DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

WAENDEE WANA WA ISAKARI, UWE SALAMA.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, nakukaribisha katika kuyatafakari maneno ya uzima, na leo tena kwa neema za Bwana tutajikumbusha juu ya mambo ya msingi ya kuzingatia siku hizi…

Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19)

Nyungu ni nini? Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19) Nyungu ndio  Chungu kwa jina lingine, kibiblia kilitumika kuchemshia maji, nyama, nafaka, mboga mboga n..k Unaweza kulisoma Neno hili katika…

Kulabu ni nini katika biblia?(2Wafalme 19:27)

Kulabu ni nini katika biblia? Kulabu ni aina ya ndoano, tofauti na ile ya kuvulia samaki hii ni ile inayotumiwa kushikilia vitu, kama vile mapazia, mashuka, nguo n.k., tazama picha…

Ni vitu vipi hivyo viwili visivyoweza kubadilika? (Ebr 6:18)

SWALI: Naomba kuuliza, huu mstari una maana gani? "..VITU VIWILI visivyoweza kubadilika ambavyo kwa hivyo Mungu hawezi kusema uongo"?! (Waebrania 6:18). JIBU: Shalom.. Tusome… Waebrania 6:17  "Katika neno hilo Mungu,…

Kwanini madhabahu zilitengenezwa kwa mawe yasiyochongwa?

SWALI: Kwanini Musa aliagizwa awaambie wana wa Israeli watengeneze madhabahu kwa mawe yasiyochongwa? Kwanini yawe mawe yasiyochongwa? JIBU: Tusome vifungu vyenyewe; Kutoka 20:24 “….. kila mahali nitakapotia ukumbusho wa jina…

Kuchelea ni nini?(2Wakorintho 11:3)

Nini maana ya neno kuchelea kama tunavyolisoma katika biblia? Kuchelea ni hofu au wasiwasi, husanani ule unaotokana na kuzuka kwa madhara Fulani. Kwa mfano tusome mstari huu; 2Wakorintho 11:2 Maana…

Kutahayari ni nini katika biblia?(2Timotheo 2:15)

Kutahayari maana yake ni kuweka katika aibu, kuaibisha, kuaibishwa, kuaibika. Hivi ni baadhi ya vifungu vinavyolieeleza Neno hilo; 2Timotheo 2:15 “Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na…

SIFONGO NA SIKI NI NINI?

SWALI: Sifongo na siki ni nini, alizopewa Bwana Yesu pale Msalabani? JIBU: Tusome.. Yohana 19: 28  “Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe,…

JACHIN AND BOAZ

JACHIN AND BOAZ. Shalom, may the name of our Lord be blessed forever. The Word of God tells us .. Lamentations 3:22-23 “It is of the Lord's mercies that we…

YESU ANA KIU NA WEWE.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tuyatafakari maandiko pamoja. Kama tunavyojua hakuna wokovu kwa mwingine yoyote, isipokuwa kwa Bwana wetu Yesu, haijalishi dunia itasema nini, haijalishi imani nyingine…