JE WAJUA?

JE WAJUA?

  • Je Wajua kuwa Yesu ni Mungu bofya hapa kujua zaidi >> Yesu
  • Je Wajua kwamba dunia itateketezwa kwa moto na si kwa maji tena? >> Dunia
  • Je Wajua kuwa tunaishi katika kanisa la mwisho lijulikanalo kama Laodikia >> Laodikia
  • Je Wajua mtu ambaye hajaokoka hawezi kuingia mbinguni?
  • Je Wajua kuwa watu watakaonyakuliwa ni wachache? >> Wachache
  • Je Wajua roho ya mwenye haki ikifa inakwenda paradiso na si mbinguni? >> Roho ya mtakatifu.
  • Je Wajua kuwa Unyakuo utakuwa ni siri na ni wachache ndio watakaojua na hakutakuwa na maajali mabarabarani >> Unyakuo
  • Je Wajua kuwa Nusu ya kitabu cha Ufuno kimeshatimia?>> Ufunuo
  • Je Wajua kwamba mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyeko mbinguni zaidi ya Yesu? >> Mbinguni
  • Je Wajua kwamba mpinga-Kristo atakuwa ni mtu anayeshika biblia? >> Mpinga Kristo
  • Je Wajua kumlaani Adui yako ni dhambi? >> Adui
  • Je Wajua hakuna kiwanda chochote cha fedha kuzimu? >>Fedha kuzimu
  • Je Wajua kucheza karata ni dhambi? >> Kucheza karata
  • Je Wajua kipaimara si jambo la kimaandiko >> Kipaimara
  • Je Wajua kuwa Mwanamke hapaswi kuwa Mchungaji wala Shemasi >> Nafasi ya Mwanamke
  • Je Wajua kuwa kuna utawala wa miaka 1000 unaokuja huko mbele?>> Miaka 1000
  • Je Wajua kuwa Mariamu si malkia wa mbinguni >> Malkia

Mada Nyinginezo:

Je! mtu aliyeokoka anaruhusiwa kumiliki Lodge ambayo ina Bar ndani yake?

SIKU YA UNYAKUO ITAKUKUTAJE?

DHAMBI ILIYOMKOSESHA SHETANI:

JE KUJIUA NI DHAMBI?

Je! Ni sahihi kwa mkristo kuoa/kuolewa na mtu wa imani nyingine?

Kwanini Mungu awachome watu kwenye ziwa la moto na hali yeye ndiye aliyewaumba?

KUOTA UMECHELEWA MAHALI FULANI.

Rudi Nyumbani:

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments