Mtume Paulo alikuwa na maana gani kusema katika 1Wakorintho 15:31″…NINAKUFA KILA SIKU?

JIBU: Katika ukristo KUFA kupo kwa namna mbili:   >Aina ya kwanza ni kufa kwa habari ya dhambi.   >Aina ya pili ni kufa kwa ajili ya Ndugu: Yaani kuwa tayari kuiponza roho yako, mpaka kufikia hatua ya kuweza kuitoa roho yako kwa ajili ya injili na kwa ajili ya Kristo.   Ukristo sio wa … Continue reading Mtume Paulo alikuwa na maana gani kusema katika 1Wakorintho 15:31″…NINAKUFA KILA SIKU?