Mtume Paulo alikuwa na maana gani kusema katika 1Wakorintho 15:31″…NINAKUFA KILA SIKU?
JIBU: Katika ukristo KUFA kupo kwa namna mbili: >Aina ya kwanza ni kufa kwa habari ya dhambi. >Aina ya pili ni kufa kwa ajili ya Ndugu: Yaani kuwa tayari kuiponza roho yako, mpaka kufikia hatua ya kuweza kuitoa roho yako kwa ajili ya injili na kwa ajili ya Kristo. Ukristo sio wa … Continue reading Mtume Paulo alikuwa na maana gani kusema katika 1Wakorintho 15:31″…NINAKUFA KILA SIKU?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed