Maswali na Majibu

Maswali ya hivi karibuni ni ya kwanza katika orodha, ili kusoma bofya somo husika uingie.Pia ukiwa na maswali/ unahitaji maombezi/ piga namba hizi: +255693036618/ +255789001312

Unaweza pia kuyapata mafundisho yetu ya kila siku Whatsapp. Jiunge  kwa kubofya  hapa chini>

https://chat.whatsapp.com/GBX2lWIcoCq8zmlnXJgaWQ
https://chat.whatsapp.com/GBX2lWIcoCq8zmlnXJgaWQ

Print this post

69 comments so far

Mwanza MwanzaPosted on10:57 am - May 11, 2023

Zabur 68:11 Ni Wana Wa Mungu Au Wanawake Kabsa Yaan Jinsia Ya Kike

MrsPosted on11:53 am - Mar 21, 2023

Naomba link nijoin Whatsapp
Mbarikiwe

Simon kabungoPosted on7:23 am - Mar 5, 2023

Naitwa simon, nimepitia mafundisho yako mengi na kupendezwa nayo. Nina swali moja nahitaji ushauri lakini pia njia sahihi ya kufanya. Ninae mke na mtoto mmoja lakini kwasasa ameondoka kwangu kwa kunitoroka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine pasipo sababu maalumu zaidi anasema ameamua. Je, ni hatua gani za ki-Mungu naweza kuzifuata? Na je naruhusiwa kuoa mwingine?

    AdminPosted on5:48 am - Mar 8, 2023

    Shalom, hapo hupaswi kuwa na maamuzi ya haraka, waweza kumwita, na kutatua tofauti zenu, mbele ya kanisa la Bwana, yamkini atarejea na kuacha ukengeufu wake

DavidPosted on1:23 pm - Jan 28, 2023

Ni kanisa gani nzuri

Nikolaas emanueliPosted on3:59 pm - Jan 26, 2023

Mathayo9:29na mrko9:23na marko 16:17 anaetakiwa kuamini ninani je ni anaewekewa mkono au aneweka mkono

Nikolasi emanuelPosted on9:10 am - Jan 21, 2023

Mathayo9:29na marko16:17na marko9:23 swali je anaetakiwa kuamini ninani? Anaewekewa mkono au anae weka mkono

RehaniPosted on10:04 am - Jan 4, 2023

Wakati Mungu alimlaani nyoka wakati alipodanganya hawa ndani ya shamba la edeni , akasema na kwa tulbo lako utatembeya wakati hule mwengine wote nyoka alikuwa akitembeya na Nini ? (Mwanzo 3 :14)
N’a wakati Mungu alimwambiya hawa ya kwamba kwa sababu umekula tunda hakika nitakuzidishiya uchungu wako , na kuzaa kwako ;kwa utungu utazaa mtoto ; na tamaa yako itakuwa juu ya Mme wako naye atakutawala. Ina maana Adamu
alikuwa ametawaliwa na Hawa kabla ya kula l’île tunda ?

Asante sana

Budala MosesPosted on4:12 pm - Dec 16, 2022

Mbarikiwe sana wana wingu.Naomba muni add kwa wasssp namber yangu ni:+254711402470.

lameckPosted on10:22 pm - Nov 22, 2022

Amina watu wa mungu

AnonymousPosted on10:20 pm - Nov 22, 2022

Leave your message

AnonymousPosted on11:54 am - Nov 5, 2022

Mstari Huu una maana Gani? 1wakorintho 6:18 naomba kuelimishwa

Paul nyandaPosted on7:50 pm - Aug 27, 2022

Hallelujah hallelujah watumish

Isaya kapagiPosted on9:52 am - Aug 26, 2022

Swali LANGU nihili je kuvaa vilemba kwa wanawake wanapo sali, (1korinto 11:1-12) je wasipo Vaa nidhambi MBELE za Mungu? Au wakisali wakiwa na nywele ndefu zile nywele SI zinakuwa badala yakilemba? Naomba kujua

JONAS KELUSAPosted on5:25 pm - Jun 25, 2022

Kwanini mathayo anaandika Yesu
alikutana na watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja

JONAS KELUSAPosted on5:22 pm - Jun 25, 2022

Kwanini mathayo anaandika watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja

Emmanuel KitengulePosted on10:08 pm - May 29, 2022

Je,nini maana ya kuota nipo shuleni, wakati mwingine chuoni?

Emmanuel KitengulePosted on10:03 pm - May 29, 2022

Shalom mwalimu husika! naomba kuuliza swali,mara nyingi katika ndoto huwa najiona nipo au nimeenda eneo ambalo nilizaliwa.Je,hii huwa ina maana gani?

SekuriPosted on9:36 pm - Apr 5, 2022

Yesu asifiwe,Nina swali hili, msingi was imani ya wakristo ni biblia kwa nini kuna dini nyingi za kikristo asante sana mubarikiwe

AdminPosted on8:24 pm - Feb 6, 2022

Mkate unapobaki baada ya ibada, unaweza kulika kama chakula cha kawaida tu!.. divai inapobaki inapaswa ihifadhiwe kwaajili ya matumizi ya baadaye tena..

Yusuph MadsonPosted on10:01 pm - Feb 2, 2022

Hivi mnapokula meza ya Bwana halafu baada ya hapo ile divai na mkate vikabaki, wale wasimamizi wanaruhusiwa kwenda kuvila tena huko pembeni?

AnonymousPosted on3:41 am - Jan 14, 2022

Mini maana ya upon

ErastusPosted on12:41 pm - Dec 3, 2021

Ukiingia katika maombi ya kufungu ni vyema kufanya kazi za nyumbani?

ERASTUS OUMAPosted on12:19 pm - Dec 3, 2021

Kaka tafadhali nieleze njia zinazotakika kama mkristo kuzifwata, nimejaribu kumujuwa Yesu lakini najikuta tu kwenye makosa

kenya

AmaniPosted on7:48 am - Nov 21, 2021

Mtumishi bwana Yesu asifiwe , waebrania Kuna andiko lisemalo baada ya kifo ni hukumu, kwa Nini wakristo hua tunafanya Misa ya mazishi ilimradi twajua mtu aliekufa tayari Kesha hukumiwa

AnonymousPosted on3:34 pm - Oct 27, 2021

Swali langu ni katika kubatizwa ni lazima mtu abatizwe kwenye maji yanayotembea kama mto.bahari, maziwa au ni eneo la maji mengi??

FedrickPosted on4:31 pm - Oct 4, 2021

Je,nini maana ya kufunga? kibiblia

Friedrich@son ofJESUS%Posted on9:36 am - Sep 12, 2021

Amina mtume wa KRISTO.

Pia ningependa kujua kuhusiana na huu mstari 1thimothy 5:23 “usinywe maji tu, bali tumia mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo…………………….”

Fried-richPosted on7:49 am - Sep 5, 2021

Kwanini YESU alijiita mwana wa mungu ilihali ndiye MUNGU?

Nuru mfakoPosted on10:22 am - Aug 22, 2021

Mungu aendelee kuwatia nguvu wana wingu la mashahidi,kwa kazi kubwa ya Mungu mnayoifanya.

JosephPosted on6:16 pm - Jul 17, 2021

Bwana yesu asifiwe,naomba kujua yesu ni mungu? au mwana wa mungu?

JosephPosted on3:28 pm - Jul 17, 2021

Kama Yesu ni mungu kwanini aitwe mwana wa mungu?.Naomba kujua.

TitoPosted on8:02 am - May 18, 2021

Je mathayo12:31 anazungumzia kuhusu kumkufuru roho mtakatifu hautasamehewa ni kivipi roho mtakatifu tunamkufuru?

peter wanyoikePosted on12:08 pm - Apr 3, 2021

1 wakorintho 7:14 inamaanisha nini?

Cleven NassaryPosted on4:37 pm - Mar 28, 2021

Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai

AnonymousPosted on4:36 pm - Mar 28, 2021

Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai

GabrielPosted on5:14 pm - Mar 2, 2021

Naomba Kujua Wale Mamajusi Walikuwa Ni Kinanani? Na Kaz Yao Ilikuwa Ni Ipi?

Ok I’mPosted on10:12 pm - Feb 11, 2021

Adimin huna group la whasssp uniunge

LenardPosted on3:29 pm - Jan 7, 2021

Nguruwe ni harali kuliwa

Berius kamina masumbukoPosted on10:02 pm - Dec 18, 2020

Nan alianzisha krismas au krismas alianzisha na ilianzishwa mwaka gani?

AnonymousPosted on11:40 am - Nov 10, 2020

Kwa nini pilato na herode awakupana?

DaudPosted on7:50 pm - Oct 10, 2020

Hv krimas na pasaka ni shelehe

EdnaPosted on12:03 pm - Feb 24, 2020

Nahitaji Kujua kama Mungu aliumba Adam wawili Mwanzo1:27 Vs Mwanzo 2:7

    AdminPosted on11:54 pm - Feb 24, 2020

    Shalom..Mungu alimwumba Adamu mmoja tu hakukuwa na mwingine…Kumbuka biblia sehemu nyingi haijaandikwa katika mtiririko wa matukio yanayofuatana kwamba likitoka hili linafuata lingine..hapana bali sehemu nyingine ina tabia ya kwenda mbele na kurudi nyuma..

    Kwamfano Kitabu cha Mwanzo sura ya Pili kinaelezea kwa undani jambo lililotokea Mwanza sura ya kwanza…ukisoma mwanzo sura ya kwanza utaona vitu vimeandikwa kwa ufupi tu, kwa mfano ukisoma mwanzo 1:11-12, utaona biblia inasema “11 Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo. 12 Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema. 13 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu”

    Sasa ukienda mbele mlango wa pili ndio inaelezea kwa kina jinsi ni gani miche ilitokea…Mwanzo 2:4 “….Siku ile Bwana Mungu alipoziumba mbingu na nchi 5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi”.

    Kwahiyo unaweza kuona hapo..Sura ya pili inaelezea kwa undani mambo yaliyokuwa yanaendelea katika sura ya kwanza ambayo katika sura ya kwanza yameelezewa kwa ufupi tu…Na hata Hata Adamu na Hawa katika sura ya kwanza wameelezewa tu wameumbwa lakini haijaelezwa wameumbwaje umbwaje,..ambapo ukienda katika sura ya Pili ndio inaelezea kwa urefu zaidi kwamba waliumbwa kutoka katika mavumbi ya nchi…

    Vivyo hivyo sura ya 4 inaelezea kwa undani sura ya 3.

    Ubarikiwe.

    AnonymousPosted on11:02 pm - Feb 8, 2021

    Je,mzazi wa kanisa la kipentekoste Ni Nani?
    Mungu wa kweli Ana nafsi ngapi?je Ni vibaya mtu kuwa mshirika wa madhehebu au siyo vibaya?Je,Malaki 4:5-6 imeshatimia au bado?

Leave a Reply