https://www.high-endrolex.com/4

Machapisho mapya

Ya hivi karibuni..

ByAdmin Oct 21, 2024

VAA MAVAZI, USIVALIE MAVAZI.

Je hayo mavazi uvaayo ni kwa lengo gani?.. ili uonekane na nani?..  1 Petro 3:3 “Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi”.…

ByAdmin Oct 20, 2024

Huyu “Yeye ashindaye”  Ni mtu mmoja maalumu au wengi?

SWALI: Huyu “Yeye ashindaye”  anayezungumziwa katika kila mwisho wa jumbe za makanisa saba. Ni mtu mmoja maalumu au wengi? JIBU: Tunasoma Bwana Yesu alipotoa agizo au onyo kwa yale kanisa …

ByAdmin Oct 20, 2024

LISIMAMISHE JIWE.

Jina la Mkuu wa Uzima (YESU KRISTO, Mwamba wa Milele), libarikiwe. Lipo jiwe Yakobo aliloliweka chini ya kichwa chake kabla ya kulala na baada ya kuamka alilisimamisha likanyanyuka. Jiwe hili…

ByAdmin Oct 18, 2024

AINA TATU ZA UTAKATIFU

Zipo aina tatu za Utakatifu, na leo tutaangalia moja baada ya nyingine, na tutajua ni upi unaotufaa sisi. Aina hizi za utakatifu ni kama ifuatavyo. 1.UTAKATIFU WA MWILINI 2. UTAKATIFU…

ByAdmin Oct 16, 2024

Wasihiri ni akina nani?

Danieli 2:2Ndipo mfalme akatoa amri kuwaita waganga, na wachawi, na wasihiri, na Wakaldayo, wapate kumweleza mfalme ndoto zake. Basi wakaingia, wakasimama mbele ya mfalme. Wasihiri ni kundi la wachawi, lililojikita…

ByAdmin Oct 16, 2024

NAMNA BORA YA KUIOMBA SALA YA BWANA

Huu ni mwongozo maalumu ya njia bora ya kuiomba sala ya Bwana. Wengi wetu tunaiomba aidha kwa kukariri au kwa kukosa ufahamu wa jinsi ipasavyo kuombwa, kulingana na majira ya…

Je! Ungependa kuchangia huduma hii?

"Tutafurahi kama utashirikiana nasi kwa mchango wako, au maombi yako au nguvu zako katika kusambaza jumbe hizi kwa wengine na Mungu atakubariki."

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

Shuhuda

Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako

Download

download video, audio, pdf za masomo mbalimbali