SAMEHE KUTOKA NDANI YA MOYO WAKO.
Moja ya dhambi zinazowaangusha wengi ni “kutokusamehe”. Na hii inatokana mara nyingi na kutokuelewa nini maana ya msamaha. Ni rahisi kujilazimisha kusamehe lakini kama msamaha haujatoka ndani basi huo sio msamaha. Ili kuelewa vizuri, tuchukue mfano una mtoto mdogo labda wa umri wa miaka 6 hivi, ukamkuta siku moja kachukua takataka kaweka ndani ya Friji, … Continue reading SAMEHE KUTOKA NDANI YA MOYO WAKO.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed