Petro aliambiwa na Bwana Yesu UKIONGOKA WAIMARISHE NA NDUGU ZAKO. Je! kuongoka maana yake nini?

JIBU: Kuongoka maana yake ni kugeuka au kutubu..Katika habari hiyo tunasoma.. Luka 22: 31 “Akasema , Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi