Lakini sasa endapo mtu kashaujua ukweli kuwa uasherati ni dhambi, uzinzi ni dhambi, ulevi ni dhambi, rushwa ni dhambi, wizi ni dhambi, utazamaji pornography na utoaji mimba ni dhambi, ufanyaji masturbation ni dhambi,uvaaji mbovu ni dhambi..halafu bado anaendelea kufanya hivyo kwa makusudi, pengine kaujua kwa kusoma maandiko au kuhubiriwa….huyo mtu mbele za Mungu sio mdhaifu bali ni muasi na atahukumiwa..