Yuko azuiaye sasa hata atakapoondolewa! ni nani huyo?
SWALI: Naomba unisaidie hii 2 wathesalonike 2:7 “Yuko azuiaye sasa Hadi atakapoondolewa, naomba unisaidie huu mstari unamaanisha Nani huyo anayezuia na Ni kwa nini?” JIBU: Ukianzia kusoma tokea mistari ya juu kidogo utaona inazungumzia habari za mpinga-Kristo ambaye biblia inamtaja kama “Asi” kwamba mwisho wa dunia hautafika kwanza kabla ya yeye kufunuliwa hapa duniani.. Kwasababu … Continue reading Yuko azuiaye sasa hata atakapoondolewa! ni nani huyo?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed