Je wanyama wanakwenda mbinguni?

JIBU: Uumbaji wa Mungu umegawanyika katika sehemu kuu mbili…   Sehemu ya kwanza: Ni Viumbe vya kimbinguni …Viumbe hawa wa kimbinguni nao wamegawanyika katika sehemu kuu mbili, nao ni malaika na wanadamu…Malaika wanaishi mbinguni, na wanadamu wanaishi duniani…Ingawa asili yao wote ni mbinguni..Ndio maana kuna usemi usemao sisi ni wasafiri tu, ulimwenguni sio kwetu..(Waebrania 11:13-15 … Continue reading Je wanyama wanakwenda mbinguni?