1Wakorintho 1:25 “Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu’’.
1Wakoritho 1:22 “Kwa sababu Wayahudi wanataka ishara, na Wayunani wanatafuta hekima;
23 bali sisi tunamhubiri Kristo, aliyesulibiwa; kwa Wayahudi ni kikwazo, na kwa Wayunani ni upuzi; 24 bali kwao waitwao, Wayahudi kwa Wayunani, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu.
25 Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.”
1Wakorintho 2:7 “bali twanena hekima ya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiazimu tangu milele, kwa utukufu wetu;
8 ambayo wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu;”
Zaburi 37:25 “Nalikuwa kijana nami sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.”
UWEZA WA MUNGU UNAONEKANA WAPI?
BASI MUNGU AKAMUADHIMISHA SANA..
NJIA YA MSALABA
NI KWASABABU YA YESU KRISTO.
Rudi Nyumbani:
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ
Bwana Yesu akubariki kwa kutembelea tovuti ya Wingu la Mashahidi. Mchango wako utasaidia, kuifanya tovuti hii kuendelea kuwepo, pamoja na kusambaza mafundisho ya Neno la Mungu, umisheni, na injili kwa watu wengi. Kwa zaka yako/sadaka/shukrani utashiriki pamoja nasi kuipeleka injili kwa wengi zaidi.