Masomo ya hivi karibuni ni ya kwanza katika orodha, ili kusoma, bofya kichwa cha somo husika kufungua. Pia ukiwa na maswali/ unahitaji maombezi/ piga namba hizi: +255693036618/ +255789001312
KARIBU KATIKA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU, MAHUBIRI YA NENO LA MUNGU YANAPATIKANA BURE MUNGU AKUBARIKI.
Pia kama utapenda kuyapata kwa njia ya Whatsapp bofya hapa chini kujiunga>
128 comments so far
MichaelPosted on10:36 mu - Februari 21, 2023
Ningependa uwe nanitumiya haya masomo kwa njia ya gmail.com, anuani yangu hiyi : michaelnzungu2@gmail.com
Matendo mwandaza eliePosted on11:34 um - Februari 17, 2023
Asante sana watumishi wa mungu,awajaliye neema mu mu one kwa kujitoleya kuwapa watu wake dawa ya roho na siri zificwazo katika maneno ya mungu. Dungu zangu ninge penda ku jiunga nanyi lakini mimi ni mukongomani{r.d.c} na ishi ndani ya muji ya bukavu namba zangu ni :+243974394928
AdminPosted on9:28 um - Februari 19, 2023
Bwana Yesu asifiwe, namba yako ndugu siioni whatsapp, naomba unitafute kwa namba hizi +255693036618
MICHAEL NZUNGUPosted on9:25 mu - Desemba 31, 2022
Ningependa ni jiunge na kundi hili la wingu la mashaidi, lakini nakaa mbali sn, naishi DRC katika jiji la Uvira, namba yangu ya simu hiyi hapa +243970774416
AdminPosted on2:32 um - Januari 3, 2023
Amen tutakuunga ndugu
Bahati gloirePosted on11:53 mu - Desemba 30, 2022
Sasa mimi ningependa nifanye kitabu ya hii mafundisho yote na maswali na majibu sasa ni vigumu ya andika je inawezekana kupata fichier ambayo inaweza nisaidia kufanya kitabu sababu kuya andika nivigumu
AdminPosted on2:23 um - Januari 3, 2023
unaitwa nani na unaishi wapi? tutafute kwa namba hii whatsapp +255693036618
Jean marie bitaPosted on5:55 um - Desemba 28, 2022
Shalom!..sisikama wakristo tunaruhusiwa kuchezo hizi game?
1.card game
2.chekers na
3ludo?
SerePosted on6:48 um - Novemba 5, 2022
Nimebarikiwa sana na mafundisho yenu .
MUNGU azidi kuwatia nguvu , ili tupate mafundisho zaidi
Ayub KelvinPosted on7:46 um - Oktoba 24, 2022
Naomba mniunge Kwa group ya WhatsApp 0799493145
AsiyejulikanaPosted on7:50 um - Oktoba 24, 2022
+254799493145
Mniunge Kwa group ya WhatsApp
AdminPosted on10:44 um - Oktoba 25, 2022
Tutumie ujumbe whatsapp kupitia namba zetu hizo…
AsiyejulikanaPosted on8:08 um - Oktoba 18, 2022
Mungu awainuwe katika viwango vya juu
Mfariji tumainiPosted on9:57 um - Oktoba 2, 2022
Mungu awabariki
AdminPosted on10:47 um - Oktoba 4, 2022
Amen, atubariki sote
MATHIAS ISEKEPosted on10:54 um - Septemba 29, 2022
Niunge kwenye gurop la watsup
AdminPosted on5:02 um - Septemba 30, 2022
Tuandikie namba zako
AsiyejulikanaPosted on2:25 um - Agosti 24, 2022
Mbarikiwe Sana
AdminPosted on1:47 um - Agosti 15, 2022
Tutafute kwa namba zetu…hizi ndugu ili tukupe mwongozo…0693036618
AsiyejulikanaPosted on3:51 um - Agosti 14, 2022
Bwana YESU Asifiwe mi bado ni kijana wa miaka 18 na uwa nafuatilia sana mafundisho ya uzima mnayofundisha ..nikiwa mdogo nilibatiziwa catholic lakini saa hii nimeama ,hivyo naomba ushauri na mwelekezo wa niwapi naweza pata ubatizo sahihi hili kupokea muhuri wa ROHO MTAKATIFU
AsiyejulikanaPosted on8:27 um - Julai 22, 2022
Mbarikiwe sana watumishi
Ezekieli mnyanyiPosted on8:24 um - Julai 22, 2022
Mbarikiwe sana watumishi
Ezekieli mnyanyiPosted on8:17 um - Julai 22, 2022
Amina mungu azidi kuwatia nguvu kwa kazi mnayoifanya
AdminPosted on8:41 um - Julai 22, 2022
Amen twashukuru ndugu
Ezekieli mnyanyiPosted on8:10 um - Julai 22, 2022
Kwkweli mungu awabariki watumish maana mimi nimefunguliwa
CleverPosted on11:05 mu - Mei 13, 2022
Nawapenda San watumishi wa mungu
AdminPosted on2:50 um - Mei 13, 2022
Asante sana ndugu yetu..Bwana akubariki sana.. nasi tunawapenda sana..
SamariPosted on4:06 um - Mei 5, 2022
Mbarikiwe sana watumishi Mungu
AdminPosted on8:42 um - Mei 6, 2022
Amen nawe pia..
AsiyejulikanaPosted on4:48 um - Julai 4, 2022
Namba yangu 0782275747.maomba kuungwa kwenye group
Brian edwardoPosted on10:50 um - Mechi 26, 2022
Nimebarikiwa na mafundisho .ubarikiwe.Naomba uniunge whatsap Yako namba yangu 0625698001
AMOS BARAKAPosted on10:21 um - Februari 17, 2022
Leave your message
AsiyejulikanaPosted on1:37 um - Januari 4, 2022
Naomba niungwe kwenye group la wasap 0621752820
AdminPosted on4:16 um - Januari 4, 2022
Sawa
Francis BPosted on4:22 um - Januari 2, 2022
Amen Mtumishi, Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri na yenye ujazo wa Roho Mtakatifu
AdminPosted on8:58 um - Januari 2, 2022
Amen utukufu kwa Bwana,je umempokea Yesu?
AsiyejulikanaPosted on7:01 mu - Januari 5, 2022
Amen, ndio mimi nishampokea
ErastusPosted on5:33 um - Desemba 14, 2021
Ndiyo, tayari nimempokea Yesu
Erastus nanjalaPosted on11:42 mu - Desemba 3, 2021
Mwenyezi Mungu akujazie baraka na maarifa ndungu, asante kwa neno la Mungu,,,, ubarikiwe
AdminPosted on1:19 um - Desemba 3, 2021
Amen..je umempokea Yesu tayari ndugu yangu?
AsiyejulikanaPosted on10:36 um - Novemba 20, 2021
MUNGU WA MBINGUN AWABARIKI
AdminPosted on7:41 um - Novemba 21, 2021
Amen akubariki nawe pia..
#Sammy roy mkambaPosted on3:23 um - Oktoba 31, 2021
Tubaki na imani ya bwana 2napoendelea kijitayarisha kumpoke yesu…jina la bwana libarikiwe!
AdminPosted on6:48 um - Oktoba 31, 2021
Amen
AdminPosted on12:20 mu - Oktoba 22, 2021
Amen utukufu kwa Bwana
FREDY SANGANAPosted on4:14 um - Oktoba 21, 2021
Nimebarikiwa sana namafundisho mazuri kwakweli yananisaidia kunifungua macho ya rohoni nakuniimarisha katika kumjua Yesu kristo kwa upana zaidi ,Mungu awabariki sana naawazidishie maarifa zaid
DuncanPosted on4:41 um - Septemba 3, 2021
M’barikiwe sana,kazi mnayoifanya nikubwa sana kupita maelezo,kwahakika mbarikiwe sana.
AdminPosted on2:09 um - Agosti 30, 2021
Amen..utukufu kwa Bwana.
Tayari nimeshakuunga!
Cleven NassaryPosted on7:09 um - Agosti 29, 2021
Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Bwana, Mungu azidi kuwabariki kwa mafundisho mnayoyatoa kupitia blog hii kwa kiasi kikubwa yananijenga na kuzidi kuniimarisha.Ninaomba mniunge kwenye group la whatsapp ili nijifunze zaidi namba yangu ni 0713 988009
RehemaPosted on9:41 um - Julai 24, 2021
Watumishi wa mungu bwana Yesu hazidi kuwabariki sana, hakika mumenifungua macho ya roho,pia mimi nazidi kuwaombea kutoka apa Uganda.
AdminPosted on6:34 um - Julai 25, 2021
Amen asante sana..dada yetu mpendwa.
Nawe pia Bwana Yesu, azidi kukubariki sana hapo Uganda
RehemaPosted on4:31 um - Julai 18, 2021
Nawasalimu kwa jina la Yesu,naomba kujua Yesu ni mungu? au ni mwana wa mungu?.
AdminPosted on8:26 um - Julai 20, 2021
Ni Mungu, na vile vile ni Mwana wa Mungu.
AsiyejulikanaPosted on1:31 um - Julai 1, 2021
Asantee, kiujumla nimebarikiwa sana na blog hii, Mungu awabariki sana kwa mafundisho haya🙏🏻
Jackson ChikaoPosted on8:41 um - Juni 28, 2021
Shalomu Kiongozi
Nimependezwa na mafundisho kwa kweli maana najifunza vyema neno la Mungu ili niweze mshinda shetani zaidi kwani hata Yesu alipokuwa akijaribiwa alimshinda shetani kwa maandiko matakatifu naomba kujifunza zaidi
AdminPosted on9:59 mu - Juni 29, 2021
Karibu ndugu..uwe huru kujifunza
Reuben Onchonga NdemoPosted on10:49 um - Juni 14, 2021
Tafadhali naomba kufahamu saidi kuhusu, matatizo yanayokumba ndoa na suluhizo
Joseph NyangiraPosted on6:05 um - Juni 12, 2021
Naomba mniunge kwenye grup la watsapp no 0622659629