CHANGIA SASA.

CHANGIA SASA.

KAMA UMEGUSWA KUCHANGIA KAZI HII YA  INJILI ILI IZIDI KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI, BWANA AKUBARIKI SANA KWA MOYO HUO.

HIVYO KAMA UMEGUSWA UNAWEZA UKATUMA MCHANGO WAKO KWA KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO.

  • AIRTEL MONEY+255 789001312 – JINA: DEVIS MAGEMBE.
  • M PESA +255 767992434-         JINA: DENIS JULIUS.

Kumbuka pia kuandika jina lako na mahali unapotokea, pindi utakapotuma nasi tunakuombea Bwana akubariki kwa baraka zote za rohoni.

NA PIA  MAOMBI YAKO NI YA UMUHIMU SANA KWETU, UNAWEZA UKAITAJA KAZI HII MBELE ZA BWANA KILA UOMBAPO KWAMBA BWANA AIONGEZEE NEEMA YAKE IENDELEE KUWEPO.

NA MWISHO KAMA UNA SWALI LOLOTE KUHUSU MAANDIKO, TUNAKUKARIBISHA UTUTUMIE KUPITIA NAMBA HIZO HAPO JUU! AU BARUA PEPE HAPA CHINI, AU KATIKA BOKSI LA MAONI HAPO CHINI, TUTAKUJIBU KWA WAKATI KWA KADIRI BWANA ATAKAVYOTUPA NEEMA,

baruapepe(email) >> Info@wingulamashahidi.org

Shalom!

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
30 Comments
Newest
Oldest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Mtumishi Erick
Mtumishi Erick
1 month ago

Shalom watumishi wa Mungu, sijajua kama ukurasa hui ni mahali sahihi pa kuuliza swali au la!, Natanguliza samahani kama nta kuwa nime kosea. Swali langu ni je, kuna haja ya Mtu aliye okoka kweli kweli, kufanya maombi ya kujikomboa na laaana na vifungo ( mfano vifungo/laana za ukoo,mizimu ushirikina,maangano, uchawi wa mafundo au laana zozote zile ua ushirikina wowote uliofanyika juu yako kabla ya kuokoka.n.k)?? Maana Nikisoma haya maandiko: (Luka4: 17-19) (Yohana 1:12), ( 2,wakoritho 5:17), 1petro 1: 18- 19), Wakolosai( 2:13-15) ( Yakobo4:7), ( 1Yohane 3: 3-9) napata shida na hizi ibada za maombi ya namna hiyo, ikiwa nguvu ya msalama ime tufanya huru m.hayo maombi yana kazi gani tena..!? Huku ikifahamika wazi dhambi ndo mlago wa shetani kwa mtu..? Naomba mni saidie nikue kiroho..maana kweli napata shida napo ona maombi haya nisije nikawa nakosea..Asante sana Mungu wabariki sana kwa jina la Yesu

Mtumishi Erick
Mtumishi Erick
1 month ago
Reply to  Admin

Asante Mtumishi wa Mungu, Nime barikiwa sanaaaa…Mungu wetu akuzidishe sana sana, Kwa jina la Yesu.

Godhelp
Godhelp
11 months ago

Mungu awabariki Kwa huduma hii inayo wafumbua watu macho.Huduma zuri Mungu watumie mzidi kuwafumbua watu

Michael
Michael
1 year ago

Mungu awabariki sana

abneri
abneri
1 year ago

2timotheo 3:16

Pasteur benjamin
Pasteur benjamin
1 year ago

Shalome nina taka nami niji unge kwaku ongeza elimu za maandiko ma takatifu nime patikana huko congo.

Daniel ombuo wa tarime
Daniel ombuo wa tarime
1 year ago

jamani nafurah sana kwa mafunzo yenu je swali ni kwamba mungu ni nani?

Peter vuronya chisutia
Peter vuronya chisutia
1 year ago

Neno lamungu litawale ulimwengu mwote

Tumaini James
Tumaini James
1 year ago

Mungu awabariki. Kwa mahubiri yenu

Jairus chichete Mombasa Kenya 🇰🇪
Jairus chichete Mombasa Kenya 🇰🇪
2 years ago

Hello wingu la mashahidi Yesu asifiwe Naamini mnaendelea viema katika Bwana MUNGU awabariki kwa Kazi nzuri ya kujenga mwili wa kristo!

NURU MFAKO
NURU MFAKO
2 years ago

AMEN AMEN, TUPO PAMOJA KATIKA KUIFANYA KAZI YA MUNGU

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii

Tuzolana
Tuzolana
2 years ago

Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii

Ezra ndambuki
Ezra ndambuki
9 months ago
Reply to  Admin

MUNGU awabariki Sana

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Amen Mungu na akubariki

Dynes Daniel
Dynes Daniel
2 years ago

Sijaelewa kuhusu SDA kwani imetoka wapi

Esther luston
Esther luston
3 years ago

Amina

Arsen kaiza
Arsen kaiza
3 years ago

Mbarikiwe Sana nitachangia ili injiri ya BWANA izidi kufika kote duniani na kufanya watu waokoke au wabadilike na kuishi maisha yakumpendeza MUNGU Kama Mimi nilivo badilishwa. Amina

Anonymous
Anonymous
3 years ago

Barikiweni na bwana

baraka sammo,lindi
baraka sammo,lindi
4 years ago

mbona kumekuwa kimya,masomo mapya hatuyapati?

Pasteur Juvénal
Pasteur Juvénal
3 years ago
Reply to  Admin

Tunashukuru kwa mafundisho has lakini ningependekeza kwa wakati mwengini kuchangia kwa maelozo mbali mbali.

Anonymous
Anonymous
1 year ago

Ahsanteni Sana watumishi wa MUNGU kwa huu usaidizi wa kiroho wa kujifunza zaidi Neno la MUNGU kiundani. MUNGU wa mbinguni awatende Mema na Baraka.