Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, ASIJIWEKE TAYARI, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. 48 Na…
Eliya alipoagizwa na Mungu kuzifunga mbingu kwa miaka mitatu na miezi sita, aliagizwa aelekee, karibu na kijito cha kedroni, na…
Swali: Je Desturi ya kuzika ilikuwaje, ikiwemo upakaji wa manukato maiti? Jibu: Awali ya yote ni muhimu kujua kuwa katika…
Jina la Bwana YESU libarikiwe, karibu katika kujifunza Neno na Maombi. Utangulizi: Kusoma Neno bila Maombi, au kuomba bila Neno…
Jibu: Tutazame moja baada ya nyingine. 1. SHEREHE. Katika Biblia hamna neno “sherehe” lakini kuna neno “sikukuu”. Sherehe…
Swali: Je kuomba ni moja ya karama za rohoni?..na kama ndio mbona hatuioni miongoni mwa zile tisa (9) zilizotajwa katika…
Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"
Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.
Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa
Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti