HERODE NA PILATO, MAADUI WAWILI WAPATANA.

Jina la Bwana wetu na mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe daima. Natumai u mzima, hivyo nakukaribisha tuyatafakari kwa pamoja maneno ya uzima ya Mungu wetu,. Leo tutatazama tukio moja kati ya mengi yaliyokuwa yanaendelea kipindi kifupi kabla ya Kristo kuingia katika mateso makali ya kusulibiwa. Na tukio lenyewe ni lile na maadui wawili kukutana tena … Continue reading HERODE NA PILATO, MAADUI WAWILI WAPATANA.