Una swali au unahitaji maombi? piga.

+255 693 036 618

Machapisho mapya

Ya hivi karibuni..

KUFUNGA PAMOJA NA WANYAMA
ByAdmin Sep 24, 2023

IJUE FAIDA YA KUFUNGA PAMOJA NA WANYAMA WAKO.

(Masomo maalumu yahusuyo mifungo na maombi). Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze Biblia Neno la Mungu w...

Kuna tofauti gani kati ya uso wa Bwana na macho ya Bwana?
ByAdmin Sep 22, 2023

Je! Adamu na Hawa walizikiwa wapi?

JIBU: Ipo mitazamo mingi, ihusuyo eneo halisi la makaburi ya wazazi wetu wa kwanza, Kwamfano kwa mujibu wa hadithi za kiyahudi, wao wanaamini...

Mithali 28:20 "Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele; Lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa".
ByAdmin Sep 22, 2023

Fahamu maana ya Mithali 28:20 Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele;

Maelezo ya Mithali 28:20 "Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele; Lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa". Mstari huo...

Tofauti kati ya mwonaji na Nabii ni ipi?
ByAdmin Sep 21, 2023

Tofauti kati ya mwonaji na Nabii ni ipi?

Katika biblia mtu ambaye alipokea taaarifa iliyofichwa kutoka Kwa Mungu na kuiwasilisha Kwa watu aliitwa mwonaji. Alipokea aidha kupitia, mao...

Mithali 18:13 Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.
ByAdmin Sep 20, 2023

Fahamu Maana ya Mithali 18:13 Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.

Maelezo ya Mithali 18:13 Yeye ajibuye kabla hajasikia,  Ni upumbavu na aibu kwake. Hekima inatufundisha tusiwe watu wa kujibu au ...

Maana ya Mithali 18:18 Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu
ByAdmin Sep 20, 2023

Hii ni Maana ya Mithali 18:18 Kura hukomesha mashindano;

Fahamu Maana ya; Mithali 18:18 Kura hukomesha mashindano;  Hukata maneno ya wakuu. Kupiga kura ni Moja ya njia ambayo ilitu...

Je! Ungependa kuchangia huduma hii?

"Tutafurahi kama utashirikiana nasi kwa mchango wako, au maombi yako au nguvu zako katika kusambaza jumbe hizi kwa wengine na Mungu atakubariki."

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

Shuhuda

Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako

Download

download video, audio, pdf za masomo mbalimbali