Mafundisho

Masomo ya hivi karibuni ni ya kwanza katika orodha, ili kusoma, bofya kichwa cha somo husika kufungua. Pia ukiwa na maswali/ unahitaji maombezi/ piga namba hizi: +255693036618/ +255789001312

KARIBU KATIKA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU, MAHUBIRI YA NENO LA MUNGU YANAPATIKANA BURE MUNGU AKUBARIKI.

 Pia kama utapenda kuyapata kwa njia ya Whatsapp  bofya hapa chini kujiunga>

https://chat.whatsapp.com/GBX2lWIcoCq8zmlnXJgaWQ
https://chat.whatsapp.com/GBX2lWIcoCq8zmlnXJgaWQ

Print this post

Subscribe
Notify of
guest
134 Comments
Newest
Oldest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Daniel maziku
Daniel maziku
10 months ago

Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu aliye hai🙏🙏🙏🙏
Hakika kazi yenu ni njema sana, Binafsi nimejengeka sana kiroho kupitia masomo yanayoandaliwa kwenye hii madhabahu

Dieudonné Kahindo
Dieudonné Kahindo
10 months ago

Tafadhali na mimi mu add kwenye WhatsApp group number ni +243973566700 nayapenda sana mafundisho yenu, muzidi kubarikiwa na bwana

Meshack Dodoma
Meshack Dodoma
11 months ago

Amen, nimebarikiwa sana na masomo niliyosoma.
Nahitaji kujiunga na website hii Ili niwe napata mrejesho Kila mnapo post

Jackson
Jackson
10 months ago
Reply to  Meshack Dodoma

Tafadhari naomba uunge number yangu Whatsapp group 0768015375

Michael
Michael
1 year ago

Ningependa uwe nanitumiya haya masomo kwa njia ya gmail.com, anuani yangu hiyi : michaelnzungu2@gmail.com

Matendo mwandaza elie
Matendo mwandaza elie
1 year ago

Asante sana watumishi wa mungu,awajaliye neema mu mu one kwa kujitoleya kuwapa watu wake dawa ya roho na siri zificwazo katika maneno ya mungu. Dungu zangu ninge penda ku jiunga nanyi lakini mimi ni mukongomani{r.d.c} na ishi ndani ya muji ya bukavu namba zangu ni :+243974394928

MICHAEL NZUNGU
MICHAEL NZUNGU
1 year ago

Ningependa ni jiunge na kundi hili la wingu la mashaidi, lakini nakaa mbali sn, naishi DRC katika jiji la Uvira, namba yangu ya simu hiyi hapa +243970774416

Bahati gloire
Bahati gloire
1 year ago

Sasa mimi ningependa nifanye kitabu ya hii mafundisho yote na maswali na majibu sasa ni vigumu ya andika je inawezekana kupata fichier ambayo inaweza nisaidia kufanya kitabu sababu kuya andika nivigumu

Jean marie bita
Jean marie bita
1 year ago

Shalom!..sisikama wakristo tunaruhusiwa kuchezo hizi game?
1.card game
2.chekers na
3ludo?

Sere
Sere
1 year ago

Nimebarikiwa sana na mafundisho yenu .
MUNGU azidi kuwatia nguvu , ili tupate mafundisho zaidi

Ayub Kelvin
Ayub Kelvin
1 year ago

Naomba mniunge Kwa group ya WhatsApp 0799493145

Anonymous
Anonymous
1 year ago
Reply to  Ayub Kelvin

+254799493145
Mniunge Kwa group ya WhatsApp

Anonymous
Anonymous
1 year ago

Mungu awainuwe katika viwango vya juu

Mfariji tumaini
Mfariji tumaini
1 year ago

Mungu awabariki

MATHIAS ISEKE
MATHIAS ISEKE
1 year ago

Niunge kwenye gurop la watsup

Anonymous
Anonymous
1 year ago

Mbarikiwe Sana

Anonymous
Anonymous
1 year ago

Bwana YESU Asifiwe mi bado ni kijana wa miaka 18 na uwa nafuatilia sana mafundisho ya uzima mnayofundisha ..nikiwa mdogo nilibatiziwa catholic lakini saa hii nimeama ,hivyo naomba ushauri na mwelekezo wa niwapi naweza pata ubatizo sahihi hili kupokea muhuri wa ROHO MTAKATIFU

Anonymous
Anonymous
1 year ago

Mbarikiwe sana watumishi

Ezekieli mnyanyi
Ezekieli mnyanyi
1 year ago

Mbarikiwe sana watumishi

Ezekieli mnyanyi
Ezekieli mnyanyi
1 year ago

Amina mungu azidi kuwatia nguvu kwa kazi mnayoifanya

Ezekieli mnyanyi
Ezekieli mnyanyi
1 year ago

Kwkweli mungu awabariki watumish maana mimi nimefunguliwa

Clever
Clever
1 year ago

Nawapenda San watumishi wa mungu

Samari
Samari
1 year ago

Mbarikiwe sana watumishi Mungu

Anonymous
Anonymous
1 year ago
Reply to  Admin

Namba yangu 0782275747.maomba kuungwa kwenye group

Brian edwardo
Brian edwardo
1 year ago

Nimebarikiwa na mafundisho .ubarikiwe.Naomba uniunge whatsap Yako namba yangu 0625698001

Anonymous
Anonymous
8 months ago
Reply to  Brian edwardo

naomba niunge kwenye group la whatssap 0628686997

AMOS BARAKA
AMOS BARAKA
2 years ago

Leave your message

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Naomba niungwe kwenye group la wasap 0621752820

Francis B
Francis B
2 years ago

Amen Mtumishi, Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri na yenye ujazo wa Roho Mtakatifu

Anonymous
Anonymous
2 years ago
Reply to  Admin

Amen, ndio mimi nishampokea

Erastus
Erastus
2 years ago

Ndiyo, tayari nimempokea Yesu

Erastus nanjala
Erastus nanjala
2 years ago

Mwenyezi Mungu akujazie baraka na maarifa ndungu, asante kwa neno la Mungu,,,, ubarikiwe

Anonymous
Anonymous
2 years ago

MUNGU WA MBINGUN AWABARIKI

#Sammy roy mkamba
#Sammy roy mkamba
2 years ago

Tubaki na imani ya bwana 2napoendelea kijitayarisha kumpoke yesu…jina la bwana libarikiwe!

FREDY SANGANA
FREDY SANGANA
2 years ago

Nimebarikiwa sana namafundisho mazuri kwakweli yananisaidia kunifungua macho ya rohoni nakuniimarisha katika kumjua Yesu kristo kwa upana zaidi ,Mungu awabariki sana naawazidishie maarifa zaid

Duncan
Duncan
2 years ago

M’barikiwe sana,kazi mnayoifanya nikubwa sana kupita maelezo,kwahakika mbarikiwe sana.

Cleven Nassary
Cleven Nassary
2 years ago

Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Bwana, Mungu azidi kuwabariki kwa mafundisho mnayoyatoa kupitia blog hii kwa kiasi kikubwa yananijenga na kuzidi kuniimarisha.Ninaomba mniunge kwenye group la whatsapp ili nijifunze zaidi namba yangu ni 0713 988009

Rehema
Rehema
2 years ago

Watumishi wa mungu bwana Yesu hazidi kuwabariki sana, hakika mumenifungua macho ya roho,pia mimi nazidi kuwaombea kutoka apa Uganda.

Rehema
Rehema
2 years ago

Nawasalimu kwa jina la Yesu,naomba kujua Yesu ni mungu? au ni mwana wa mungu?.

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Asantee, kiujumla nimebarikiwa sana na blog hii, Mungu awabariki sana kwa mafundisho haya🙏🏻

Jackson Chikao
Jackson Chikao
2 years ago

Shalomu Kiongozi

Nimependezwa na mafundisho kwa kweli maana najifunza vyema neno la Mungu ili niweze mshinda shetani zaidi kwani hata Yesu alipokuwa akijaribiwa alimshinda shetani kwa maandiko matakatifu naomba kujifunza zaidi

Reuben Onchonga Ndemo
Reuben Onchonga Ndemo
2 years ago

Tafadhali naomba kufahamu saidi kuhusu, matatizo yanayokumba ndoa na suluhizo

Joseph Nyangira
Joseph Nyangira
2 years ago

Naomba mniunge kwenye grup la watsapp no 0622659629

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Mbarkiwe kwa huduma iliyo njema,please niungen nami

Joes mike
Joes mike
2 years ago

Nimefurahi sana kuona mafundisho yenu tafadhali niunge kwenye whatsap group yenu

Anonymous
Anonymous
2 years ago
Reply to  Joes mike

Unaweza kututumia namba zako za Whatsapp.

Benson mlay
Benson mlay
2 years ago

0672802347
Naombeni mniunge whatap

Joseph
Joseph
2 years ago

Barikiwa sana mtumishi naomba uniunge kwenye WhatsApp

Richard
Richard
3 years ago

Mm nawapenda sana pia naomba mniunga ishe kwenye wasap 0672992163pia jinsi ya kudiwnload

Elpidy
Elpidy
2 years ago
Reply to  Admin

Nami Naomba uniunge WhatsApp number yangu 0763345391

Anonymous
Anonymous
1 year ago
Reply to  Admin

Niunge na Mimi nijifunze neo la Mungu. 0621310411

Cleven Nassary
Cleven Nassary
3 years ago

Mungu azidi kukubaliki mtumishi katika mafumdisho yako haya,Mimi ningependa unisaidie ni kwa namna gani naweza kufunga maagano ya laana yaliyopo kwenye maisha yangu na familia yangu

Baraka Sammo
Baraka Sammo
3 years ago

Nafuatilia mafundisho mengi mnayoyatoa katika blog hii kwa kiasi kikubwa kimebadilisha ufahamu wangu na kuyajua mengi katika Neno la Mungu.
Naomba kuunganishwa kwenye group la Whatsapp
Namba hii: 0789 877 627

Timotheo
Timotheo
3 years ago

Mungu awabariki sana.

Anonymous
Anonymous
1 year ago
Reply to  Admin

Admin naomba niunge group la WhatsApp kujifunza mambo ya Mungu. Namba ni 0621310411

EZEKIELY MARKO
EZEKIELY MARKO
3 years ago

TUMEBARIKIWA NA KAZI MNAYOIFANYA WATUMISHI WA MUNGU

Anonymous
Anonymous
3 years ago
Reply to  EZEKIELY MARKO

Amen uzidi kubarikiwa nawe pia

ALLY NASHON
ALLY NASHON
3 years ago

0756678553 naomba kuungwa kwenye kundi la whatsapp