Ya hivi karibuni..
Kuna majira yakupasa uisikie sauti ya Mungu, kuliko hasara utakayoingia, ili kuiponya nafsi yako. Kuna mfalme mmoja wa Yuda anaitwa Amazia, H...
Jina la Bwana na Mwokozi wetu, Yesu Kristo libarikiwe.. Karibu katika kujifunza Neno la Mungu wetu, ambalo ni Taa iongozayo miguu yetu na Mwan...
SWALI: Je Mkristo kutembea na walinzi (Bodyguards), katika huduma ni sawa? Kama sio mbona Bwana Yesu alitembea na mitume wake? JIBU: Tufaha...
Talanta ni nini katika biblia. Katika agano la kale Talanta kilikuwa ni kipimo cha uzito cha juu zaidi ya vyote (kilitumiwa hususani katika k...
Hebu tusome Habari ifuatayo kwa utaratibu halafu tutafakari Pamoja… Ufunuo 3:15 “Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingek...
Babewatoto ni jina lingine la mapepo yanayotembea usiku (yenye mfano wa ndege wa angani). Hawa wametajwa mara moja tu katika biblia.. Isaya ...
Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"
kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe
Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa
Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako
download video, audio, pdf za masomo mbalimbali