HATARI YA KUTOKUITAFAKARI BIBLIA VIZURI?

Shalom! Mtu wa Mungu, maandiko yanatuagiza tusiache kuonyana kila siku, maadamu iitwapo leo (Waebrani 3:13). Hivyo nakukaribisha tujifunze leo jambo moja lihusulo BIBLIA. Nilipokuwa ninatafakari hili Neno linalosema “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.” Nikajiuliza hii njia ionekanayo kuwa sawa ni ipi?..Mtu akiwa mtukanaji, mtu akiwa muuaji, … Continue reading HATARI YA KUTOKUITAFAKARI BIBLIA VIZURI?