Naomba kujua nini maana ya kuteguka uvungu wa paja?
SWALI: Yakobo aliposhindana na Malaika alishikwa uvungu wa paja akateguka…Naomba kujua nini maana ya kuteguka uvungu wa paja? Mwanzo 32:24 “Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri. 25 Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye. 26 Akasema, … Continue reading Naomba kujua nini maana ya kuteguka uvungu wa paja?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed