VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 1

Shalom!..Karibu tujifunze Maneno ya Mungu ya uzima, leo tunajifunza kwa uchache juu ya vitabu vya Biblia, jinsi vilivyoandikwa na maudhui yake, kwa neema za Mungu. Zamani mwanzoni wakati nampa Bwana maisha yangu, nilikuwa siielewi biblia vizuri, vitabu nilivyokuwa navielewa vilikuwa ni vile vya injili tu! Yaani Mathayo,Marko, Luka na Yohana…na katika agano la kale kitabu … Continue reading VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 1