-ya-mitume-wa-bwana-yesu/
Copyright ©2025 unless otherwise noted.