Ya hivi karibuni..
Je hayo mavazi uvaayo ni kwa lengo gani?.. ili uonekane na nani?.. 1 Petro 3:3 “Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi”.…
SWALI: Huyu “Yeye ashindaye” anayezungumziwa katika kila mwisho wa jumbe za makanisa saba. Ni mtu mmoja maalumu au wengi? JIBU: Tunasoma Bwana Yesu alipotoa agizo au onyo kwa yale kanisa …
Jina la Mkuu wa Uzima (YESU KRISTO, Mwamba wa Milele), libarikiwe. Lipo jiwe Yakobo aliloliweka chini ya kichwa chake kabla ya kulala na baada ya kuamka alilisimamisha likanyanyuka. Jiwe hili…
Zipo aina tatu za Utakatifu, na leo tutaangalia moja baada ya nyingine, na tutajua ni upi unaotufaa sisi. Aina hizi za utakatifu ni kama ifuatavyo. 1.UTAKATIFU WA MWILINI 2. UTAKATIFU…
Danieli 2:2Ndipo mfalme akatoa amri kuwaita waganga, na wachawi, na wasihiri, na Wakaldayo, wapate kumweleza mfalme ndoto zake. Basi wakaingia, wakasimama mbele ya mfalme. Wasihiri ni kundi la wachawi, lililojikita…
Huu ni mwongozo maalumu ya njia bora ya kuiomba sala ya Bwana. Wengi wetu tunaiomba aidha kwa kukariri au kwa kukosa ufahamu wa jinsi ipasavyo kuombwa, kulingana na majira ya…
"Tutafurahi kama utashirikiana nasi kwa mchango wako, au maombi yako au nguvu zako katika kusambaza jumbe hizi kwa wengine na Mungu atakubariki."
Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"
kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe
Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa
Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako
download video, audio, pdf za masomo mbalimbali