Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika? Ina maana gani?
Biblia inaposema hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika? ” Swali ni Je! sisi tutawahukumu vipi Malaika?. 1Wakorintho 6:2 Au hamjui ya kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Na ikiwa ulimwengu utahukumiwa na ninyi, je! Hamstahili kukata hukumu zilizo ndogo? 3 Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya? JIBU: Watakatifu wamefananishwa na BWANA … Continue reading Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika? Ina maana gani?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed