USIPIGE MATEKE MCHOKOO!

Karibu tujifunze Biblia, leo tutajifunza juu ya kukaa katika kusudi la Mungu. Tukizidi kujifunza juu ya wito wa Mtume Paulo, tunaweza kupata mambo mengi sana ambayo yataweza kutusaidia sisi katika kuongeza maarifa yetu ya kumjua Mungu. Tukisoma kitabu cha Matendo ya mitume mlango wa 26, biblia inasema… Matendo 26:14 “Tukaanguka nchi sote, nikasikia sauti ikisema nami … Continue reading USIPIGE MATEKE MCHOKOO!