NITAIFAHAMU VIPI KARAMA YANGU?.
Zipo karama tofauti tofauti zilizogawanywa na Bwana katika kanisa, hizo tunazisoma katika kitabu cha 1 Wakoritho 12:4-12 4 “Basi pana tofauti za karama; bali Roho ni yeye yule. 5 Tena pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeye yule. 6 Kisha pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zote katika … Continue reading NITAIFAHAMU VIPI KARAMA YANGU?.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed