MASOMO MBALIMBALI YA NENO LA MUNGU.

MASOMO MBALIMBALI YA NENO LA MUNGU.

Jiunge na group la Whatsapp, ujifunze biblia na upate Neno la siku kila asubuhi. kwa link hii >> https://chat.whatsapp.com/F1fZHcuNCB69aZsaGFpe3E

Masomo mbalimbali ya Neno la Mungu.


Awali ya yote nakupa hongera kwa kupenda kutafuta kujifunza Neno la Mungu, lipo kusudi la Mungu kukufikisha hapa, biblia inatuambia..

1Timotheo 4:13 “…ufanye bidii katika kusoma…”

Ni wachache sana katika  wengi wanaozunguka mitandaoni kutafuta mambo ya msingi kama wewe.

Na unajua nini? bidii yako sio bure, Bwana Yesu alisema,

1Timotheo 4:13 “…ufanye bidii katika kusoma

Mathayo 7:8 “kwa maana kila..atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa”.

Na pia alisema..

Mathayo 5:6 “Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa’.

Kwahiyo unachokitafuta Bwana atakupatia, na pengine hata zaidi ya kile ulichokuwa unakitazamia,


Mahali hapa utakutana na masomo  mbalimbali ya Neno la Mungu, zaidi ya 1,000, na maswali mengi ya biblia yaliyojibiwa. Kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi kitabu cha ufunuo.

Ili kuingia katika horodha ya masomo ya mbalimbali ya Neno la Mungu, fungua hapa>>> MASOMO MAPYA

Ili kusoma maswali ya biblia yaliyoulizwa na kujibiwa fungua hapa >>> MASWALI NA MAJIBU YA BIBLIA

Ili kusoma shuhuda za Mashahidi wa Imani wa kale fungua hapa >>> WINGU KUBWA LA MASHAHIDI.

Je! ulishawahi kujiuliza Unyakuo ni nini, na utakuwaje? Na kwanini Bwana  Yesu alisema, Amin! Amin! Nawaambia kizazi hiki hakitapita hata hayo yote yatakapotokea, kusema kule kulimaanisha  nini? Tazama hapa >> AMIN, NAWAAMBIA, KIZAZI HIKI HAKITAPITA,

Je! Unafahamu kuwa kanisa tunaloishi mimi na wewe ndio kanisa la Mwisho lijulikanalo kama Laodikia? Tayari makanisa 6 yalishapita, na sasa tupo katika kanisa la mwisho? >>> AGENDA KUBWA YA SHETANI KWA KANISA HILI LA LAODIKIA.

Je unafahamu Historia ya nyimbo mbalimbali  za Tenzi>> TENZI ZA ROHONI

Je! Unajua Sadaka ni nini? Na umuhimu wake kwetu>> NGUVU YA SADAKA.

Je! Unajua aina za upendo, na upi tunapaswa tuwe nao?>> UPENDO NI NINI ?

Fahamu juu ya chukizo la uharibifu lililozungumziwa na Danieli na Bwana Yesu >> CHUKIZO LA UHARIBIFU

Ijue siku ya Bwana itakuwaje>> KIAMA KINATISHA.

Kwanini shetani aitwe nyoka wa zamani >> YULE JOKA WA ZAMANI.

Mbinguni ni wapi? Na je kuna aina ngapi za mbingu>> MBINGUNI NI WAPI?

Kuna siri gani katika kitabu cha Ruthu, kwanini kiandikwe na wakati yeye hakuwa mwanamke wa Kiyahudi, >>> MAMBO YA KUJIFUNZA KATIKA KITABU CHA RUTHU:

Ni siri gani imelala katika kitabu cha Esta juu ya Kristo na kanisa lake? >>> ESTA: Mlango wa 1

Mfahamu Melkizedeki, Je! alikuwa ni nani? Na kwanini awe hana baba wala mama, wala mwanzo wa siku wala mwisho? >>HUYU MELKIZEDEKI NI NANI?

Utawala wa miaka 1000 ni utawala gani? >>> UTAWALA WA MIAKA 1000.

Kitabu cha Danieli kina maudhui gani? Je naweza kupata uchambuzi wake tangu mwanzo hadi mwisho? >>> DANIELI: Mlango wa 1

Ubatizo sahihi ni upi? Kulingana na maandiko. >> UBATIZO NI NINI NA ULIO SAHIHI NI UPI?

Nahitaji kuokoka je nifanyaje?. >>> KUONGOZWA SALA YA TOBA


Kama utapenda masomo haya yawe yanakufikia kwa njia ya email/ whatsapp tutumie ujumbe katika namba hii :+255693036618 / +255 789001312

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
25 Comments
Newest
Oldest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Jonas Ernest
Jonas Ernest
6 months ago

Pia,nafurahishwa San na HUDUMA yenu Mungu azidi kuwabark
Lakni nahitaji nijue jinsi ya kuyapakua(download).

Omega Constantine tairo
Omega Constantine tairo
11 months ago

Natamani zaidi kusoma neno la Mungu na kulielewa na natamani zaidi kumjua Mungu na imani yangu ikue

George musamia
George musamia
1 year ago

napenda sana neno lamungu pia nashukuru sana kwa kazi nzuri watumishi wa mungu

godfreymkonge02@gmail.com
godfreymkonge02@gmail.com
1 year ago

What’s up 0719266865

DOUGLAS .S. SICHONE
DOUGLAS .S. SICHONE
1 year ago

Napenda kuijua vema BIBLIA, Naomba MUNGU ansaidie. Amen.🙏🙏🙏🙏

Joseph Likare
Joseph Likare
1 year ago

Baraka tele kutoka kwa…MUNGU

Ibrahim
Ibrahim
1 year ago

Shalom! Samahani mtumishi mimi nilikua nauliza je ni sahihi kwa mkristo kuvaa mavazi ya kiislamu kam kanzu na kofia? au kilemba?

Benedicta Khallinga
Benedicta Khallinga
1 year ago

Shalom watumishi wa Mungu ,samahani nina swali naomba kufundishwa WAEBRANIA 13:12-13
Kwa ajili hii Yesu naye ,ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe,aliteswa nje ya lango.Basi na tutoke tumwendee nje ya kambi,tukichukua shutumu lake.

NAOMBA UFAFANUZI/TAFSIRI YA HILI ANDIKO.

Michael
Michael
2 years ago

Mbarikiwe sana

Joseph
Joseph
2 years ago

Naitwa Joseph mbarikiwe watumishi wa MUNGU na kazi yenu isonge mbele,
Pia nahitaji kujiunga na group lenu ila kila nikijaribu naambiwa sina Whatsapp..!

MFAKO
MFAKO
2 years ago

MUNGU WA NBIGUNI NA ATUYKUZWE KWA KAZI NJEMA HII

Anonymous
Anonymous
2 years ago

Mbarikiwe Sana watumishi wa mungu,mungu kanibariki Sana kupitia masomo ya bible

Ezekieli
Ezekieli
2 years ago

Jamani yani nimebarikiwa sana mungu awabariki watumishi wa mungu

Gody magembe samwel
Gody magembe samwel
2 years ago

Hellooo

Hezron
Hezron
3 years ago

Mtumishi wa Bwana napenda sana kujifunza neno la Mungu nitafurahi sana nikiwa nayapata mafundisho haya ya neno la Mungu