Kwanini maombi ya Usiku yana nguvu kuliko ya mchana?
Kadhalika usiku wakati watu wamelala ndio wakati Adui anaiba vipawa vya watu..Kwahiyo unapokwenda kusali usiku, maana yake, unaingia kwenye uwanja wa mapambano uso kwa uso na Adui yako na ni rahisi kumwangusha..Kwahiyo yanakuwa ni maombi ya shabaha..Na yana madhara makubwa kwa shetani na ufalme wake.
Shetani hapendi watu wasali usiku kwasababu anajua madhara yatakayomfikia.
Bwana akubariki. Au jiunge na makundi yetu ya mafundisho ya kila siku kwa kwa njia ya Whatsapp kwa kubofya hapa >>>> WHATSAPP GROUP
Mada Nyinginezo:
FAIDA ZA MAOMBI.
MAOMBI YA YABESI.
NJIA SAHIHI YA KUFUNGA.
UPUMBAVU WA MUNGU.
Rudi Nyumbani:
Print this post
Ubarikiwe somo zuri
Amen nawe pia ubarikiwe!
Amen nawe pia, Utukufu kwa Bwana
be blessed father infinitly
Ubarikiwe
Amen nawe pia..