ROHO YA MPINGA KRISTO IKITENDA KAZI SIKU HIZI ZA MWISHO

Papa kiongozi wa kanisa katoliki duniani alipokuwa akihutubia mbele ya maelfu ya watu juni 25, 2014 St. Peter’s Square vatican akisema:     katika ukristo hakuna hilo suala kama kumtafuta Kristo peke yako     Mkristo yeyote ni lazima awe mshirika wa kanisa fulani      papa aliendelea kusema kwamba kuwa na mahusiano binafsi na Kristo, kwa … Continue reading ROHO YA MPINGA KRISTO IKITENDA KAZI SIKU HIZI ZA MWISHO