KAMA UMEGUSWA KUCHANGIA KAZI HII YA INJILI ILI IZIDI KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI, BWANA AKUBARIKI SANA KWA MOYO HUO.
HIVYO KAMA UMEGUSWA UNAWEZA UKATUMA MCHANGO WAKO KWA KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO.
A/C NO: 42710024012-NMB
JINA: DENIS JULIUS MAGEMBE
Kumbuka pia kuandika jina lako na mahali unapotokea, pindi utakapotuma nasi tunakuombea Bwana akubariki kwa baraka zote za rohoni.
NA PIA MAOMBI YAKO NI YA UMUHIMU SANA KWETU, UNAWEZA UKAITAJA KAZI HII MBELE ZA BWANA KILA UOMBAPO KWAMBA BWANA AIONGEZEE NEEMA YAKE IENDELEE KUWEPO.
NA MWISHO KAMA UNA SWALI LOLOTE KUHUSU MAANDIKO, TUNAKUKARIBISHA UTUTUMIE KUPITIA NAMBA HIZO HAPO JUU! AU BARUA PEPE HAPA CHINI, AU KATIKA BOKSI LA MAONI HAPO CHINI, TUTAKUJIBU KWA WAKATI KWA KADIRI BWANA ATAKAVYOTUPA NEEMA,
baruapepe(email) >> Info@wingulamashahidi.org
Shalom!
Mungu awabariki Kwa huduma hii inayo wafumbua watu macho.Huduma zuri Mungu watumie mzidi kuwafumbua watu
Shalome nina taka nami niji unge kwaku ongeza elimu za maandiko ma takatifu nime patikana huko congo.
jamani nafurah sana kwa mafunzo yenu je swali ni kwamba mungu ni nani?
Hello wingu la mashahidi Yesu asifiwe Naamini mnaendelea viema katika Bwana MUNGU awabariki kwa Kazi nzuri ya kujenga mwili wa kristo!
Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii
Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii
Mbarikiwe Sana nitachangia ili injiri ya BWANA izidi kufika kote duniani na kufanya watu waokoke au wabadilike na kuishi maisha yakumpendeza MUNGU Kama Mimi nilivo badilishwa. Amina
Tunashukuru kwa mafundisho has lakini ningependekeza kwa wakati mwengini kuchangia kwa maelozo mbali mbali.
Ahsanteni Sana watumishi wa MUNGU kwa huu usaidizi wa kiroho wa kujifunza zaidi Neno la MUNGU kiundani. MUNGU wa mbinguni awatende Mema na Baraka.
Tutamshukuru Mungu kwa ajili yako, kwa mchango wako, ili kuifanya injili hii isonge mbele Tuma sadaka yako kwa namba hizi:
Airtel:+255789001312 -Devis Magembe
Mpesa: +255767992434-Denis Magembe
About the author