VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 3

Karibu tujifunze Neno la Mungu,Biblia takatifu..Kama tunavyojua vitabu hivi vya biblia pamoja na kwamba vimeandikwa wakati mwingine kwa mfumo wa Hadithi, lakini vimebeba ufunuo mkubwa sana ndani yake. Ndio maana tunapaswa tujifunze Biblia na sio tuisome tu!…kwasababu kuna tofauti kubwa kati ya kujifunza na kusoma. Tumekwisha kuvipitia kwa ufupi vitabu 8 vya kwanza, ambapo cha … Continue reading VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 3