Je! Ni sahihi kwa mkristo kuoa/kuolewa na mtu wa imani nyingine?
JIBU: Kwanza sio sahihi kwa mtu aliyeamini kwenda kutwaa mke au mume asiye wa imani yake ya kikristo, kwasababu moja tu! nayo ni KUEPUKA KUGEUZWA MIOYO!.. Kumbuka jambo mojawapo ambalo Mungu aliwakanya sana wana wa Israeli hata kabla ya kufika nchi ya Ahadi ni suala la kuoa/kuolewa na watu wa jamii nyingine tofauti na … Continue reading Je! Ni sahihi kwa mkristo kuoa/kuolewa na mtu wa imani nyingine?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed