Machapisho Mapya

Nini maana ya kuinuliwa juu ya nchi? (Yohana 12:32).
ByNuru ya Upendo Apr 20, 2026

Nini maana ya kuinuliwa juu ya nchi? (Yohana 12:32).

Swali: Bwana YESUaliukuwa na maana gani aliposema “Nikiinuliwa juu ya nchi, nitawavuta wote kwangu”? Jibu: Turejee.. Yohana 12:32 "Nami nikiinuliwa…

JE UMEVULIWA KUTOKA MAJINI?
ByNuru ya Upendo Apr 11, 2026

JE UMEVULIWA KUTOKA MAJINI?

Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe, karibu tujifunze pamoja Biblia. Bwana alipokutana na Petro aliambiwa “TANGU SASA UTAKUWA UKIVUA…

MAANA YA “KUISHI” YESU ANAKOKUMAANISHA?
ByNuru ya Upendo Apr 10, 2026

MAANA YA “KUISHI” YESU ANAKOKUMAANISHA?

Kuishi ni tufoauti na kuwa na uhai. Hata mti ni hai, lakini hauishi.  Kuishi ni maisha, yaani unasifa ya kuwa…

ByNuru ya Upendo Apr 8, 2026

AINA ZA FARAJA BWANA AZIACHILIAZO KWA WATUMISHI WAKE.

Maisha ya Imani, hayafuti dhiki, hayafuti hisia za kibinadamu, haijalishi mtu atakuwa na ukomavu mkubwa kiasi gani, bado mahangaiko ya…

ASIYEMPENDA BWANA NA AWE AMELAANIWA.
ByNuru ya Upendo Apr 8, 2026

ASIYEMPENDA BWANA NA AWE AMELAANIWA.

Je unajua “Kumpenda Mungu sio Ombi bali ni Amri”?..Tofauti na inavyodhaniwa leo kuwa kumpenda Mungu ni jambo ambalo  ni “Ombi”..…

JE NI MAFUTA GANI UMEPAKWA?.
ByNuru ya Upendo Apr 7, 2026

JE NI MAFUTA GANI UMEPAKWA?.

Je ni mafuta gani umepakwa?. 1 Yohana 2:26 “Nimewaandikia haya katika habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza. 27 Nanyi, MAFUTA…

Changia Huduma Hii

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

You-tube

Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti