2 Timotheo 2:19 ” Lakini msingi wa Mungu ulioimara umesimama, wenye MUHURI HII, BWANA ANAWAJUA WALIO WAKE. NA TENA, KILA ALITAJAYE JINA LA BWANA NA AACHE UOVU.
20 Basi katika nyumba nyumba kubwa havimo vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali na vya mti na vya udongo; vingine vina heshima, vingine havina.
21 Basi ikiwa mtu amejitakasa kwa kujitenga na hao, atakuwa chombo cha kupata heshima kilichosafishwa, kimfaacho BWANA, KIMETENGENEZWA KWA KILA KAZI ILIYO NJEMA.