Machapisho Mapya

FAIDA NYINGINE YA MAOMBI YA KUSHUKURU.
ByDevis Jun 24, 2025

FAIDA NYINGINE YA MAOMBI YA KUSHUKURU.

Jambo jingine Kuu la kujifunza kama mkristo ni Kumshukuru Mungu kila wakati na kwa kila jambo, kwamaana maandiko ndivyo yanavyotufundisha..…

Je mapepo yanakufa? Na kama hayafi, tunashindanaje vita vya kiroho?
ByDevis Jun 23, 2025

Je mapepo yanakufa? Na kama hayafi, tunashindanaje vita vya kiroho?

SWALI: Je mapepo yanakufa? Na kama hayafi, ni vita ya namna gani tunashindana nayo katika ulimwengu wa Roho? JIBU: Katika…

Agano jipya na Agano la Kale
ByDevis Jun 19, 2025

Ipi Tofauti ya Agano jipya na Agano la Kale?.

Ili tuelewe vizuri utofauti uliopo kati ya Agano jipya na la kale,  tutafakari mifano ya kawaida ya maisha; Hebu tafakari…

LINDA CHEMCHEMI YA MOYO WAKO.
ByDevis Jun 17, 2025

LINDA CHEMCHEMI YA MOYO WAKO.

Mithali 4:23 “Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako CHEMCHEMI ZA UZIMA”. Chemchemi kazi yake ni kutoa “maji…

Yeremia 31:30 “Bali kila mtu atakufa kwa sababu ya uovu wake mwenyewe; kila mtu alaye zabibu kali, meno yake yatatiwa ganzi”.
ByDevis Jun 16, 2025

kila mtu alaye zabibu kali, meno yake yatatiwa ganzi

SWALI: Nini maana ya Yeremia 31:30 “Bali kila mtu atakufa kwa sababu ya uovu wake mwenyewe; kila mtu alaye zabibu…

Je! Ni sahihi kwa mkristo kujifunza, au kufundishwa na AI (Artificial Inteligence), mfano wa Chatgpt, deepseek n.k.
ByDevis Jun 16, 2025

Je! Ni sahihi kwa mkristo kufundishwa na AI mfano wa Chatgpt, deepseek n.k.

SWALI: Je! Ni sahihi kwa mkristo kujifunza, au kufundishwa na AI (Artificial Inteligence), mfano wa Chatgpt, deepseek n.k. JIBU: Ili…

Changia Huduma Hii

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

You-tube

Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti