MBINGUNI NI WAPI?

MBINGUNI NI WAPI?

Mbinguni ni mahali mbali sana na upeo wetu wa kufikiri, na umbali huo haupo katika mfumo wa kilometa, au maili hapana! bali kiufahamu…Katika miili hii ya damu na Nyama hatuwezi kufika mbinguni. Ni sawa uwaambie paka wote duniani au mbwa wote duniani, wajikusanye wafanye bidii wafike kwenye wafike kwenye kifaa kilichotengenezwa na wanadamu kinachoitwa satelite kilichopo kule juu sana mawinguni..

Unaona? jambo hilo haliwezekani..kwanini? kwasababu wao upeo wao upo mbali sana na upeo wa wanadamu…Ili wafike kwenye satelite kule mbinguni  ni sharti kwanza wawe wanadamu, wawe na ufahamu kama wa wanadamu ndipo waweze kufika kule.

Kadhalika na sisi tunahitaji kubadilishwa miili yetu, ifanane na malaika ndipo tuweze kufika mbinguni. Kwa jitihada zetu sisi kamwe hatuwezi kufika mbinguni, Malaika watakatifu walipo

Ubarikiwe!


Mada Nyinginezo:

NI UTHIBITISHO UPI UNAOONYESHA KUWA KUNA MBINGUNI NA KUZIMU?

JE! MBINGUNI KUTAKUWA NA KULA NA KUNYWA?

JE! MBINGUNI KUNA MALAIKA WA KIKE?. NA JE! TUKIFIKA MBINGUNI TUTAFANANA WOTE?

JE! BIKIRA MARIA NI MALKIA WA MBINGUNI?

KUCHEZA KARATA NI SAHIHI KWA MTU ALIYE MKRITO?


Rudi Nyumbani:

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments