TULICHUNGUZE UMBO LA YESU NA MWENENDO WAKE.

Kuna maswali mengi tunajiuliza juu ya mwonekano wa nje wa Bwana wetu Yesu Kristo ulikuwaje! Je alikuwa ni mweupe au mweusi, je alikuwa ni mrefu au mfupi, je alikuwa ni mnene au mwembamba?, je! Alikuwa mzuri au wa kawaida?..Biblia inasema nini juu ya jambo hilo?. Sehemu pekee tunayoweza kuisoma kwenye maandiko na kutupa walau picha … Continue reading TULICHUNGUZE UMBO LA YESU NA MWENENDO WAKE.