Ya hivi karibuni..
Hebu tusome Habari ifuatayo kwa utaratibu halafu tutafakari Pamoja… Ufunuo 3:15 “Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingek...
Babewatoto ni jina lingine la mapepo yanayotembea usiku (yenye mfano wa ndege wa angani). Hawa wametajwa mara moja tu katika biblia.. Isaya ...
SWALI: Nini maana ya ugonjwa wa kufisha? Yeremia 17:9 Yeremia 17:9 “Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awez...
Kiasi kama tafsiri yake ilivyo ni kuwa na uwezo wa kudhibiti jambo/tendo lisipitilize mipaka yake, yaani litendeke kwa sehemu tu. Katika Ukr...
Yeremia 48:10 “Na alaaniwe mtu afanyaye kazi ya Bwana kwa ulegevu; NA ALAANIWE AUZUIAYE UPANGA WAKE USIMWAGE DAMU”. Je kufuatia mstari huo, ...
Jibu: Ndio ni jambo la kimaandiko kabisa kupiga kura kuchagua viongozi wa kanisa!. Lakini ni lazima kuzingatia wanaopiga kura na anayepigiwa k...
Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"
kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe
Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa
Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako
download video, audio, pdf za masomo mbalimbali