KUFUKIZA UVUMBA NDIO KUFANYAJE?
SWALI: KUFUKIZA UVUMBA ndio kufanyaje? Na tena wana wa Israel walimfukizia uvumba Malkia wa mbinguni, ndio yupi huyo? JIBU: Uvumba ni aina Fulani ya manukato, yanayotengenezwa kwa viungo mbalimbali ambavyo baada ya kutengenezwa pamoja, huwa yanachomwa na kutoa harufu Fulani iliyo nzuri. Sasa katika biblia (Agano la Kale) wana wa Israeli walipokuwa jangwani kabla ya kufika nchi … Continue reading KUFUKIZA UVUMBA NDIO KUFANYAJE?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed