Isaya 41:21 “Haya, leteni maneno yenu, asema Bwana; toeni hoja zenu zenye nguvu, asema mfalme wa Yakobo”.
Mathayo 6:6 “Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
7 Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.8 Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.9 Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,10 Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.11 Utupe leo riziki yetu.12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.
13 Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina”.
Wakolosai 3:17 “Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye”
Ufunuo 7:11 “Na malaika wote walikuwa wakisimama pande zote za kile kiti cha enzi, na za hao wazee, na za wale wenye uhai wanne, nao wakaanguka kifulifuli mbele ya kile kiti cha enzi, wakamsujudu Mungu,12 wakisema, Amina; Baraka na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu zina Mungu wetu hata milele na milele. Amina”.
Mada Nyinginezo:
NI JAMBO GANI LINALOMTAMANISHA SANA BWANA TUMWOMBE BILA KUKATA TAMAA?
WALIPO WAWILI AU WATATU KWA JINA LANGU.
UTAJI ULIOKUWA JUU YA USO WA MUSA.
Mtumishi dhana yako ya jinsi ya kuwasiliana na Mungu ni sahihi ila andiko ulilotumia siyo sahihi. Huo wito wa kupeleka HOJA ZENYE NGUVU HAUKUWA KWA WANADAMU BALI KWA MIUNGU ILIYOKUWA IKIABUDIWA. Ni Mungu anaiambia miungu iliyotengenezwa na wanadamu. Bahati mbaya kiswahili hakikujieleza vizuri kwenye huo mstari ulioutumia lakini ukisoma kushuka chini utakipata hiki ninachokisema.
Ila kingereza kimekuwa wazi zaidi
Isaiah 41:21
[21][You idols made by men’s hands, prove your divinity!] Produce your cause [set forth your case], says the Lord. Bring forth your strong proofs, says the King of Jacob.
Neno limesema, “You idiols”, je sisi ni idols? Hapana. Kwahiyo hili neno haliwahusu watu bali miungu ambayo Mungu wetu aliitaka ijioneshe kama inaweza kushindana naye. Mistari iliyoendelea hata ya biblia ya Kiswahili imezidi kutanabaisha hili. Ni vizuri kulisoma neno la Mungu kwa upana zaidi lakini ukitumia mstari mmoja pekee unaweza ukakupa maana ambayo siyo sahihi.
About the author