SIKUKUU YA VIBANDA.

Moja ya sikuku saba ambazo Mungu aliwaagiza Wana wa Israeli wazishike ni SIKUKUU YA VIBANDA..Nyingne sita ni 1) Sikuku ya Pasaka, 2) Sikukuu ya Mikate isiyotiwa chachu, 3) Sikukuu ya Malimbuko ya Mavuno, 4) Sikukuu ya Majuma au Pentekoste 5) Sikukuu za kupiga Baragumu 6) Sikukuu ya siku ya Upatanisho na 7) Sikukuu ya Vibanda … Continue reading SIKUKUU YA VIBANDA.