Huu ni mwongozo wa maombi maalumu kwa ajili ya familia yako. Kama watakatifu, ni wajibu wetu kuziombea familia, Lakini sio kuziombea tu, bali kufahamu maeneo muhimu ya kugusia kwenye maombi hayo. Huu ni mwongozo maalumu wa maombi ya familia. Bofya juu ufungue chapisho hilo (pdf)
Pia Washirikishe na wengine habari hizi njema kwa kushea
Ikiwa utapenda kupata msaada wa kumpokea Yesu maishani mwako bure, Basi wasiliana nasi kwa namba uzionazo chini ya makala hii.
Pia kwa kupokea mafundisho ya kila siku kwa njia ya WHATSAPP, jiunge na channel yetu kwa kupofya link hii >> https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10
Kwa mawasiliano: +255789001312 au +255693036618
Bwana akubariki.
Mafundisho mengine:
MISTARI YA KUOMBEA AMANI YA FAMILIA.
MWONGOZO WA MAOMBI YA ASUBUHI.
TEMBEA NDANI YA SUKOTHI YAKO.-Maafundisho maalumu kwa watumishi
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ
Bwana Yesu akubariki kwa kutembelea tovuti ya Wingu la Mashahidi. Mchango wako utasaidia, kuifanya tovuti hii kuendelea kuwepo, pamoja na kusambaza mafundisho ya Neno la Mungu, umisheni, na injili kwa watu wengi. Kwa zaka yako/sadaka/shukrani utashiriki pamoja nasi kuipeleka injili kwa wengi zaidi.