Jina la Bwana libarikiwe. Kuna kitu kimoja cha kipekee ambacho Mungu katuumbia sisi wanadamu “nacho ni uponyaji wa asili” Huu uponyaji wa asili upo katika miili yetu na vile vile upo katika roho zetu. Na huo Uponyaji tumepewa bure wanadamu wote kama zawadi na Mungu wetu, na huo hauhitaji uwe mkristo au utumie jina la … Continue reading UPONYAJI WA ASILI
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed