Title September 2020

Nini tofauti kati ya Roho Mtakatifu na Roho Takatifu?

JIBU: Roho Mtakatifu na Roho Takatifu ni kitu kimoja, inategemea neno hilo limetumika wapi

Roho wa Mungu anapozungumza ndani yetu, au kutuongoza, au kutufundisha..anakuwa kama ni mtu yupo ndani yetu akifanya hizo kazi..anakuwa kama ni mtu mwingine mpole ndani yetu anazungumza nasi, anatufundisha, anatushauri, anatufariji, anatutia moyo, anatuongoza n.k..Hivyo hiyo tabia ya kuwa kama mtu wa pili ndani yetu, ndiyo inayofanya biblia sehemu zote iitaje Roho ya Mungu, kwa cheo cha uutu. (yaani Roho M-takatifu).

Hali kadhalika, linapokuja suala la tabia ya Roho ya Mungu, ni sahihi kabisa kusema Roho ya Mungu ni Roho Takatifu, ni Roho Nyenyekevu, ni Roho Tulivu, Ni roho Njema (Danieli 5:12) n.k Hapo hatujaivisha uutu lakini tumeielezea sifa yake.

Yapo madhehebu yanayofanya mambo haya yawe magumu kwa maneno hayo mawili, na hata mengine yamebadilisha biblia zao, kila mahali palipoandikwa kwenye biblia neno Roho Mtakatifu, yamebadilisha na kuweka Roho Takatifu..Hivyo kwao ni kosa kutumia neno Roho Mtakatifu mahali popote. Vile vile yapo mengine ni kosa kutumia neno Roho Takatifu. Pasipo kujua kwamba maneno yote mawili ni sahihi, inategemea ni wapi yametumika.

Kumbuka pia ni wajibu wa kila mmoja aliyeokoka kuwa na Roho Mtakatifu.

Mungu atubariki.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp basi tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312


Mada Nyinginezo:

JE WAJUA?

MAKEDONIA.

Roho, Nafsi, na Mwili vina utofauti gani?

Yuko azuiaye sasa hata atakapoondolewa! ni nani huyo?

JE VIBWENGO NI KWELI VIPO?

Rudi Nyumbani:

Print this post

THE HARVEST IS PLENTIFUL

“The harvest is plentiful but the laborers are few”.

 Blessed be the name of the Lord Jesus. Let us remind ourselves of some of the important things in the journey of Faith. As Christians it is our responsibility to do God’s work, according to the gifts we have been given. the benefits of doing God’s work far outweigh any failure.

As we get closer to the end of the world, God’s work is getting easier and easier. For example, a person may be assigned to cultivate a two-acre [2 ha] bush, first removing all the grass and trees and then plowing with a hand plow, after which he sows the seeds, and another may be given the task of harvesting 10 hectares. now the first one has been given a hard job but for a few hectares..

but the last one has only been given a lighter job! Harvesting but many hectares. And so it is that in these last days, God’s work is not difficult because it does not involve plowing, sowing or watering… but only involves reaping!… But that’s not enough… The harvest fields are very plentiful, so it makes the work much bigger. The Lord Jesus said…

John 4:35 “Say not ye, There are yet four months, and then cometh harvest? Behold, I say unto you, Lift up your eyes, and look on the fields; for they are white already to harvest.

36 And he that reapeth receiveth wages, and gathereth fruit unto life eternal: that both he that soweth and he that reapeth may rejoice together.

37 For in this the saying is true, ‘One sows, and another reaps.’

38 I sent you to reap that for which you have not labored; others have suffered, and you have entered into their troubles. ”

He goes on to say…

Matthew 9:36 “But when he saw the multitudes, he was moved with compassion on them, because they fainted, and were scattered abroad, as sheep having no shepherd.

37 Then saith he unto his disciples, The harvest truly is plenteous, but the laborers are few;

 38 Pray ye therefore the Lord of the harvest, that he will send forth laborers into his harvest ”.

 Brothers and sisters in Christ, this is not the age of the first church where you will go to a place where you will find people who have never heard of Jesus. of Christians, already have they ever heard of Jesus.. do it yourself, follow anyone and ask, you know Jesus.. you will hear the answer he will tell you..That is because some have already planted and watered, they already have a certain foundation in their lives… the rest of the work is just the harvest !.

And the harvest work is not difficult! It’s very light but very big! ..so we are expected to work harder than the people of the early church, many have already known Christ, but they are still in the fields (in the world.

The work required is to take them out of the fields and bring them into the barn of the Lord. but if they are kept in the barn to the Lord they shall be safe.. from the insects and the Animals, and the thieves… will be hidden away and protected from all kinds of corruption. Where is the barn of the Lord?, a person who has obeyed Christ and decided to turn from evil and turn to Him completely and be baptized, in the spirit world he is ready to enter the barn of God, hidden by God… will be seen with the eyes but in the spirit will not be seen, his life is hidden as the bible says in.

Colossians 3:3 “For ye are dead, and your life is hid with Christ in God.

