Utangulizi:
Tusomapo, habari za mashujaa hawa wa Imani, lengo lake ni kututia hamasa ya kutua mizigo yote ya dhambi inayotusonga , na kupiga mwendo kwa saburi katika safari yetu ya wokovu tuliyo nayo hapa duniani kama vile biblia inavyotuambia katika Waebrania 12:1. Tukijua kuwa lipo wingu kubwa la Mashahidi linalotuzunguka sikuzote.
Karibu katika maelezo mafupi ya watu hawa. Ili kusoma bofya Jina husika kuingia.
- MASHAHIDI 40 WALIOUAWA MJINI SEBASTE, NI UJUMBE KWETU.
- Antipa, Shahidi mwaminifu.
- John Wesley
- MT. DENIS WA UFARANSA.
- KIFO CHA MTAKATIFU POLIKAPI (Policarp).
- KIFO CHA MTAKATIFU PERPETUA NA FELISTA.jiunge na channel yetu Kwa kubofya hapa >> WHATSAPP
Rudi Nyumbani:
Print this post