Machapisho Mapya

JIWEKE TAYARI KUYAFANYA MAPENZI YA MUNGU.
ByNuru ya Upendo Sep 14, 2026

JIWEKE TAYARI KUYAFANYA MAPENZI YA MUNGU.

Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, ASIJIWEKE TAYARI, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. 48 Na…

ByNuru ya Upendo Sep 14, 2026

NABII ALIYEHUDUMIWA NA NYUNI MCHAFU

Eliya alipoagizwa na Mungu kuzifunga mbingu kwa miaka mitatu na miezi sita, aliagizwa aelekee, karibu na kijito cha kedroni, na…

ByNuru ya Upendo Sep 11, 2026

Desturi ya maziko kibiblia ilikuwaje?.

Swali: Je Desturi ya kuzika ilikuwaje, ikiwemo upakaji wa manukato maiti? Jibu: Awali ya yote ni muhimu kujua kuwa katika…

ByNuru ya Upendo Sep 10, 2026

NENO NA MAOMBI~ Sehemu ya 3 (UTAKASO WA KINYWA)

Jina la Bwana YESU libarikiwe, karibu katika kujifunza Neno na Maombi. Utangulizi: Kusoma Neno bila Maombi, au kuomba bila Neno…

ByNuru ya Upendo Sep 9, 2026

Ipi tofauti kati ya sherehe, Sikukuu na karamu kibiblia?.

Jibu: Tutazame moja baada ya nyingine.      1. SHEREHE. Katika Biblia hamna neno “sherehe” lakini kuna neno “sikukuu”. Sherehe…

ByNuru ya Upendo Sep 5, 2026

JE KUOMBA NI KARAMA?

Swali: Je kuomba ni moja ya karama za rohoni?..na kama ndio mbona hatuioni miongoni mwa zile tisa (9) zilizotajwa katika…

Changia Huduma Hii

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

You-tube

Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti