Ya hivi karibuni..
SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mithali 16:33 Kura hutupwa katika mikunjo ya nguo; Lakini hukumu zake zote ni za BWANA. JIBU: Ku...
Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Biblia inatuambia Yesu ndiye njia na kweli na uzima. (Yohana 14:6) Ni kweli wakrist...
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe daima, karibu tujifunze Biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa ...
JIBU: Maandiko hayaweki wazi ni katika umri gani Yeremia aliitwa isipokuwa watafiti wengi ya Biblia wanakadiria Yeremia aliitwa katika umri w...
Ikiwa unafanya matendo mazuri yanayompendeza Mungu, basi mshukuru Mungu kwa hayo lakini USIJISIFU wala kujigamba hata kidogo kwa hayo. Kwasab...
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia, leo tujikumbushe historia fupi ya tafsiri ya biblia ya King...
Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"
kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe
Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa
Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako
download video, audio, pdf za masomo mbalimbali