1 Timotheo 4 : 1 “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;” Biblia inasema, nyakati za mwisho wengine, watajitenga na IMANI, Imani inayozungumziwa hapo si imani nyingine zaidi ya Imani katika Yesu Kristo. Mungu alimuumba mwanadamu na sehemu mbili, Sehemu ya Roho … Continue reading MAFUNDISHO YA MASHETANI
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed