HUYU MELKIZEDEKI NI NANI?

Melkizedeki ni nani? Neno la Mungu linatuambia katika 1Timotheo 3:16 kuwa “bila shaka siri ya utauwa ni kuu.” Au kwa lugha rahisi Neno hili tunaweza kusema “bila shaka siri ya Uungu ni kuu”, Hii ikiwa na maana kuwa kuufahamu uungu wa Mungu, si kitu chepesi tu cha kufirikika kibinadamu, bali kipo katika Siri na Siri … Continue reading HUYU MELKIZEDEKI NI NANI?