RUDIA, TENA NA TENA KUMWOMBA MUNGU USIKATE TAMAA.

Nilipokuwa mdogo, kulikuwa na wakati kaka yetu mara nyingi alikuwa kila akitoka shule ni lazima arudi na zawadi siku nyingine alikuwa anapitia bakery anatuletea sambusa za nyama n.k., sasa alikuwa anamnunulia kila mtu ya kwake, lakini mimi na mwenzangu tulikuwa na tabia moja, alipotugawia za kwetu, tulikuwa tunazila haraka haraka, ili ziishe haraka tuanze kuwaomba … Continue reading RUDIA, TENA NA TENA KUMWOMBA MUNGU USIKATE TAMAA.