Hesabu 19:1 “Bwana akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,
2 Hii ndiyo amri ya sheria Bwana aliyoagiza, akisema, Waambie wana wa Israeli wakuletee ng’ombe mke mwekundu asiye na kipaku, mkamilifu, ambaye hajatiwa nira bado;
3 nanyi mtamleta kwa Eleazari kuhani, naye atakwenda naye nje ya kambi, na mtu mmoja atamchinja mbele yake”;
Ufunuo 19:11 “Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita.
12 Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe.
13 Naye amevikwa VAZI LILILOCHOVYWA KATIKA DAMU, na jina lake aitwa, Neno la Mungu.”
Mada Nyinginezo:
WAISRAELI WENGI SANA WANARUDI KWAO SASA.
AMIN! NAWAAMBIA KIZAZI HIKI HAKITAPITA.
SIKU YA TAABU YA YAKOBO.
NOTI YA UFALME WA MBINGUNI.
SIKU YA BWANA INAYOTISHA YAJA!
UNYAKUO.
Rudi Nyumbani:
Print this post
Kijana anaongelewa kama nani kibiblia
shalom.. je unaweza kuliweka swali lako vizuri zaidi?
Is this going to happen next year