4 When Christ, who is our life, shall appear, then shall ye also appear with him in glory ”.

 So God’s Warehouse begins here on earth! .. Salvation begins here on earth. if perdition begins here on earth, and salvation is so so… You will not see a man who commits an abominable evil and say he is not yet lost that he will perish when he dies no! .. in his wickedness he is already lost, maybe he will just turn around! But where he is he is already lost!… In the same way you cannot say that a righteous person is not yet saved.. and that he will be saved when he gets there… that is the devil’s lie… in his righteousness he is already saved !! salvation begins here on earth… GOD’S STORAGE BEGINS HERE ON EARTH…

Harvest is brought into the barn here on earth… heaven is a continuation of the barn, which has already begun its work on earth. so it is our responsibility to do God’s work… Have they already heard Jesus mentioned in their lives, perhaps from their childhood? they have only remained nominal Christians, only religious Christians but Jesus is not in their hearts… .so the only step left is to explain with all knowledge the importance of Jesus in Life different from what they have heard in the past.

How Jesus can change people’s hearts. but also remember the word of the Lord “The harvest is plentiful but the laborers are few”.

This means that the work is still very large… and so it is to dedicate ourselves to it and also to ask the Lord to raise up more workers around the world. That aspect of prayer is very important in Life and is ignored by many… but it is a very important aspect of asking the Lord to send workers. And we also each of us standing in his place.

May the Lord help us and hold our hand, and most of all bless us all


Other Topics:

Is masturbation a sin?

ANCHOR OF THE SOUL, BOTH SURE AND STEDFAST.

QUENCH NOT THE SPIRIT

THE SPIRIT INDEED IS WILLING,BUT THE FLESH IS WEAK

How long did it take for Noah to build an ark?

Home:

Print this post

BEHOLD, I STAND AT THE DOOR.

Blessed be the name of the Lord Jesus Christ. Welcome to the study of God’s Word.

As most of us know that there is no salvation outside of Jesus Christ, nor is there any Life without Jesus Christ. as the Apostle Paul wrote by the power of the Spirit that ‘Death came through one man (Adam)… so life will be by the same means of one man (who is Christ)’.

Therefore He alone is the right and proven way to reach God. All other ways apart from Him are lost, no matter how many followers they have.

When the Lord Jesus was on earth, He spoke in many parables, all with the aim of making man understand God’s plan for His life. bible, becauseif all the things he did were written individually… the Bible says that even the world would not be enough for so many books (John 21:25).

But we see that after his departure he came again to speak to the Apostle John in a vision, when he was on the island of Patmos and gave him an example of how he always comes to his people he told him…

Revelation 3:20 ‘‘ Behold, I stand at the door and knock; If anyone hears my voice and opens the door, I will come in to him and eat with him, and he with me”.

The parable the Lord Jesus gave to show His coming to man is like a stranger… This coming is not to take the church… because the coming to come to take the church said it would be like the coming of a thief… those who are his and leave… .yes for when the rapture passes not everyone will know… So there is a time when the Lord Jesus will come as a stranger and there is a time when He will come as a thief.

Now in this example..he says look I’m standing at the door knocking! Knocking means knocking on the door while making a certain sound like hodii..hodii means heloo.. heloo !! That’s what it means to knock! ..so here the Lord says I stand and knock, and then he says if a person hears his voice and opens the door he will enter… this means that one can hear his voice and not open it… or the person may not hear his voice at all  perhaps because he is asleep or due to internal discomfort. yes the house being loud (perhaps the noise of music or people).

And when you enter you will see him say… ‘I will eat with him and he with me’… now think about it carefully, he does not say we will eat together no !… But he says I will eat with him… and he with me… meaning that when he was knocking he came with his food, he did not come empty handed… so the person who opened it will find him with his food… and so each will share with the other what he has prepared.

now if you go inside More to meditate on this example you will see that it refers to the evening time… our Kiswahili language is not self-sufficient in many words… but if you read other translations such as the English or Greek you will understand well that it is evening when the Lord went to knock on the door evening supper. So in that parable the Lord comes knocking at the door in the evening… with his food, he has not come to eat or eat people’s food for nothing! but it is for the benefit of us. And he will come in the evening, these are the evening times, the end of the end of the world brother.

and as we know the character of a stranger when he knocks, he does not knock continuously as if he is forcing the door to open… but you will see him knocking a little bit in order and then he calms down a bit, seeing he is not heard he will repeat again a little after a while quite the answer maybe the person who is fast asleep can’t hear he won’t break the door he will leave he will come back later or he will come back another time… then he will leave and never return… because he knows he is not needed in that place, and that is how Christ strikes our hearts today, He will send you preachers where you are, begging you to open your heart and let Him in when you obey him he will come in, and the things that he has brought to you  will not believe your eyes to see but if you know very well that this is Christ calling me through the sermon, and that this is His very voice and you are deliberately not opening it to Him… then He will leave and that Grace will go to others.

Brothers and sisters, do not be deceived into believing that you will repent in old age. This group is often the group that has never had the opportunity to know the basics of the Christian Faith, those people who were born into pagan families, or families of non-religious people, and do not know Christ at all… these are either asleep or in the noise of the world so much so that they cannot hear the voice of the Lord Jesus.so the Lord will raise his voice until they hear. They will have the greatest Grace. But for some who have been born into Christianity from infancy, have been thoroughly preached about the cross, and fully understand the voice of Jesus when it calls, and others until they have seen the Lord in a vision, and have been given certain signs never to return again. Many do not like to hear this but this is exactly what the scriptures say.

Matthew 23:37 ‘‘ O Jerusalem, Jerusalem, which killest the prophets, and stonest them that are sent unto thee; How often I wanted to gather your children together, the way a hen gathers her chicks together under her wings, but you would not!

38 Behold, your house is left unto you desolate.

  39 For I say unto you, Ye shall not see me henceforth, till ye shall say, Blessed is he that cometh in the name of the Lord.

He told them “you will never see me again”. This Word is very strong and it hurts… “to be separated from God forever” ..it is not better for us to be separated from men than for God… It is better for all human beings to hate and separate me but not God, it is better for me to be separated from all human beings but not God.

Just think today Christ is telling you these words ‘YOU WILL NEVER SEE ME AGAIN NOW’ !!!… …

Today when you hear these words on the internet, and you still do not want to give up sin and the world, remember it was not God’s plan for you to hear His gospel through this network ..

His plan was the same day when you first heard the gospel when you were preached by someone with a bible in your hand you would believe, there was no reason for you to come and hear the gospel again here …… but because your heart was hard, that’s why he followed you through this other internet. to have absolutely sure you hear his voice, but you despise it..maybe this is his last voice to you, hear you open it, lest he tell you as he said to the Jews ‘YOU WILL NEVER SEE ME AGAIN ’… .Now these words were spoken by the same Christ who said ‘come to me all of you’ .there he says ‘you will never see me again’  elsewhere he says ‘come out of me’.

When you say to the Lord that I repent of all my sins, and intend not to commit them again, I repent completely and with all your migh the will speak to you and when the time comes to eat he will open to you his treasures which he has brought to you as a member together, he will give you all the physical and spiritual blessings, and he will teach you his words of life. you will have hope for the present and for the future.

But if you do not want to, he will leave you, and one day he will come as a thief, in that day he will come to you only but he will come to the whole world, he will break the door and steal his wives inside, and take them to heaven, while the fire will burn. do not desire the presence of the great tribulation. REACH REPENT TODAY!

It is my prayer that you will act on what you have heard.

May the Lord bless you, and share this thing with others so that they too may be healed like you


Other Topics:

WHERE IS THE POWER OF GOD MANIFESTED? 

ANCHOR OF THE SOUL, BOTH SURE AND STEDFAST.

Was Jesus White?

THE YEAR ACCEPTABLE OF THE LORD.

WHO IS THIS MELCHIZEDEK (Melchisedec)?

Home:

Print this post

ANCHOR OF THE SOUL, BOTH SURE AND STEDFAST.

What is the Anchor of the Soul?


Shalom,

Let us meditate on the living words of our LORD. Brother, if you do not have the hope that is found only in JESUS, it is difficult to end this journey of your life here on earth safely, no matter how happy you are, that happiness is fake my brother, you cannot overcome this world full of temptations and troubles, and many traps of the enemy, you can’t ..

No matter how much money you have, you will still get to the point where you will be carried away by water only, even if you depend on some human being, eternal life will not be possible for you.

And that is why there are times when the LORD JESUS said that, in order for a house to be safe, it must first be built on a strong foundation, otherwise if it is built without a foundation there is a time when even a strong wind blows, the house will be golf. And that foundation is Jesus CHRIST. Read ..

Matthew 7:24-25 Kjv

24 Therefore whosoever heareth these sayings of mine, and doeth them, I will liken him unto a wise man, which built his house upon a rock:

25 And the rain descended, and the floods came, and the winds blew, and beat upon that house; and it fell not: for it was founded upon a rock.

But there is also a time when you will go through a place where you cannot dig a foundation under you, because below there is a lot of water, there is a sea, there is a lake, etc, For example, sailors, knowing that in order to protect themselves from the dangers of strong winds or storms, have to travel with another unique device, called anchor. The anchor’s job is to go very low, to make sure it goes down to the place where the sea or lake ends, and to meet the rock below, then it lands there, now when it stucks there, even a storm of strong winds passing up there is hard to overturn the vessel.

Anchor’s reputation is that it goes very far, looking for a foundation, thing that nothing else can do.

So it is with the man who received Jesus with all his heart today, ..What GOD is doing from that moment on, is that He is lowering this anchor of the soul, called HOPE, which goes straight to the heart of CHRIST (the real Rock), uniting you and Him, so that no matter how strong the waves come before you, they will not overwhelm you. You will go through all kinds of trials, you will go through hardships, you will go through trials, you will go through all kinds of adversity for the sake of your faith, but being cut off from the line of salvation is something that will not always be possible, people will look at your foundation why don’t we see it, they’ll see it’s just a little rope dropped in the water, but down at the bottom is heavy metal set on a very hard rock (JESUS CHRIST) So that you cannot  be shaken, by any wave of the devil.

Hebrews 6:18-20 Kjv

18 That by two immutable things, in which it was impossible for God to lie, we might have a strong consolation, who have fled for refuge to lay hold upon the hope set before us:

19 Which hope we have as an anchor of the soul, both sure and stedfast, and which entereth into that within the veil;

20 Whither the forerunner is for us entered, even Jesus, made an high priest for ever after the order of Melchisedec.

But if you have not given your life to CHRIST, or you are just lukewarm, that is, one foot out, the other one inwardly, it is incomprehensible, then this Hope GOD cannot put in you.

Brother Salvation is a very real thing, and it is truly the power of GOD, anyone who is determined to follow JESUS, this anchor must be one hundred percent lower into his spirit. Do not trust in religion, or denomination, or anybody that calls himself an apostle or a prophet, or whatever it is, all of them can’t save you here on earth except CHRIST alone.

And salvation comes by believing, and being baptized, when you believe directly you are ready and going to be baptized also in the proper baptism by immersion in the water and in the name of JESUS ​​CHRIST. And after that you begin to live the life of a person as saved.

Then GOD brings this hope into you, which no enemy wave will be able to remove you.

So if you are out of CHRIST or you were lukewarm and that is why the world overcame you, it is your time now to make the right decision, resolve yourself first from your heart, then kneel to show that you need GOD’S help, and confess your mistakes. , then begin the process of finding the right immersion baptism (if would need that service, kindly contact us), ..and then begin to live a life in line with your repentance.

And from that moment on you will see a great change in your life for the Holy Spirit who has been brought into you. Because salvation is more powerful than anything else on earth.

God bless you.

Other articles:

THINK ABOUT THE DAY OF JUDGMENT.

Is masturbation a sin?

What was the thorn in Paul’s flesh?

Who is Azazel/ scapegoat we read in Leviticus 16:8?

QUENCH NOT THE SPIRIT

Home:

Print this post

What does the bible say about divorce and remarriage?

Is divorce and remarriage allowed by God?


Matthew 19:3-8 Kjv

The Pharisees also came unto him, tempting him, and saying unto him, Is it lawful for a man to put away his wife for every cause?

And he answered and said unto them, Have ye not read, that he which made them at the beginning made them male and female,

And said, For this cause shall a man leave father and mother, and shall cleave to his wife: and they twain shall be one flesh?

Wherefore they are no more twain, but one flesh. What therefore God hath joined together, let not man put asunder.

They say unto him, Why did Moses then command to give a writing of divorcement, and to put her away?

He saith unto them, Moses because of the hardness of your hearts suffered you to put away your wives: but from the beginning it was not so.

Here we see that divorce is not a pleasing thing before God at all, because the Bible says what God has joined together, let no man put asunder. Thus marriage should not be broken except for the following circumstances  mentioned in the Bible;

The first reason is; Fornication

Matthew 19:9 Kjv

And I say unto you, Whosoever shall put away his wife, except it be for fornication, and shall marry another, committeth adultery: and whoso marrieth her which is put away doth commit adultery.

If one of the spouses is found in adultery then the bible allows it to leave such person and go to marry someone else, but if it is for any other reason other than adultery, let say  quarrels, problems, troubles, misunderstandings, distress, diseases, etc. then the Bible does not permit any form of divorce at all, even if it does happen they fail to settle the matter and divorce took place, both couples are not allowed to re-marry thereafter, the Bible says everyone should stay as they are, unless they come to an agreement again, but anything else, outside of it, is considered adultery (Mark 10: 11-12).

The bible also says;

1 Corinthians 7:10-11 Kjv

10 And unto the married I command, yet not I, but the Lord, Let not the wife depart from her husband:

11 But and if she depart, let her remain unmarried or be reconciled to her husband: and let not the husband put away his wife.

So if something like this happened to one of them, being caught in adultery it is good to learn to forgive so that the marriage will not break up, God does not want divorce, because even the Lord Jesus Christ himself forgives us many times we commit spiritual adultery. should we not do more? but if you can’t bare it, not guilty to break it, the bible has allowed you to go and marry someone else of your choice but only in the Lord.

Take note; Adultery is also a part of Fornication, to learn more open here  >>What is the difference between Fornication and adultery?

The Second reason is: If they wants to leave you because of your faith:

If it happens both of you were married before you became believers, but  later one you became a believer while they are still in the marriage, and your spouse does not want to agree with your beliefs and decides to leave you, no longer wants to live with you, in such a case the bible allows you to marry someone else but only in the LORD !. But if it happens that such person in his state of unbelief agrees to live with you, should not leave him/her, if you leave them and go to marry someone else you will be COMMITTING ADULTERY! .

1 Corinthians 7:12-16 Kjv

12 But to the rest speak I, not the Lord: If any brother hath a wife that believeth not, and she be pleased to dwell with him, let him not put her away.

13 And the woman which hath an husband that believeth not, and if he be pleased to dwell with her, let her not leave him.

14 For the unbelieving husband is sanctified by the wife, and the unbelieving wife is sanctified by the husband: else were your children unclean; but now are they holy.

15 But if the unbelieving depart, let him depart. A brother or a sister is not under bondage in such cases: but God hath called us to peace.

16 For what knowest thou, O wife, whether thou shalt save thy husband? or how knowest thou, O man, whether thou shalt save thy wife?

Note, this divorce is only for those married couples before believing! The Bible does not give any permission for believers to divorce except it be for fornication, and the Bible as well does not give permit for a believer to marry an unbeliever! That’s wrong.

Therefore, as the scripture says in Hebrews 13:4 “Marriage is honourable in all, and the bed undefiled: but whoremongers and adulterers God will judge”.

It is good for a person when you get married to know that it is a matter of honor, and faithfulness, and God does not approve of a couple divorcing for any reason! (Malachi 2:16). Remember once  the marriage is solemnized! God always releases grace and additional blessings unlike someone who is not married, and when a marriage breaks down remember there are many disadvantages, including withholding some spiritual blessings,

Therefore lets married couples remain faithful in their marriage vows.

God bless you.

Other articles:

Who is Jeshurun  in the bible?

MANY ARE CALLED, BUT FEW ARE CHOOSEN.

What did God mean to say deny yourself?

Where did cain get his wife from?

QUENCH NOT THE SPIRIT

Home:

Print this post

THE LOVE OF CHRIST CONSTRAINETH US

If someone does a great deed for you, it is clear that your soul will not rest until you have made sure that you have returned the favor to him. even when we are saved, when we realize that there is someone who loved us to the fullest, there is someone who died for our sins and if he did not die today we would be in hell.

It is clear that if we have appreciated that unique bounty then we must also show that we are giving back something to Him, we really cannot give back to Him the bounties of our good deeds as He did for us, because so far we have sinned against GOD so many times. but the grace we can give him is to send his Love, to reach out to others, who have not yet reached them, so that they too may be saved like us. And that is what motivates us to preach the gospel to others, and to pray for them.

The apostle Paul said these words;

2 Corinthians 5:14 “For the love of Christ constraineth us; because we thus judge, that if one died for all, then were all dead ”

See? Likewise with us, this wonderful love of JESUS giving his life for us free, turn you into a debt to us, ..This is to give us a reason to share the good news with others, not to take it for granted.

2 Corinthians 6: 1 “We then, as workers together with him, beseech you also that ye receive not the grace of GOD in vain.

2 (For he saith, I have heard thee in a time accepted, and in the day of salvation have I succoured thee: behold, now is the accepted time; behold, now is the day of salvation.)

If you are saved, thank GOD for that grace, but remember there are many people who need to be saved like you, the question is, since we are saved. Have our members brought any benefits to CHRIST? Did it bring one into the grace of salvation or not? if your gift has never done that, instead it’s just used to entertain people, then know that gift is fake, not from GOD.

So together, let us make the love of CHRIST a debt to us. that we may present every man perfect in CHRIST JESUS: Where unto I also labor, striving according to his working, which worketh in me mightily.

What caused the apostles to turn the world upside down in their own time was because they collectively recognized the Love of CHRIST, so it became a debt to them, they served GOD with all they had, and that is why they say the Love of CHRIST will compel us, and so will we debt. And the LORD will appear in our lives.

Shalom.


Other Topics:

ARE YOU SAVED?

Who is the Holy Spirit?

WHO HATH BEWITCHED YOU?

How many children did Ibrahim have?

What does the word INRI on the cross of the Lord Jesus mean?

Home:

Print this post

Mungu anaposema yeye ndiye achunguzaye “viuno na mioyo” anamaanisha nini?

SWALI: Mungu anaposema yeye ndiye achunguzaye “viuno ya mioyo” anamaanisha nini, Je! hivyo viuno ni vipi? Kama tunavyovisoma katika vifungu vifuatavyo;

Yeremia 11:20 “Lakini, Ee Bwana wa majeshi, uhukumuye haki, ujaribuye viuno na moyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu”.

Yeremia 17: 10 “Mimi, Bwana, nauchunguza moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake”.

Yeremia 20: 12 “Lakini, Ee Bwana wa majeshi, wewe wawajaribu wenye haki, waona viuno na mioyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu”.

Zaburi 7: 9 “Ubaya wao wasio haki na ukome, Lakini umthibitishe mwenye haki. Kwa maana mjaribu mioyo na viuno Ndiye Mungu aliye mwenye haki”.

Ufunuo 2:22 “Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na hao wazinio pamoja naye, wapate dhiki kubwa wasipotubia matendo yake;

23 nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzaye viuno na mioyo.

Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake”.

Ukisoma pia Mithali 23:16 , na Ayubu 31:19 inazungumzia maneno hayo hayo;


JIBU: Mara nyingine biblia inapolitaja Neno viuno haimaanishi tu hivi viuno vya miili yetu tunavyovivalia mikanda, hapana, bali viuno sehemu nyingine linatumika kumaanisha NIA au WAZO, la mtu. Mungu kabla hajambariki mtu au kumuhukumu au kumsamehe huwa anatazama vitu hivyo viwili, cha kwanza ni Moyo na cha pili ni Nia.

Kwamfano, Mungu anaweza kumsamehe mtu dhambi zake bila hata ya kuzungumza maneno yoyote kwenye kinywa chake kuonyesha anaomba msamaha, Yaani ule moyo tu wa kujutia dhambi zake, moyo wa kuugua, moyo wa kusema kosa hili sitakaa nilirudie tena, siku baada ya siku anajutia makosa yake, na hataki kuyatazama wala kuyarudia tena, hiyo tayari ni toba inayozungumza sana mbele za Mungu kuliko sala za toba elfu mtu anazoongozwa kila siku na huku hana majuto na dhambi zake.

Jambo kama hilo utaliona kwa Yule mwanamke kahaba, aliyekwenda kumlilia Yesu, utaona hakuzunguza Neno lolote lakini Bwana Yesu alimwambia umesamehewa dhambi zako. (Luka 7:37-48)

Vilevile Mungu huwa anachunguza Nia, kwa mfano wengi wetu tunamuhukumu Yuda kama ndiye aliyempeleka Yesu msalabani, lakini ukisoma pale utaona Yuda hakuwa na Nia ya Bwana Yesu kufikishwa katika mateso na kusulibiwa na ndio maana akawaomba watakapomchukua wasimtendee dhara lolote (Marko 14:44), kwani yeye lengo lake lilikuwa ni kupata pesa tu..Lakini alipoona wale watu wamevuka mipaka, mpaka kwenda kumsulibisha alijuta kwa kulia sana, hadi ikamfanya aende kujinyonga, kwa madhara aliyosababisha, Hivyo Mungu anayechunguza Nia hatamuhukumu kwasababu alimpeleka Yesu msalabani bali atamuhukumu kwa kosa lingine la kutokuwa na moyo mkamilifu kwake kama ilivyokuwa kwa mitume wenzake.

Huo ni mfano tu,

Hivyo nasi tunapaswa tuwe makini sana, usiende kuzini ukamwambia Mungu nilipitiwa, yeye hashawishiwi kwa maneno , anachunguza moyo na Nia ya mwanadamu zaidi ya fikra zetu. Hivyo tusijidanganye tuna la kujitetea mbele zake, hata Siku ile ya Hukumu (Anachunguza viuno vyetu). Halikadhalika hata ukitenda tendo la haki, huna haja ya kumwambia Mungu, kumbuka hiki kumbuka kile, yeye anajua yote (Mhubiri 5:8).

Bwana atusaidie,

Shalom.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp basi tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312


Mada Nyinginezo:

Malaika wa maji ni yupi na Je kuna aina ngapi za malaika?

JINSI MUNGU ANAVYOIPIGA NA KUIPONYA AFRIKA.

BWANA WA MAJESHI.

JINSI YA KUSOMA BIBLIA.

Nini maana ya Usiwe mwovu kupita kiasi? (Mhubiri 7:17)

Rudi Nyumbani:

Print this post

Maana yake nini “Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko”

SWALI: Huu mstari una maana gani? Amos 9:2 “Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko; nao wajapopanda hata mbinguni, nitawatelemsha toka huko”


JIBU: Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, Ni muhimu kufahamu sio kila mahali panapozungumzia Neno mbinguni katika biblia panamaanisha “mbinguni kule Malaika watakatifu walipo” Hususani katika agano la kale. Neno mbinguni pia linaweza kutumika na wapagani kumaanisha mbingu yao, kadhalika mbinguni kunaweza kumaanisha “sehemu iliyo inuka sana”.

Mtu aliyejiinua sana moyo wake katika roho anaonekana amepanda mpaka mbinguni.

Hali kadhalika sio kila mahali panalipoandikwa neno “kuzimu” katika biblia hususani agano la kale, kuna maanisha kule kuzimu, roho za viumbe walioasi zilipo!..hapana! sehemu nyingine panapotajwa neno kuzimu panamaanisha mahali pa chini sana. Kwamfano mtu aliye katika vifungo vingi vilivyomfanya awe chini sana, katika roho ni kama yupo kuzimu. (Yona na Mariamu na Hana).

Kwamfano tunaweza kusoma mistari ifuatayo ili tupate kuelewa vizuri.

Yona 2:1 “Ndipo Yona akamwomba Bwana, Mungu wake, katika tumbo la yule samaki,

  2 Akasema, Nalimlilia Bwana kwa sababu ya shida yangu, Naye akaniitikia; KATİKA TUMBO LA KUZİMU NALİOMBA, Nawe ukasikia sauti yangu.

3 Maana ulinitupa vilindini, Ndani ya moyo wa bahari; Gharika ya maji ikanizunguka pande zote; Mawimbi yako yote na gharika zako zote zimepita juu yangu”

Sasa hapo Yona sio kwamba alishuka kuzimu, mahali pa wafu, hapana, bali katika mazingira ya lile tumbo la samaki alilokuwemo ndio akakufananisha na KUZIMU. Mahali pabaja mfano wa kuzimu. Na mtu anapokuwa katika mazingira hayo yanayofananishwa na kuzimu, anaweza kupandishwa juu na kutoka huko, kama Yona na Hana mama yake Samweli.

1Samweli 2:6 “Bwana huua, naye hufanya kuwa hai; Hushusha hata kuzimu, tena huleta juu.

7 Bwana hufukarisha mtu, naye hutajirisha; Hushusha chini, tena huinua juu”

Na andiko lingine ndio hilo la kwenye Amosi 9:2 “Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko; nao wajapopanda hata mbinguni, nitawatelemsha toka huko”

Lakini mtu anayeshuka katika ile kuzimu halisi ya sehemu ya wafu walioasi, biblia inasema hawezi kurudi tena wala hawezi kutoka huko.

Ayubu 7:9 “Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, Ni vivyo huyo ashukaye kuzimuni hatazuka tena kabisa.  Hatarudi tena nyumbani kwake, Wala mahali pake hapatamjua tena”.

Kwahiyo unaweza ukawa unapitia hali fulani katika hii dunia, ambapo mahali ulipo ni kama kuzimu, kila kona unaona giza limekuzunguka na mashaka, huoni unafuu popote, nataka nikuambie lipo tumaini kwa Kristo, maadamu bado unaishi, Bwana anaweza kukunyanyua tena na kukutoa huko Kuzimu, ulipo na kukupandisha juu, Hivyo Mwamini, omba kwa bidii na mshukuru, siku isiyokuwa na jina utaona miujiza.

Vivyo hivyo unaweza kuwa katika mahali fulani, au ukawa katika nafasi fulani na moyo wako  ukainuka sana, pengine ukajiona ni mungu-mtu, kila mtu anakuogopa, kila mtu anakuhofu au wewe ukajiona ni bora sana kuliko wengine wote wanaokuzunguka, nataka nikuambia mbele za Mungu, umejiinua na kufika mbinguni, na biblia inasema wote wajikwezao watashushwa (Luka 14:11).

Kwa maelezo marefu kuhusu  mbungini fungua hapa  >> mbinguni  ni wapi?

Hivyo mstari huo katika Amosi hauzungumzii Mbingu halisi, Malaika watakatifu waliopo, bali wala hauzungumzii Kuzimu halisi, wafu waliokufa katika dhambi walipo… Bali inazungumzia hali fulani ya maisha ambayo mtu yupo chini sana mfano wa kuzimu, na hali fulani ya maisha ambayo mtu kajiinua sana juu mfano wa mbingu.

Bwana akubariki.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp basi tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312


Mada Nyinginezo:

FUNGUO ZA UZIMA, MAUTI NA KUZIMU.

ALIKUWAKO NAYE HAYUKO, NAYE YU TAYARI KUPANDA KUTOKA KUZIMU.

CHAPA YA MNYAMA

UJIO WA BWANA YESU.

MAMBO MANNE,YANAYODHOOFISHA UOMBAJI WAKO.

Rudi Nyumbani:

Print this post

KUOTA UNAJIFUNGUA.

Kuota unajifungua kuna maanisha nini?


Ndoto hii inaweza ikawa na maana mbili, maana ya kwanza ambayo ninaweza  kusema inawapata wengi, ni ile inayotokana na shughuli nyingi au mambo tuliyowahi kuyapitia, au kuyawaza, au kuyatenda mara kwa mara huko nyuma.

Biblia inasema.

Mhubiri 5:3 “Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi;…….”.

Hivyo sishangai kama ndoto hii atakuwa anaotwa na mwanamke, kwasababu yeye kwa sehemu kubwa katika maisha yake, amekuwa akiwaza pengine siku moja atajifungua, au hivi karibuni anakwenda kujifungua au mwengine tayari huko nyuma alishawahi kujifungua,..

Hivyo matukio kama hayo kujirudia rudia katika ndoto zake litakuwa ni jambo la kawaida sana. Kwahiyo kama wewe ni mmojawapo wa wanaoyapitia hayo, basi ipuuzie tu ndoto ya namna hiyo, kwasababu haina maana yoyote rohoni.

Lakini maana ya pili, ambayo ni ya rohoni, ni kwamba ikiwa ndoto hii umekujia kwa namna ambayo sio ya kawaida, yaani kwa uzito mkubwa sana, na unahisi kuna uzito Fulani ndani ya moyo wako, basi ujue ndoto hiyo imebeba ujumbe. Na tafsiri yake ni kuwa lipo jambo zuri au baya linakwenda kukujia, kulingana na ulichokuwa unakifanya katika maisha yako.

Tunajua sikuzote mpaka mtu anafikia hatua ya kuzaa ni wazi kuwa tayari huko nyuma alishabeba mimba kwa muda mrefu, hivyo angalia katika maisha yako ni nini umekuwa ukikibeba, na ukikisubiria, basi ujue hivi karibuni utakwenda kukiona kikijidhihirisha (kukuletea matokeo fulani). Kama umekuwa ukifanya jambo jema basi tazamia kuona matunda ya wema wako hivi karibuni.

Luka 1:30 “Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.

31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.

Lakini kama wewe ni mwenye dhambi (yaani haupo ndani ya Kristo) basi jiandae hivi karibuni kukutana na matunda ya mambo maovu uliyokuwa unayafanya katika maisha yako,

biblia inasema..

Ayubu 15:35 “Wao hutunga mimba ya madhara, na kuzaa uovu, Nalo tumbo lao hutengeza udanganyifu”.

Zaburi 8:14 “Tazama, huyu ana utungu wa uovu, Amechukua mimba ya madhara, amezaa uongo”

Yakobo 114 “Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.

15 Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti”.

Unaona wanachozaa sikuzote watu waovu ? Na ndio maana sehemu nyingine inasema..

Mathayo 3:10 “Na shoka limekwisha kuwekwa penye mashina ya miti; basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni”.

Hivyo jiangalie wewe katika maisha yako yote, na mambo yako yote unayoyatenda Je, ni jambo gani unakwenda kulizaa hivi karibuni? Je! ni uzima, au mauti?

Lakini habari njema ni kuwa Yesu leo anaweza kukuokoa, na kukufanya umzalie matunda mazuri, na akabatilisha mabaya yote ambayo yamepangwa mbele yako, ikiwa tu utakubali kumruhusu ayageuze maisha yako, Yeye yupo tayari kukusamehe ikiwa utakuwa tayari kutubu kwa moyo wako wote, Hivyo ikiwa upo tayari kufanya hivyo leo, basi uamuzi huo ni wa busara sana. Unachotakiwa kufanya ni kufungua hapa kwa ajili ya kuongozwa sala ya Toba.>>>> KUONGOZWA SALA YA TOBA

Na Mungu peke yake atakigeuza unachokizaa kiwe chema.

Bwana akubariki sana.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp basi tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312

Au jiunge kwa kubofya link hii>> 

Group la whatsapp Kwa mgawanyo bora wa masomo download App hapa>> App wingu la mashahidi

Mada Nyinginezo:

HERODE NA PILATO, MAADUI WAWILI WAPATANA.

Mwaloni ni nini? Na je unafunua nini rohoni?

Arabuni maana yake ni nini?

MOTO HUFA KWA KUKOSA KUNI.HATA UASHERATI NAO

UNYAKUO.

Rudi Nyumbani:

Print this post

UPENDO WA KRISTO WATUBIDISHA;

Mtu akikufanyia fadhila ya hali ya juu, ni wazi kuwa nafsi yako haitatulia mpaka na wewe utakapohakikisha umemrudishia naye pia fadhila..hiyo ni hali ya kawaida ya kibinadamu kabisa, hata kama hakitafikia kile alichokufanyia walau utaonyesha shukrani kwa kumwombea dua kwa Mungu.

Hata sisi tunapookoka, tunapogundua kuwa kumbe kuna mtu alitupenda upeo, kumbe kuna mtu alikufa kwa ajili ya dhambi zetu na kama asingekufa leo hii sisi tungekuwa ni wa kuzimu.

Ni dhahiri kuwa kama tumeithamini fadhila hiyo ya kipekee basi na sisi ni lazima tutaonyesha kurudisha kitu Fulani kwake, ni kweli hatuwezi kumrudishia fadhila za matendo yetu mema kama yeye aliyotufanyia, kwasababu mpaka hapa tulipo tulishamkosea Mungu mara nyingi sana. Lakini fadhili tunayoweza kumrudishia ni kuupeleka Upendo wake, uwafikie na wengine, ambao bado haujawafikia, ili nao pia waokolewe kama sisi. Na hiyo ndio inayotufanya tuwahubirie injili na wengine, na kuwaombea.

Mtume Paulo alisema maneno haya;

2Wakorintho 5:14 “MAANA, UPENDO WA KRISTO WATUBIDISHA; maana tumehukumu hivi, ya kwamba mmoja alikufa kwa ajili ya wote, basi walikufa wote”;

Unaona? Vivyo hivyo na sisi, huu upendo wa ajabu wa Yesu kutoa maisha yake kwa ajili yetu sisi bure, ugeuke na kuwa deni kwetu,..Huu ndio utupe sababu ya kuwapelekea watu wengine habari njema, tusiuchukulie bure tu..

2Wakorintho 6:1 “Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msiipokee neema ya Mungu bure.
2 (Kwa maana asema, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokovu nalikusaidia;tazama,wakati uliokubalika ndiyo sasa; tazama siku ya wokovu ni sasa)”.

Kama wewe umeokolewa mshukuru Mungu sana kwa neema hiyo , lakini kumbuka wapo watu wengi wanaohitaji kuokolewa kama wewe, swali tujiulize tangu tumeokoka Je viungo vyetu vimeleta faida yoyote kwa Kristo? Je kilishamleta mmoja katika neema ya wokovu au la? Kama karama yako haijawahi kufanya hivyo, badala yake imetumika kuwaburudisha tu watu, basi ujue karama hiyo ni feki, haijatoka kwa Mungu.

Hivyo kwa pamoja sote, tuufanye upendo wa Kristo kama deni kwetu. Huo utubidiishe kumtumikia Mungu, kwa karama zetu na kwa tulivyonavyo, ili neema ya Mungu iwafikie na wengine kama sisi nao pia waufurahie wokovu wa Bwana wetu Yesu Kristo.

Kilichoawafanya mitume waupindue ulimwengu kwa wakati wao, ni kwasababu kwa pamoja waliutambua Upendo wa Kristo, hivyo ukageuka kuwa deni kwao, wakamtumikia Mungu kwa vyote walivyokuwanavyo, na ndio maana na hapo wanasema Upendo wa Kristo watubidiisha, vivyo hivyo na sisi, tuugeuze Upendo huu kuwa deni.

Na Bwana atatuonekania katika maisha yetu.

Shalom.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp basi tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312

Mada Nyinginezo:

UWEZA WA MUNGU UNAONEKANA WAPI?

Mungu aliposema Yesu ni mwanawe pekee, alimaanisha hakuwa na wengine?

LAKINI USIKU WA MANANE, PAKAWA NA KELELE.

MISTARI YA BIBLIA KUHUSU UPENDO.

Rudi Nyumbani:

Print this post