Machapisho Mapya

ByLydia Mbalachi Feb 23, 2026

WIMBO ULIOANDALIWA WAKATI WA USIKU.

Zaburi 42:8 Mchana BWANA ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami,..  Biblia inataja nyakati mbili, ambazo mwamini anazipitia..nazo…

ByNuru ya Upendo Feb 19, 2026

Maana ya Mithali 29:20 Je! umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno?

Mithali 29:20 Je! Umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye Mtu mwenye kuhamaki. Ni mtu anayezungumza…

Je wana wa Israeli waliofia jangwani walienda mbinguni au jehanamu
ByNuru ya Upendo Feb 19, 2026

Je wana wa Israeli waliofia jangwani, walienda mbinguni au jehanamu?

JIBU: Wakiwa jangwani wana wa Israeli walitenda  makosa  ya aina mbili. Makosa yaliyopoteza Ahadi Makosa yaliyopoteza Uzima wa milele. Makosa…

ByNuru ya Upendo Feb 12, 2026

KUMBUKA NI AMRI MPYA!

Yohana 13:34 Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.  Hapo mwanzo nilipokuwa nautafakari huu mstari,…

ByNuru ya Upendo Feb 9, 2026

LAKINI DAUDI ALIJITIA NGUVU KATIKA BWANA, MUNGU WAKE.

1 Samweli 30:6 Naye Daudi akafadhaika sana; kwa sababu watu walikuwa wakisema kwamba apigwe kwa mawe, kwa maana nafsi za…

MGEUZWE WATOTO WACHANGA
ByNuru ya Upendo Feb 4, 2026

KATIKA UOVU MGEUZWE WATOTO WACHANGA

1Wakorintho 14:20 “Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu; lakini katika UOVU MGEUZWE WATOTO WACHANGA, bali katika akili zenu mkawe…

Changia Huduma Hii

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

You-tube

Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti