USIISHIE KUTAZAMA JUU, ENDELEA MBELE.
Udhihirisho wa Bwana Yesu kabla ya kufufuka, ulikuwa ni tofauti na baada ya kufufuka..Kabla ya kusulibiwa Bwana Yesu alikuwa anaonekana kila mahali na sehemu nyingi, hata watu waliotaka kumwona na kumfahamu, walikuwa wakimtafuta kwa bidii wanampata mahali popote..Alifanya huduma yake kwa wazi sana..Lakini haikuwa hivyo tena baada ya kufufuka kwake. Baada ya kufufuka kutoka katika … Continue reading USIISHIE KUTAZAMA JUU, ENDELEA MBELE.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed