https://www.high-endrolex.com/4

Machapisho mapya

Ya hivi karibuni..

FAIDA YA KUMTOLEA MUNGU.
ByAdmin Oct 28, 2024

FAIDA NYINGINE MUHIMU YA KUMTOLEA MUNGU.

(Masomo maalumu yahusuyo Sadaka na Matoleo) Angalizo: Masomo haya hayana lengo ya kuhimiza matoleo, (Au kuwaweka watu katika mitego ya kutoa) bali yana lengo la kutoa elimu sahihi ya kiMungu…

MAANA ROHO HUCHUNGUZA YOTE, HATA MAFUMBO YA MUNGU.
ByAdmin Oct 28, 2024

MAANA ROHO HUCHUNGUZA YOTE, HATA MAFUMBO YA MUNGU.

Wakorintho 2:10  Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu. 11  Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu…

ALIWAANGAMIZA BAADAYE
ByAdmin Oct 25, 2024

ALIWAANGAMIZA BAADAYE WALE WASIOAMINI.

Karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu wetu lililo Mwanga wa Njia zetu,  na Taa iongozayo miguu yetu (Zaburi 119:105). Neno hili lililo Taa linasema.. Yuda 1:5 “Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa…

Kututa ni nini?
ByAdmin Oct 25, 2024

Kututa ni nini? (Mhubiri 2:26).

Swali: Neno “Kututa” lina maana gani kama tusomavyo katika Mhubiri 2:26? Jibu: Turejee.. Mhubiri 2:26 “Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha; bali mkosaji humpa taabu,…

kijiti kuwaka moto
ByAdmin Oct 23, 2024

Ono la kile kijiti kuwaka moto pasipo kuteketea lilibeba ufunuo gani? (Kutoka 3:2 )

Swali: Katika Kutoka 3:2 tunasoma kuwa Mungu alisema na Nabii Musa kupitia kile kijiti ambacho kilikuwa kinawaka moto lakini hakikuteketea, je kulikuwa kuna sababu gani au ufunuo gani katika ishara…

Mwandishi wa kitabu cha Waebrania ni nani?
ByAdmin Oct 22, 2024

Fahamu Mwandishi wa kitabu cha Waebrania ni nani.

Mwandishi wa kitabu cha Waebrania ni nani? Kitabu cha Waebrania ni moja ya nyaraka ambazo waandishi wake hawajajitambulisha aidha ndani au mwanzoni  au mwishoni mwa nyaraka hizo. Lakini kwa kutathimini…

Je! Ungependa kuchangia huduma hii?

"Tutafurahi kama utashirikiana nasi kwa mchango wako, au maombi yako au nguvu zako katika kusambaza jumbe hizi kwa wengine na Mungu atakubariki."

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

Shuhuda

Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako

Download

download video, audio, pdf za masomo mbalimbali