Ibada ni nini,Na je ili ikamilike inapaswa iwe na nini na nini?

SWALI: Ibada ni nini, Na je ili ibada ikamilike inapaswa iwe na nini na nini? Na je ni siku gani maalumu ya kufanya ibada? Ibada ni kitendo chochote kifanywacho kuonyesha unyenyekevu wa hali ya juu, utiifu, heshima, shukrani,  na utukufu, aidha  kwa Mungu au kitu kingine, na hiyo inaambata na mambo kadha wa kadha, ikiwemo … Continue reading Ibada ni nini,Na je ili ikamilike inapaswa iwe na nini na nini?