CHANGIA SASA.

CHANGIA SASA.

KAMA UMEGUSWA KUCHANGIA KAZI HII YA  INJILI ILI IZIDI KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI, BWANA AKUBARIKI SANA KWA MOYO HUO.

HIVYO KAMA UMEGUSWA UNAWEZA UKATUMA MCHANGO WAKO KWA KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO.

  • AIRTEL MONEY+255 789001312 – JINA: DEVIS MAGEMBE.
  • M PESA +255 767992434-         JINA: DENIS JULIUS.
  • AU KWA BANK ACCOUNT:

                                     A/C NO: 42710024012-NMB

                                          JINA: DENIS JULIUS MAGEMBE   

Kumbuka pia kuandika jina lako na mahali unapotokea, pindi utakapotuma nasi tunakuombea Bwana akubariki kwa baraka zote za rohoni.

NA PIA  MAOMBI YAKO NI YA UMUHIMU SANA KWETU, UNAWEZA UKAITAJA KAZI HII MBELE ZA BWANA KILA UOMBAPO KWAMBA BWANA AIONGEZEE NEEMA YAKE IENDELEE KUWEPO.

NA MWISHO KAMA UNA SWALI LOLOTE KUHUSU MAANDIKO, TUNAKUKARIBISHA UTUTUMIE KUPITIA NAMBA HIZO HAPO JUU! AU BARUA PEPE HAPA CHINI, AU KATIKA BOKSI LA MAONI HAPO CHINI, TUTAKUJIBU KWA WAKATI KWA KADIRI BWANA ATAKAVYOTUPA NEEMA,

baruapepe(email) >> Info@wingulamashahidi.org

Shalom!

Print this post

About the author

Admin administrator

25 comments so far

GodhelpPosted on11:42 pm - May 10, 2023

Mungu awabariki Kwa huduma hii inayo wafumbua watu macho.Huduma zuri Mungu watumie mzidi kuwafumbua watu

MichaelPosted on3:03 pm - Oct 4, 2022

Mungu awabariki sana

Pasteur benjaminPosted on9:44 pm - Aug 9, 2022

Shalome nina taka nami niji unge kwaku ongeza elimu za maandiko ma takatifu nime patikana huko congo.

Daniel ombuo wa tarimePosted on3:15 pm - Jun 22, 2022

jamani nafurah sana kwa mafunzo yenu je swali ni kwamba mungu ni nani?

Peter vuronya chisutiaPosted on4:11 pm - May 4, 2022

Neno lamungu litawale ulimwengu mwote

Tumaini JamesPosted on9:43 am - May 3, 2022

Mungu awabariki. Kwa mahubiri yenu

Jairus chichete Mombasa Kenya 🇰🇪Posted on11:11 am - Apr 12, 2022

Hello wingu la mashahidi Yesu asifiwe Naamini mnaendelea viema katika Bwana MUNGU awabariki kwa Kazi nzuri ya kujenga mwili wa kristo!

NURU MFAKOPosted on8:11 pm - Apr 2, 2022

AMEN AMEN, TUPO PAMOJA KATIKA KUIFANYA KAZI YA MUNGU

AnonymousPosted on8:44 pm - Feb 14, 2022

Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii

TuzolanaPosted on8:43 pm - Feb 14, 2022

Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii

AnonymousPosted on5:32 pm - Oct 1, 2021

Amen Mungu na akubariki

Dynes DanielPosted on10:48 pm - Aug 16, 2021

Sijaelewa kuhusu SDA kwani imetoka wapi

Arsen kaizaPosted on3:59 pm - Dec 7, 2020

Mbarikiwe Sana nitachangia ili injiri ya BWANA izidi kufika kote duniani na kufanya watu waokoke au wabadilike na kuishi maisha yakumpendeza MUNGU Kama Mimi nilivo badilishwa. Amina

AnonymousPosted on9:24 am - Oct 27, 2020

Barikiweni na bwana

baraka sammo,lindiPosted on10:32 pm - Mar 27, 2020

mbona kumekuwa kimya,masomo mapya hatuyapati?

Leave a Reply

UTAPENDA KUCHANGIA HUDUMA HII?

Tutamshukuru Mungu kwa ajili yako, kwa mchango wako, ili kuifanya injili hii isonge mbele Tuma sadaka yako kwa namba hizi:
Airtel:+255789001312 -Devis Magembe
Mpesa: +255767992434-Denis Magembe