Maswali na Majibu

Maswali ya hivi karibuni ni ya kwanza katika orodha, ili kusoma bofya somo husika uingie.Pia ukiwa na maswali/ unahitaji maombezi/ piga namba hizi: +255693036618/ +255789001312

Unaweza pia kuyapata mafundisho yetu ya kila siku Whatsapp. Jiunge  kwa kubofya  hapa chini>

https://chat.whatsapp.com/GBX2lWIcoCq8zmlnXJgaWQ
https://chat.whatsapp.com/GBX2lWIcoCq8zmlnXJgaWQ

Print this post

Subscribe
Notify of
guest
75 Comments
Newest
Oldest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
PASCAL
PASCAL
6 months ago

Je kutumia majina kama Shedrack, Meshack na Abednego ni sahihi?

Micchael Paul
Micchael Paul
9 months ago

Mbarikiwe sana

Micchael Paul
Micchael Paul
9 months ago

Mbarikiwe sana kwa mafundisho mazuri

Mwanza Mwanza
Mwanza Mwanza
10 months ago

Zabur 68:11 Ni Wana Wa Mungu Au Wanawake Kabsa Yaan Jinsia Ya Kike

Mrs
Mrs
11 months ago

Naomba link nijoin Whatsapp
Mbarikiwe

Simon kabungo
Simon kabungo
1 year ago

Naitwa simon, nimepitia mafundisho yako mengi na kupendezwa nayo. Nina swali moja nahitaji ushauri lakini pia njia sahihi ya kufanya. Ninae mke na mtoto mmoja lakini kwasasa ameondoka kwangu kwa kunitoroka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine pasipo sababu maalumu zaidi anasema ameamua. Je, ni hatua gani za ki-Mungu naweza kuzifuata? Na je naruhusiwa kuoa mwingine?

Johnson lepore
Johnson lepore
1 year ago

Amen

David
David
1 year ago

Ni kanisa gani nzuri

Nikolaas emanueli
Nikolaas emanueli
1 year ago

Mathayo9:29na mrko9:23na marko 16:17 anaetakiwa kuamini ninani je ni anaewekewa mkono au aneweka mkono

Nikolasi emanuel
Nikolasi emanuel
1 year ago

Mathayo9:29na marko16:17na marko9:23 swali je anaetakiwa kuamini ninani? Anaewekewa mkono au anae weka mkono

Rehani
Rehani
1 year ago

Wakati Mungu alimlaani nyoka wakati alipodanganya hawa ndani ya shamba la edeni , akasema na kwa tulbo lako utatembeya wakati hule mwengine wote nyoka alikuwa akitembeya na Nini ? (Mwanzo 3 :14)
N’a wakati Mungu alimwambiya hawa ya kwamba kwa sababu umekula tunda hakika nitakuzidishiya uchungu wako , na kuzaa kwako ;kwa utungu utazaa mtoto ; na tamaa yako itakuwa juu ya Mme wako naye atakutawala. Ina maana Adamu
alikuwa ametawaliwa na Hawa kabla ya kula l’île tunda ?

Asante sana

Budala Moses
Budala Moses
1 year ago

Mbarikiwe sana wana wingu.Naomba muni add kwa wasssp namber yangu ni:+254711402470.

lameck
lameck
1 year ago

Amina watu wa mungu

Anonymous
Anonymous
1 year ago

Leave your message

Anonymous
Anonymous
1 year ago

Mstari Huu una maana Gani? 1wakorintho 6:18 naomba kuelimishwa

Paul nyanda
Paul nyanda
1 year ago

Hallelujah hallelujah watumish

Isaya kapagi
Isaya kapagi
1 year ago

Swali LANGU nihili je kuvaa vilemba kwa wanawake wanapo sali, (1korinto 11:1-12) je wasipo Vaa nidhambi MBELE za Mungu? Au wakisali wakiwa na nywele ndefu zile nywele SI zinakuwa badala yakilemba? Naomba kujua

JONAS KELUSA
JONAS KELUSA
1 year ago

Kwanini mathayo anaandika Yesu
alikutana na watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja

JONAS KELUSA
JONAS KELUSA
1 year ago

Kwanini mathayo anaandika watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja

Emmanuel Kitengule
Emmanuel Kitengule
1 year ago

Je,nini maana ya kuota nipo shuleni, wakati mwingine chuoni?

Emmanuel Kitengule
Emmanuel Kitengule
1 year ago

Shalom mwalimu husika! naomba kuuliza swali,mara nyingi katika ndoto huwa najiona nipo au nimeenda eneo ambalo nilizaliwa.Je,hii huwa ina maana gani?

Sekuri
Sekuri
1 year ago

Yesu asifiwe,Nina swali hili, msingi was imani ya wakristo ni biblia kwa nini kuna dini nyingi za kikristo asante sana mubarikiwe

Yusuph Madson
Yusuph Madson
2 years ago

Hivi mnapokula meza ya Bwana halafu baada ya hapo ile divai na mkate vikabaki, wale wasimamizi wanaruhusiwa kwenda kuvila tena huko pembeni?

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Mini maana ya upon

Erastus
Erastus
2 years ago

Ukiingia katika maombi ya kufungu ni vyema kufanya kazi za nyumbani?

ERASTUS OUMA
ERASTUS OUMA
2 years ago

Kaka tafadhali nieleze njia zinazotakika kama mkristo kuzifwata, nimejaribu kumujuwa Yesu lakini najikuta tu kwenye makosa

kenya

Amani
Amani
2 years ago

Mtumishi bwana Yesu asifiwe , waebrania Kuna andiko lisemalo baada ya kifo ni hukumu, kwa Nini wakristo hua tunafanya Misa ya mazishi ilimradi twajua mtu aliekufa tayari Kesha hukumiwa

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Swali langu ni katika kubatizwa ni lazima mtu abatizwe kwenye maji yanayotembea kama mto.bahari, maziwa au ni eneo la maji mengi??

Fedrick
Fedrick
2 years ago

Je,nini maana ya kufunga? kibiblia

Friedrich@son ofJESUS%
Friedrich@son ofJESUS%
2 years ago

Amina mtume wa KRISTO.

Pia ningependa kujua kuhusiana na huu mstari 1thimothy 5:23 “usinywe maji tu, bali tumia mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo…………………….”

Fried-rich
Fried-rich
2 years ago

Kwanini YESU alijiita mwana wa mungu ilihali ndiye MUNGU?

Fried-rich@son ofJESUS%
Fried-rich@son ofJESUS%
2 years ago
Reply to  Admin

Mtumishi vp kuhusiana 1timotheo 5:23 je! Nikilevi kimeruhusiwa hapo?

Nuru mfako
Nuru mfako
2 years ago

Mungu aendelee kuwatia nguvu wana wingu la mashahidi,kwa kazi kubwa ya Mungu mnayoifanya.

Joseph
Joseph
2 years ago

Bwana yesu asifiwe,naomba kujua yesu ni mungu? au mwana wa mungu?

Joseph
Joseph
2 years ago

Kama Yesu ni mungu kwanini aitwe mwana wa mungu?.Naomba kujua.

Tito
Tito
2 years ago

Je mathayo12:31 anazungumzia kuhusu kumkufuru roho mtakatifu hautasamehewa ni kivipi roho mtakatifu tunamkufuru?

peter wanyoike
peter wanyoike
2 years ago

1 wakorintho 7:14 inamaanisha nini?

Cleven Nassary
Cleven Nassary
2 years ago

Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai

Charles magabe
Charles magabe
2 years ago
Reply to  Admin

Samahani mtumishi naomba nikulize mathayo 18 ; 8 anazungumzia habari za kiungo, chako kikukosesha ukikate au jicho uling,oe nataka nijue anamanisha nini, asante

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai

Gabriel
Gabriel
3 years ago

Naomba Kujua Wale Mamajusi Walikuwa Ni Kinanani? Na Kaz Yao Ilikuwa Ni Ipi?

Ok I'm
Ok I'm
3 years ago

Adimin huna group la whasssp uniunge

Anonymous
Anonymous
3 years ago

E

Lenard
Lenard
3 years ago

Nguruwe ni harali kuliwa

Berius kamina masumbuko
Berius kamina masumbuko
3 years ago

Nan alianzisha krismas au krismas alianzisha na ilianzishwa mwaka gani?

eric
eric
3 years ago

Leave your message

Anonymous
Anonymous
3 years ago

Kwa nini pilato na herode awakupana?

Daud maulid
Daud maulid
3 years ago

Krimas je.

Daud
Daud
3 years ago

Hv krimas na pasaka ni shelehe

Edna
Edna
4 years ago

Nahitaji Kujua kama Mungu aliumba Adam wawili Mwanzo1:27 Vs Mwanzo 2:7

Anonymous
Anonymous
3 years ago
Reply to  Edna

Je,mzazi wa kanisa la kipentekoste Ni Nani?
Mungu wa kweli Ana nafsi ngapi?je Ni vibaya mtu kuwa mshirika wa madhehebu au siyo vibaya?Je,Malaki 4:5-6 imeshatimia au bado?

Anonymous
Anonymous
2 years ago
Reply to  Anonymous

Amen