Mafundisho

Masomo ya hivi karibuni ni ya kwanza katika orodha, ili kusoma, bofya kichwa cha somo husika kufungua. Pia ukiwa na maswali/ unahitaji maombezi/ piga namba hizi: +255693036618/ +255789001312

KARIBU KATIKA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU, MAHUBIRI YA NENO LA MUNGU YANAPATIKANA BURE MUNGU AKUBARIKI.

 Pia kama utapenda kuyapata kwa njia ya Whatsapp  bofya hapa chini kujiunga>

https://chat.whatsapp.com/GBX2lWIcoCq8zmlnXJgaWQ
https://chat.whatsapp.com/GBX2lWIcoCq8zmlnXJgaWQ

Print this post

128 comments so far

MichaelPosted on10:36 mu - Februari 21, 2023

Ningependa uwe nanitumiya haya masomo kwa njia ya gmail.com, anuani yangu hiyi : michaelnzungu2@gmail.com

Matendo mwandaza eliePosted on11:34 um - Februari 17, 2023

Asante sana watumishi wa mungu,awajaliye neema mu mu one kwa kujitoleya kuwapa watu wake dawa ya roho na siri zificwazo katika maneno ya mungu. Dungu zangu ninge penda ku jiunga nanyi lakini mimi ni mukongomani{r.d.c} na ishi ndani ya muji ya bukavu namba zangu ni :+243974394928

MICHAEL NZUNGUPosted on9:25 mu - Desemba 31, 2022

Ningependa ni jiunge na kundi hili la wingu la mashaidi, lakini nakaa mbali sn, naishi DRC katika jiji la Uvira, namba yangu ya simu hiyi hapa +243970774416

Bahati gloirePosted on11:53 mu - Desemba 30, 2022

Sasa mimi ningependa nifanye kitabu ya hii mafundisho yote na maswali na majibu sasa ni vigumu ya andika je inawezekana kupata fichier ambayo inaweza nisaidia kufanya kitabu sababu kuya andika nivigumu

Jean marie bitaPosted on5:55 um - Desemba 28, 2022

Shalom!..sisikama wakristo tunaruhusiwa kuchezo hizi game?
1.card game
2.chekers na
3ludo?

SerePosted on6:48 um - Novemba 5, 2022

Nimebarikiwa sana na mafundisho yenu .
MUNGU azidi kuwatia nguvu , ili tupate mafundisho zaidi

Ayub KelvinPosted on7:46 um - Oktoba 24, 2022

Naomba mniunge Kwa group ya WhatsApp 0799493145

AsiyejulikanaPosted on8:08 um - Oktoba 18, 2022

Mungu awainuwe katika viwango vya juu

Mfariji tumainiPosted on9:57 um - Oktoba 2, 2022

Mungu awabariki

MATHIAS ISEKEPosted on10:54 um - Septemba 29, 2022

Niunge kwenye gurop la watsup

AsiyejulikanaPosted on2:25 um - Agosti 24, 2022

Mbarikiwe Sana

AdminPosted on1:47 um - Agosti 15, 2022

Tutafute kwa namba zetu…hizi ndugu ili tukupe mwongozo…0693036618

AsiyejulikanaPosted on3:51 um - Agosti 14, 2022

Bwana YESU Asifiwe mi bado ni kijana wa miaka 18 na uwa nafuatilia sana mafundisho ya uzima mnayofundisha ..nikiwa mdogo nilibatiziwa catholic lakini saa hii nimeama ,hivyo naomba ushauri na mwelekezo wa niwapi naweza pata ubatizo sahihi hili kupokea muhuri wa ROHO MTAKATIFU

AsiyejulikanaPosted on8:27 um - Julai 22, 2022

Mbarikiwe sana watumishi

Ezekieli mnyanyiPosted on8:24 um - Julai 22, 2022

Mbarikiwe sana watumishi

Ezekieli mnyanyiPosted on8:17 um - Julai 22, 2022

Amina mungu azidi kuwatia nguvu kwa kazi mnayoifanya

Ezekieli mnyanyiPosted on8:10 um - Julai 22, 2022

Kwkweli mungu awabariki watumish maana mimi nimefunguliwa

CleverPosted on11:05 mu - Mei 13, 2022

Nawapenda San watumishi wa mungu

SamariPosted on4:06 um - Mei 5, 2022

Mbarikiwe sana watumishi Mungu

Brian edwardoPosted on10:50 um - Mechi 26, 2022

Nimebarikiwa na mafundisho .ubarikiwe.Naomba uniunge whatsap Yako namba yangu 0625698001

AMOS BARAKAPosted on10:21 um - Februari 17, 2022

Leave your message

AsiyejulikanaPosted on1:37 um - Januari 4, 2022

Naomba niungwe kwenye group la wasap 0621752820

Francis BPosted on4:22 um - Januari 2, 2022

Amen Mtumishi, Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri na yenye ujazo wa Roho Mtakatifu

ErastusPosted on5:33 um - Desemba 14, 2021

Ndiyo, tayari nimempokea Yesu

Erastus nanjalaPosted on11:42 mu - Desemba 3, 2021

Mwenyezi Mungu akujazie baraka na maarifa ndungu, asante kwa neno la Mungu,,,, ubarikiwe

AsiyejulikanaPosted on10:36 um - Novemba 20, 2021

MUNGU WA MBINGUN AWABARIKI

#Sammy roy mkambaPosted on3:23 um - Oktoba 31, 2021

Tubaki na imani ya bwana 2napoendelea kijitayarisha kumpoke yesu…jina la bwana libarikiwe!

AdminPosted on12:20 mu - Oktoba 22, 2021

Amen utukufu kwa Bwana

FREDY SANGANAPosted on4:14 um - Oktoba 21, 2021

Nimebarikiwa sana namafundisho mazuri kwakweli yananisaidia kunifungua macho ya rohoni nakuniimarisha katika kumjua Yesu kristo kwa upana zaidi ,Mungu awabariki sana naawazidishie maarifa zaid

DuncanPosted on4:41 um - Septemba 3, 2021

M’barikiwe sana,kazi mnayoifanya nikubwa sana kupita maelezo,kwahakika mbarikiwe sana.

AdminPosted on2:09 um - Agosti 30, 2021

Amen..utukufu kwa Bwana.

Tayari nimeshakuunga!

Cleven NassaryPosted on7:09 um - Agosti 29, 2021

Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Bwana, Mungu azidi kuwabariki kwa mafundisho mnayoyatoa kupitia blog hii kwa kiasi kikubwa yananijenga na kuzidi kuniimarisha.Ninaomba mniunge kwenye group la whatsapp ili nijifunze zaidi namba yangu ni 0713 988009

RehemaPosted on9:41 um - Julai 24, 2021

Watumishi wa mungu bwana Yesu hazidi kuwabariki sana, hakika mumenifungua macho ya roho,pia mimi nazidi kuwaombea kutoka apa Uganda.

RehemaPosted on4:31 um - Julai 18, 2021

Nawasalimu kwa jina la Yesu,naomba kujua Yesu ni mungu? au ni mwana wa mungu?.

AsiyejulikanaPosted on1:31 um - Julai 1, 2021

Asantee, kiujumla nimebarikiwa sana na blog hii, Mungu awabariki sana kwa mafundisho haya🙏🏻

Jackson ChikaoPosted on8:41 um - Juni 28, 2021

Shalomu Kiongozi

Nimependezwa na mafundisho kwa kweli maana najifunza vyema neno la Mungu ili niweze mshinda shetani zaidi kwani hata Yesu alipokuwa akijaribiwa alimshinda shetani kwa maandiko matakatifu naomba kujifunza zaidi

Reuben Onchonga NdemoPosted on10:49 um - Juni 14, 2021

Tafadhali naomba kufahamu saidi kuhusu, matatizo yanayokumba ndoa na suluhizo

Joseph NyangiraPosted on6:05 um - Juni 12, 2021

Naomba mniunge kwenye grup la watsapp no 0622659629