https://www.high-endrolex.com/4

Machapisho mapya

Ya hivi karibuni..

ByAdmin Feb 14, 2025

Biblia unapozungumzia kuhusu kupewa jina jipya inamaanisha nini?

SWALI: Naomba kufahamu Biblia unapozungumzia kuhusu kupewa jina jipya inamaanisha nini? JIBU: Kazi ya jina sio tu kumtambulisha au kumtofautisha mtu mmoja na mwingine. Bali jina linasimama pia kueleza Wasifa…

ByAdmin Feb 13, 2025

Je mtu anaweza akawa hajaokoka akaombea mtu na Pepo likamtoka,

SWALI: Je mtu anaweza akawa hajaokoka akaombea mtu na Pepo likamtoka, na pia mtu anaweza akawa ameokoka akaombea mtu na pepo lisitoke ? JIBU: Kuhusu swali la kwanza linalosema je…

Madhali ni nini
ByAdmin Feb 13, 2025

Madhali ni nini? (Zab 21:11)

Swali: Maana ya Madhali ni nini kama ilivyotumika hapo katika Zaburi 21:11 Jibu: Turejee… Zaburi 21:11 “Madhali walinuia kukutenda mabaya, Waliwaza hila wasipate kuitimiza”. Neno “Madhali” limeonekana mara moja tu…

Wokovu gani Simeoni aliouona
ByAdmin Feb 12, 2025

Je ni Wokovu gani Simeoni aliouona? (Luka 2:30)

Swali: Tunasoma Simeoni alipomwona mtoto YESU, Alikiri kuuona Wokovu wa MUNGU, sasa swali ni Wokovu gani huo alioupata? Jibu: Tuanzie ule mstari wa 25 ili tuweze kuelewa vyema… Luka 2:25…

Kwanini Musa alisita kuitikia mwito wa Mungu alipoitwa mlimani?
ByAdmin Feb 11, 2025

Kwanini Musa alisita kuitikia mwito wa Mungu alipoitwa mlimani?

Musa alikuwa na sababu kadha wa kadha za yeye kufanye vile, ikiwemo  Alijiona hastahili Kutoka 3:11 Musa akamwambia Mungu, Mimi ni nani, hata niende kwa Farao, nikawatoe wana wa Israeli…

Kwanini Mungu alimchagua Musa, na si mtu mwingine?
ByAdmin Feb 11, 2025

Kwanini Mungu alimchagua Musa, na si mtu mwingine?

Mungu hakumchagua Musa kwasababu ya wema, au kipawa, au ujuzi fulani aliokuwa nao tofauti na wengine. Hapana almchagua ili ‘kutumiza kusudi lake la kuchagua’ ambalo tunalisoma kwa urefu katika (Warumi…

Je! Ungependa kuchangia huduma hii?

"Tutafurahi kama utashirikiana nasi kwa mchango wako, au maombi yako au nguvu zako katika kusambaza jumbe hizi kwa wengine na Mungu atakubariki."

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

kupitia tovuti hii utapata kujifunza misingi mingi ya Biblia kwa masomo yanayochapishwa humu kila siku. Hivyo usipitwe

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

Shuhuda

Utapata pia kusoma shuhuda mbali mbali zitakazokusaidia kuimarisha imani yako

Download

download video, audio, pdf za masomo mbalimbali