Maswali ya hivi karibuni ni ya kwanza katika orodha, ili kusoma bofya somo husika uingie.Pia ukiwa na maswali/ unahitaji maombezi/ piga namba hizi: +255693036618/ +255789001312
Unaweza pia kuyapata mafundisho yetu ya kila siku Whatsapp. Jiunge kwa kubofya hapa chini>
63 comments so far
DavidPosted on1:23 um - Januari 28, 2023
Ni kanisa gani nzuri
Nikolaas emanueliPosted on3:59 um - Januari 26, 2023
Mathayo9:29na mrko9:23na marko 16:17 anaetakiwa kuamini ninani je ni anaewekewa mkono au aneweka mkono
Nikolasi emanuelPosted on9:10 mu - Januari 21, 2023
Mathayo9:29na marko16:17na marko9:23 swali je anaetakiwa kuamini ninani? Anaewekewa mkono au anae weka mkono
RehaniPosted on10:04 mu - Januari 4, 2023
Wakati Mungu alimlaani nyoka wakati alipodanganya hawa ndani ya shamba la edeni , akasema na kwa tulbo lako utatembeya wakati hule mwengine wote nyoka alikuwa akitembeya na Nini ? (Mwanzo 3 :14)
N’a wakati Mungu alimwambiya hawa ya kwamba kwa sababu umekula tunda hakika nitakuzidishiya uchungu wako , na kuzaa kwako ;kwa utungu utazaa mtoto ; na tamaa yako itakuwa juu ya Mme wako naye atakutawala. Ina maana Adamu
alikuwa ametawaliwa na Hawa kabla ya kula l’île tunda ?
Asante sana
Budala MosesPosted on4:12 um - Desemba 16, 2022
Mbarikiwe sana wana wingu.Naomba muni add kwa wasssp namber yangu ni:+254711402470.
lameckPosted on10:22 um - Novemba 22, 2022
Amina watu wa mungu
AsiyejulikanaPosted on10:20 um - Novemba 22, 2022
Leave your message
AsiyejulikanaPosted on11:54 mu - Novemba 5, 2022
Mstari Huu una maana Gani? 1wakorintho 6:18 naomba kuelimishwa
Paul nyandaPosted on7:50 um - Agosti 27, 2022
Hallelujah hallelujah watumish
Isaya kapagiPosted on9:52 mu - Agosti 26, 2022
Swali LANGU nihili je kuvaa vilemba kwa wanawake wanapo sali, (1korinto 11:1-12) je wasipo Vaa nidhambi MBELE za Mungu? Au wakisali wakiwa na nywele ndefu zile nywele SI zinakuwa badala yakilemba? Naomba kujua
JONAS KELUSAPosted on5:25 um - Juni 25, 2022
Kwanini mathayo anaandika Yesu
alikutana na watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja
JONAS KELUSAPosted on5:22 um - Juni 25, 2022
Kwanini mathayo anaandika watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja
Emmanuel KitengulePosted on10:08 um - Mei 29, 2022
Je,nini maana ya kuota nipo shuleni, wakati mwingine chuoni?
Emmanuel KitengulePosted on10:03 um - Mei 29, 2022
Shalom mwalimu husika! naomba kuuliza swali,mara nyingi katika ndoto huwa najiona nipo au nimeenda eneo ambalo nilizaliwa.Je,hii huwa ina maana gani?
SekuriPosted on9:36 um - Aprili 5, 2022
Yesu asifiwe,Nina swali hili, msingi was imani ya wakristo ni biblia kwa nini kuna dini nyingi za kikristo asante sana mubarikiwe
AdminPosted on8:50 mu - Aprili 6, 2022
Kwasababu hizi ni siku za mwisho, biblia imetabiri watatokea makristo na manabii wengi wa uongo, na dini nyingi za uongo..
AdminPosted on8:24 um - Februari 6, 2022
Mkate unapobaki baada ya ibada, unaweza kulika kama chakula cha kawaida tu!.. divai inapobaki inapaswa ihifadhiwe kwaajili ya matumizi ya baadaye tena..
Yusuph MadsonPosted on10:01 um - Februari 2, 2022
Hivi mnapokula meza ya Bwana halafu baada ya hapo ile divai na mkate vikabaki, wale wasimamizi wanaruhusiwa kwenda kuvila tena huko pembeni?
AsiyejulikanaPosted on3:41 mu - Januari 14, 2022
Mini maana ya upon
ErastusPosted on12:41 um - Desemba 3, 2021
Ukiingia katika maombi ya kufungu ni vyema kufanya kazi za nyumbani?
ERASTUS OUMAPosted on12:19 um - Desemba 3, 2021
Kaka tafadhali nieleze njia zinazotakika kama mkristo kuzifwata, nimejaribu kumujuwa Yesu lakini najikuta tu kwenye makosa
kenya
AmaniPosted on7:48 mu - Novemba 21, 2021
Mtumishi bwana Yesu asifiwe , waebrania Kuna andiko lisemalo baada ya kifo ni hukumu, kwa Nini wakristo hua tunafanya Misa ya mazishi ilimradi twajua mtu aliekufa tayari Kesha hukumiwa
AdminPosted on7:43 um - Novemba 21, 2021
Ni kinyume na maandiko kufanya ibada za wafu..
AsiyejulikanaPosted on3:34 um - Oktoba 27, 2021
Swali langu ni katika kubatizwa ni lazima mtu abatizwe kwenye maji yanayotembea kama mto.bahari, maziwa au ni eneo la maji mengi??
AdminPosted on11:42 mu - Oktoba 28, 2021
Ni eneo lolote lenye maji mengi, haijalishi yanatembea au yamesimama…kinachojalisha ni MAJI MENGI!
Ubarikiwe!
FedrickPosted on4:31 um - Oktoba 4, 2021
Je,nini maana ya kufunga? kibiblia
Friedrich@son ofJESUS%Posted on9:36 mu - Septemba 12, 2021
Amina mtume wa KRISTO.
Pia ningependa kujua kuhusiana na huu mstari 1thimothy 5:23 “usinywe maji tu, bali tumia mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo…………………….”
Fried-richPosted on7:49 mu - Septemba 5, 2021
Kwanini YESU alijiita mwana wa mungu ilihali ndiye MUNGU?
AdminPosted on7:27 um - Septemba 5, 2021
Kwasababu alikuja kwa lengo la kutuonyesha sisi njia, ni namna gani sisi tunaweza kuwa wana wa Mungu.
Fried-rich@son ofJESUS%Posted on1:34 um - Septemba 19, 2021
Mtumishi vp kuhusiana 1timotheo 5:23 je! Nikilevi kimeruhusiwa hapo?
AdminPosted on7:27 um - Septemba 19, 2021
Hapana unaweza kupitia hapa kwa uelewa zaidi >> https://wingulamashahidi.org/2019/08/31/paulo-alimwambia-timotheo-atumie-mvinyo-kidogo-kwa-ajili-ya-tumbo-lake-je-tunaruhusiwa-na-sisi-pia-kutumia-pombe/
Nuru mfakoPosted on10:22 mu - Agosti 22, 2021
Mungu aendelee kuwatia nguvu wana wingu la mashahidi,kwa kazi kubwa ya Mungu mnayoifanya.
AdminPosted on7:59 um - Agosti 22, 2021
Amen asante sana ndugu yetu
JosephPosted on6:16 um - Julai 17, 2021
Bwana yesu asifiwe,naomba kujua yesu ni mungu? au mwana wa mungu?
AdminPosted on8:28 mu - Julai 18, 2021
Yeye ni Mungu aliyekuja kutenda kazi katika ofisi ya mwana..kwasababu maalumu ya kutufundisha sisi kuwa wana na kutuonyesha njia.
JosephPosted on3:28 um - Julai 17, 2021
Kama Yesu ni mungu kwanini aitwe mwana wa mungu?.Naomba kujua.
TitoPosted on8:02 mu - Mei 18, 2021
Je mathayo12:31 anazungumzia kuhusu kumkufuru roho mtakatifu hautasamehewa ni kivipi roho mtakatifu tunamkufuru?
AdminPosted on9:24 mu - Mei 18, 2021
Unaweza kupitia hili somo utapata majibu >> Kumkufuru Roho
peter wanyoikePosted on12:08 um - Aprili 3, 2021
1 wakorintho 7:14 inamaanisha nini?
Cleven NassaryPosted on4:37 um - Mechi 28, 2021
Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai
AdminPosted on9:39 um - Mechi 28, 2021
Pitia hapa ndugu yangu utapata majibu >> MKONO WA BWANA
Charles magabePosted on11:30 mu - Novemba 11, 2021
Samahani mtumishi naomba nikulize mathayo 18 ; 8 anazungumzia habari za kiungo, chako kikukosesha ukikate au jicho uling,oe nataka nijue anamanisha nini, asante
AdminPosted on12:52 um - Novemba 12, 2021
Pitia hapa >> kiungo chako kimoja kikikukosesha
AsiyejulikanaPosted on4:36 um - Mechi 28, 2021
Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai
GabrielPosted on5:14 um - Mechi 2, 2021
Naomba Kujua Wale Mamajusi Walikuwa Ni Kinanani? Na Kaz Yao Ilikuwa Ni Ipi?
AdminPosted on8:26 mu - Mechi 3, 2021
Unaweza kupitia hapa ndugu >> https://wingulamashahidi.org/2020/12/28/swali-wale-mamajusi-walikuwa-ni-wakina-nani/
Ok I’mPosted on10:12 um - Februari 11, 2021
Adimin huna group la whasssp uniunge
AdminPosted on10:13 mu - Februari 12, 2021
tunalo tuandikie namba yako..au tutafute kwa namba hizi +255693036618
AsiyejulikanaPosted on10:11 um - Februari 11, 2021
E
LenardPosted on3:29 um - Januari 7, 2021
Nguruwe ni harali kuliwa
AdminPosted on11:29 um - Januari 10, 2021
Ndio
Berius kamina masumbukoPosted on10:02 um - Desemba 18, 2020
Nan alianzisha krismas au krismas alianzisha na ilianzishwa mwaka gani?
AdminPosted on9:43 mu - Desemba 20, 2020
Fungua hii link ndugu
https://wingulamashahidi.org/2019/12/03/krisimasi-christmas-ni-nini-je-ipo-katika-biblia/
ericPosted on10:20 um - Novemba 13, 2020
Leave your message
AsiyejulikanaPosted on11:40 mu - Novemba 10, 2020
Kwa nini pilato na herode awakupana?
AdminPosted on1:13 mu - Novemba 11, 2020
Walipatana.. fungua hapa >> HERODE NA PILATO, MAADUI WAWILI WAPATANA.
Daud maulidPosted on7:55 um - Oktoba 13, 2020
Krimas je.
DaudPosted on7:50 um - Oktoba 10, 2020
Hv krimas na pasaka ni shelehe
AdminPosted on9:51 um - Oktoba 10, 2020
Pasaka Ni Siku iliyo kuu ya wayahudi (Sikukuu)
EdnaPosted on12:03 um - Februari 24, 2020
Nahitaji Kujua kama Mungu aliumba Adam wawili Mwanzo1:27 Vs Mwanzo 2:7
AdminPosted on11:54 um - Februari 24, 2020
Shalom..Mungu alimwumba Adamu mmoja tu hakukuwa na mwingine…Kumbuka biblia sehemu nyingi haijaandikwa katika mtiririko wa matukio yanayofuatana kwamba likitoka hili linafuata lingine..hapana bali sehemu nyingine ina tabia ya kwenda mbele na kurudi nyuma..
Kwamfano Kitabu cha Mwanzo sura ya Pili kinaelezea kwa undani jambo lililotokea Mwanza sura ya kwanza…ukisoma mwanzo sura ya kwanza utaona vitu vimeandikwa kwa ufupi tu, kwa mfano ukisoma mwanzo 1:11-12, utaona biblia inasema “11 Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo. 12 Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema. 13 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu”
Sasa ukienda mbele mlango wa pili ndio inaelezea kwa kina jinsi ni gani miche ilitokea…Mwanzo 2:4 “….Siku ile Bwana Mungu alipoziumba mbingu na nchi 5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi”.
Kwahiyo unaweza kuona hapo..Sura ya pili inaelezea kwa undani mambo yaliyokuwa yanaendelea katika sura ya kwanza ambayo katika sura ya kwanza yameelezewa kwa ufupi tu…Na hata Hata Adamu na Hawa katika sura ya kwanza wameelezewa tu wameumbwa lakini haijaelezwa wameumbwaje umbwaje,..ambapo ukienda katika sura ya Pili ndio inaelezea kwa urefu zaidi kwamba waliumbwa kutoka katika mavumbi ya nchi…
Vivyo hivyo sura ya 4 inaelezea kwa undani sura ya 3.
Ubarikiwe.
AsiyejulikanaPosted on11:02 um - Februari 8, 2021
Je,mzazi wa kanisa la kipentekoste Ni Nani?
Mungu wa kweli Ana nafsi ngapi?je Ni vibaya mtu kuwa mshirika wa madhehebu au siyo vibaya?Je,Malaki 4:5-6 imeshatimia au bado?
AsiyejulikanaPosted on3:03 um - Septemba 17, 2021
Amen