https://www.high-endrolex.com/4

Machapisho mapya

Ya hivi karibuni..

ByAdmin Feb 17, 2025

Kujihudhurisha mbele za Bwana ndio kufanyaje (Ayubu 2:1).

Swali: Maana ya kujihudhurisha mbele za MUNGU kulingana na Ayubu 2:1 ndio kufanyaje?. Jibu: Turejee… Ayubu 2:1 “Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda KUJIHUDHURISHA mbele za BWANA,…

kuna haja gani ya kuamini
ByAdmin Feb 15, 2025

Je kuna haja gani ya kuamini biblia iliyoandikwa na watu?

Swali: Biblia imeandikwa na watu, (kama Paulo, Petro, Musa, Daudi na wengineo) je tutaamini vipi kitu kilichoandikwa na wanadamu kuwa ni kweli,? vipi kama wametoa tu kwenye akili zao, kwanini…

tafsiri nyingi za Biblia
ByAdmin Feb 15, 2025

Kwanini kuna tafsiri nyingi za Biblia, na tafsiri ipi ni sahihi?

Jibu: Mpaka kufikia mwaka 2024 biblia imetafsiriwa kwa lugha 756, hivyo kuna tafsiri Zaidi ya 756 mpaka sasa duniani kote. Sasa kwa asili biblia iliandikwa kwa lugha kuu tatu, ambazo…

ByAdmin Feb 14, 2025

Biblia unapozungumzia kuhusu kupewa jina jipya inamaanisha nini?

SWALI: Naomba kufahamu Biblia unapozungumzia kuhusu kupewa jina jipya inamaanisha nini? JIBU: Kazi ya jina sio tu kumtambulisha au kumtofautisha mtu mmoja na mwingine. Bali jina linasimama pia kueleza Wasifa…

ByAdmin Feb 13, 2025

Je mtu anaweza akawa hajaokoka akaombea mtu na Pepo likamtoka,

SWALI: Je mtu anaweza akawa hajaokoka akaombea mtu na Pepo likamtoka, na pia mtu anaweza akawa ameokoka akaombea mtu na pepo lisitoke ? JIBU: Kuhusu swali la kwanza linalosema je…

Madhali ni nini
ByAdmin Feb 13, 2025

Madhali ni nini? (Zab 21:11)

Swali: Maana ya Madhali ni nini kama ilivyotumika hapo katika Zaburi 21:11 Jibu: Turejee… Zaburi 21:11 “Madhali walinuia kukutenda mabaya, Waliwaza hila wasipate kuitimiza”. Neno “Madhali” limeonekana mara moja tu…

Je! Ungependa kuchangia huduma hii?

"Tutafurahi kama utashirikiana nasi kwa mchango wako, au maombi yako au nguvu zako katika kusambaza jumbe hizi kwa wengine na Mungu atakubariki."

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

Shuhuda

Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako

Download

download video, audio, pdf za masomo mbalimbali