Machapisho Mapya

JINSI YA KUACHA DHAMBI INAYOKUTESA.
ByNuru ya Upendo Mar 16, 2026

JINSI YA KUACHA DHAMBI INAYOKUTESA.

Jina la Bwana YESU KRISTO libarikiwe, karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu wetu lilo njia na Mwanga wa njia yetu…

ByNuru ya Upendo Mar 16, 2026

Shuhuda za Mungu ni zipi?

SWALI: Mara nyingi biblia inataja “shuhuda za Mungu” Je hizi shuhuda ni zipi? Mfano katika vifungu vifuatavyo Neno hilo utaliona;…

ByNuru ya Upendo Mar 11, 2026

Mavue ni nini? (Kumbukumbu 11:15).

Swali: Mavue ni nini kama tunavyosoma katika Kumbukumbu 11:15?. Jibu: Turejee.. Kumbukumbu la Torati 11:15 “Nami nitakupa nyasi katika MAVUE…

ByNuru ya Upendo Mar 6, 2026

BALI MTAKASENI KRISTO MIOYONI MWENU

Neno utakaso mara nyingi, tunalitazama katika jicho la Mungu kututakasa sisi(1Thes 5:23), lakini pia sisi kujitakasa wenyewe (1Petro 1:22), lakini…

Majibu” ya Maombi na “Majaribu
ByNuru ya Upendo Mar 5, 2026

Ipi tofauti ya “Majibu” ya Maombi na “Majaribu”.

Swali: Je nikiomba kazi kwa mwaka mmoja na ikatokea fursa ambayo inanitaka nitoe rushwa kidogo ili niingie kazini, je hilo…

ByNuru ya Upendo Mar 2, 2026

Upote ni nini kibiblia?

Kama ni msomaji wa biblia, Neno hilo utakutana nalo katika baadhi ya vifungu kwenye Zaburi.. Zaburi 11:2 Maana, tazama, wasio…

Changia Huduma Hii

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

You-tube

Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti