“Ninyi ni chumvi ya dunia” Andiko hilo lina maana gani?
SWALI: BWANA YESU ASIFIWE SANA ndugu zangu..naswali naomba kujua BWANA alikuwa anamaana gani kusema haya maneno…Mathayo 5:13 ‘Ninyi ni chumvi ya dunia;lakini chumvi IKIWA IMEHARIBIKA ITATIWA NINI HATA IKOLEE?….’ JIBU: Bwana Yesu alitumia mfano wa chumvi kuonyesha jinsi watakatifu wanavyopaswa wawe waangalifu hapa duniani..Chumvi ni kama sukari, hata siku moja hujawahi kuweka sukari kwenye chai … Continue reading “Ninyi ni chumvi ya dunia” Andiko hilo lina maana gani?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed