Biblia inamaanisha nini kusema Yeye aliye na sikio, na asikie?
SWALI: Tukisoma Ufunuo 2:17 inasema “Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa”..Ningependa kufahamu Sentensi hiyo ina maana gani? kwanini liwe sikio?. JIBU: Kwasababu kuna uwezekano kabisa mtu akawa na masikio lakini asisikie! Bwana Yesu alisema…katika Marko 8: 18 “Mna macho, hamwoni; mna masikio, hamsikii? Wala hamkumbuki?”.. Hao si viziwi Bwana … Continue reading Biblia inamaanisha nini kusema Yeye aliye na sikio, na asikie?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed