Kama hujampa Bwana Maisha yako, fanya hivyo sasahivi, tubu kutoka ndani ya moyo wako, na dhamiria kabisa kuacha dhambi na maisha ya kale uliyokuwa unaishi, anza maisha mapya na Kristo kisha, katafute ubatizo sahihi kulingana na maandiko,wa maji mengi na kwa Jina la Yesu Kristo na Bwana mwenyewe atakupa kipawa cha Roho wake mtakatifu, atakayekusaidia kushinda dhambi na kukuongoza katika kuijua kweli yote ya Biblia.