Kwanini maombi ya Usiku yana nguvu kuliko ya mchana?
Kadhalika usiku wakati watu wamelala ndio wakati Adui anaiba vipawa vya watu..Kwahiyo unapokwenda kusali usiku, maana yake, unaingia kwenye uwanja wa mapambano uso kwa uso na Adui yako na ni rahisi kumwangusha..Kwahiyo yanakuwa ni maombi ya shabaha..Na yana madhara makubwa kwa shetani na ufalme wake.
Shetani hapendi watu wasali usiku kwasababu anajua madhara yatakayomfikia.
Bwana akubariki.
Mada Nyinginezo:
About the author