Kwanini Bwana Yesu alisema pale msalabani naona kiu?
JIBU: Kulikuwa na sababu kuu mbili kwanini Bwana Yesu kuzungumza maneno yale, Sababu ya kwanza ilikuwa ni ili kutimiza maandiko kama Yohana alivyoandika katika Injili yake. Yohana 19:28 “Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.” Unaona hapo?. Ikumbukwe kuwa sehemu kuwa ya unabii aliomuhusu Yesu … Continue reading Kwanini Bwana Yesu alisema pale msalabani naona kiu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed