Una swali au unahitaji maombi? piga.

+255 693 036 618

Machapisho mapya

Ya hivi karibuni..

NDOA NA IHESHIMIWE
ByAdmin Nov 27, 2023

NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.

Karibu tujifunze biblia. (Masomo maalumu  kw wanandoa). Waebrania 13:4 “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maan...

Mathayo 10:42  Na mtu awaye yote atakayemnywesha mmojawapo wa wadogo hawa ngaa kikombe cha maji ya baridi, kwa kuwa ni mwanafunzi, amin, nawaambia, haitampotea kamwe thawabu yake
ByAdmin Nov 26, 2023

Nini maana ya kikombe cha maji ya baridi(Mathayo 10:42)?

SWALI: Kikombe cha maji ya baridi ni  kipi Bwana alichokitaja katika; Mathayo 10:42  Na mtu awaye yote atakayemnywesha mmojawapo wa ...

agano la kale litatoweka kabisa
ByAdmin Nov 25, 2023

Je agano la kale litatoweka kabisa kulingana na Wabrania 8:13?

Jibu: Tusome, Waebrania 8:13 “Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikuukuu na...

Mhubiri 10:9 Mwenye kuchonga mawe ataumizwa kwayo; Naye apasuaye miti huona hatari katika hiyo.
ByAdmin Nov 24, 2023

Fahamu maana ya Mhubiri 10:9 Mwenye kuchonga mawe ataumizwa kwayo;

SWALI: Nini maana ya Mhubiri 10:9 Mwenye kuchonga mawe ataumizwa kwayo; Naye apasuaye miti huona hatari katika hiyo. JIBU: Mstari huu ...

ByAdmin Nov 24, 2023

Je! fedha ni jawabu la mambo yote? (Mhubiri 10:19).

Jibu: Tusome, Mhubiri 10:19 “Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, Na divai huyafurahisha maisha; NA FEDHA HULETA JAWABU LA MAMBO YOTE”. ...

SHUGHULIKA NA TABIA ZA KURITHI.
ByAdmin Nov 20, 2023

SHUGHULIKA NA TABIA ZA KURITHI.

Zipo tabia au mienendo ambayo inaweza kurithishwa kutoka kwa wazazi au mababu/mabibi kwenda kwa watoto au wajukuu. Kama vile jinsi sura, maum...

Je! Ungependa kuchangia huduma hii?

"Tutafurahi kama utashirikiana nasi kwa mchango wako, au maombi yako au nguvu zako katika kusambaza jumbe hizi kwa wengine na Mungu atakubariki."

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

Shuhuda

Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako

Download

download video, audio, pdf za masomo mbalimbali